Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante,ngoja tuijaribu ila tatizo kama sio mtaalam hutajua unabance sound kwa kiwango gani katika vidude tofauti tofautiKama unahitaji MP3 music player ambayo inaboost sound pamoja na bass download hii Poweramp ni nzuri Sana ina Kila Aina ya option utakuja kunishukuru kuna ya free trial na ya kulipia free trial ni 1monthView attachment 2368528
Iyo yangu nimeijaza bass na kuboost saut kidogo kama Una headphones zenye bas tumia iyo kama Una headphones au earphones zinazoa stereo na bass kidogo haifaiAsante,ngoja tuijaribu ila tatizo kama sio mtaalam hutajua unabance sound kwa kiwango gani katika vidude tofauti tofauti
Yah power amp ipo vizuri, ina option nyingi nzuri, kuna ile option ya crossfade, mziki kabla haujaisha, unasikia track nyingine kwa mbali inalia,Kama unahitaji MP3 music player ambayo inaboost sound pamoja na bass download hii Poweramp ni nzuri Sana ina Kila Aina ya option utakuja kunishukuru kuna ya free trial na ya kulipia free trial ni 1monthView attachment 2368528
Nilinunua 150k AliExpress, lakini bei huwa inapanda na kushuka. Sound quality 5/5 kwenye category ya hii bei kwa maoni yangu.Asante,Hebu tuwekee picha,zinapatika kwa bei gani?
Toka niijue ni mwaka WA 4 sasa naitumia tangu kipindi Kile IPO ile version ya Kwanza kabisa ni the best MP3 players Kwa android.Yah power amp ipo vizuri, ina option nyingi nzuri, kuna ile option ya crossfade, mziki kabla haujaisha, unasikia track nyingine kwa mbali inalia,View attachment 2368738
Hii siijui ngoja niitazame mkuuPia kuna equalizer inaitwa wavelet nayo ipo vizuri, unachagua preset za headphones/Earphones za brand kubwa kama sony, Sennheiser n.k, sound quality inakua nzuri balaaView attachment 2368749View attachment 2368750
Kweli kabisa, mimi mpaka niliinunua kipindi inauzwa 3000/=.Toka niijue ni mwaka WA 4 sasa naitumia tangu kipindi Kile IPO ile version ya Kwanza kabisa ni the best MP3 players Kwa android.
Adi saiv inauzwa mkuu tena saivi ni 9000Kweli kabisa, mimi mpaka niliinunua kipindi inauzwa 3000/=.
Aisee safiNilinunua 150k AliExpress, lakini bei huwa inapanda na kushuka. Sound quality 5/5 kwenye category ya hii bei kwa maoni yangu.
View attachment 2368786
View attachment 2368785
View attachment 2368784
Hii nahisi kama itakuwa rahisi kwa sababu unachagua tu headphone model inakupa majibuPia kuna equalizer inaitwa wavelet nayo ipo vizuri, unachagua preset za headphones/Earphones za brand kubwa kama sony, Sennheiser n.k, sound quality inakua nzuri balaaView attachment 2368749View attachment 2368750
Shkamoo mzunguMfano, earbuds za Sony wf1000-xm4 ninazotumia, kuna feature ifuatayo[emoji116].
Yaani unasikiliza mziki (with noise Cancellation on), halafu endapo mtu akikuongelesha halafu wewe ukamjibu (wewe ukaongea), zina pause mziki automatically, zinaenda kwenye transparency mode(zina turn off noice Cancellation kwa muda,so unakuwa unamsikia anayekuongelesha) then ukimaliza kuongea zinaturn on Noise Cancellation na zinaendelea kupiga mziki palepale ulipoishia.
Sasa vitu kama hivi ni moja ya sababu inafanya ulipe laki 8 au 1mil kwenye earbuds.
Hizi za laki 1 haziwezi kufanya vitu kama hivyo.
Anakuja mtu anasema China kwa tec wapo juu, hawa wamarekani ni namba nyingine. Wachina watakuja kucopy as usual.mfano apple wameweka feature ya interigent control kwenye earpod zao mpya za mwaka huu,yaani ina regurate sauti kulingana na mazingira.huna haja ya kupunguza na kuongeza sauti.
ukiingia mashineni tu inapeleka sauti mpaka mwisho maana kuna kelele.
Mbona play store haipo,inapatikana wapi?Pia kuna equalizer inaitwa wavelet nayo ipo vizuri, unachagua preset za headphones/Earphones za brand kubwa kama sony, Sennheiser n.k, sound quality inakua nzuri balaaView attachment 2368749View attachment 2368750
Ipo mkuu, ila full version yake ni ya kulipiaMbona play store haipo,inapatikana wapi?
Kuna premium version yake ambayo imekuwa cracked, kama hua unatumia pirated software cheki hiyo linkMbona play store haipo,inapatikana wapi?
Hii app ni unyamaa na nusuu yani ndo app niliyokubali kuilipiaaa hadi hii leoYah power amp ipo vizuri, ina option nyingi nzuri, kuna ile option ya crossfade, mziki kabla haujaisha, unasikia track nyingine kwa mbali inalia,View attachment 2368738