Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
Nimechukua miaka miwili kuchunguza hili Jambo, kwanini ndoa za siku hizi hazidumu na zimesongwa na milima mingi na mabonde kuliko tambarare. Kila mara watu wanatumia nguvu nyingi kuendesha mahusiano yaliyokufa ndani ya nafsi japo Yana heshima kubwa mbele ya macho ya watu.
Baada ya uchunguzi nimegundua ndoa nyingi zinazofungwa makanisani na misikitini zilitakiwa zibarikiwe tu na sio kufungwa Kama ndoa takatifu maana ndoa hizo zilishafungwa tayari na wapendanao.
Athari za kufunga ndoa iliyotakiwa kubarikiwa
1) Ulinzi, baraka na ahadi za Mungu juu ya ndoa hupotea na kamwe hautakuepo mpaka mtubu dhambi ya uzinzi juu yenu.
2) Kufa kwa ndoa husika maana mshahara wa dhambi ni mauti na Mungu kamwe hadhihakiwi.
HITIMISHO
Usiende mbele za Mungu kuoa au kuolewa na mpenzi ulieshiriki nae tendo la ndoa kabla ya ndoa Bali mbariki hiyo ndoa kwa kuomba toba ya msamaha ili Mungu afanye Jambo jipya ya kale yatapita na tazama yatakuwa mapya.
Baada ya uchunguzi nimegundua ndoa nyingi zinazofungwa makanisani na misikitini zilitakiwa zibarikiwe tu na sio kufungwa Kama ndoa takatifu maana ndoa hizo zilishafungwa tayari na wapendanao.
Athari za kufunga ndoa iliyotakiwa kubarikiwa
1) Ulinzi, baraka na ahadi za Mungu juu ya ndoa hupotea na kamwe hautakuepo mpaka mtubu dhambi ya uzinzi juu yenu.
2) Kufa kwa ndoa husika maana mshahara wa dhambi ni mauti na Mungu kamwe hadhihakiwi.
HITIMISHO
Usiende mbele za Mungu kuoa au kuolewa na mpenzi ulieshiriki nae tendo la ndoa kabla ya ndoa Bali mbariki hiyo ndoa kwa kuomba toba ya msamaha ili Mungu afanye Jambo jipya ya kale yatapita na tazama yatakuwa mapya.