Ni sawa lakini wanasahau kwamba kujamiana kumebeba utu wa mtu ...ndio maana waswahili wakasema kuingiliana kimwili Yani mnakua mwili mmoja na tunda linalopatikana hapo ni watoto ambao wamechanganyika kwa vinasaba vyenu
Narudia kujamiana ni tendo la heshima Sana maana ni Mungu mwenyewe alisema tuzaliane tuijaze dunia
Kuoa na kufunga ndoa ni kitu kimoja ambapo wapenzi ambao bado hawajakutana kimwili wanatakasa miili yao kwajili ya maisha ya mume na mke
Kubariki ndoa ni kwajili ya kuwapa nafasi wazinzi kutubu na kujutia makosa yao na kutakasa miili yao kwa maisha ya ndoa