Ni huduma ipi inayotolewa na Serikali ndani ya Jamii unaifurahia kwa asilimia kubwa?

Sio kwamba zile pesa zinakwenda kuboresha Klabu
 
rushwa kiukweli wamejipanga vizuri katika hilo
Bila kusahau;
/. Ufisadi
/. Kuuza rasilimali za nchi [Tanganyika]mf.Bandari,Ngorongoro,Wanyama hai n.k.
/.Kuhamisha Wamasai kwa nguvu
/.Kuwalinda vigogo waliovunja sheria wasishitakiwe
/.Kusababisha umasikini wa kiwango cha juu.
/.Kuteka na kutesa/kuua kabisa.
 
Haipo nakerwa na ving'ora yao hasa nikiwa kwenye foleni, naona wanaruka ruka tu kama watoto wa vyura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…