Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

We fala kweli kuna mechi hata moja waliochezea chumbani?
Halafu Senegal ni nchi ya kiarabu?
 
Haya malalamiko yanatoka moja kwa moja huko Uarabuni au ni hisia zetu za kibongo?.

Mpira ni sayansi ambayo wenzetu wameamua kuiishi na kuiheshimu wakati sisi tunawaendekeza kina Mwijaku na Baba Levo.

Cabo Verde wana wachezaji wazuri wana kocha mzuri haishangazi kuwafunga hao wakubwa waliozoeleka kutawala soka la afrika.

Afrika ya Kusini team yao inaundwa na wachezaji wa Mamelodi Sundowns, wanaweza wasiwafikie wale wa Morocco kw uzoefu lakini wanayo nidhamu ya pamoja.

Hiyo habari ya ukafiri ni matatizo yako binafsi, inaonekana wewe ni mtumwa wa mawazo ya mtawala aliyefurumushwa Zanzibar mwaka 1964, pole sana.
 
Huyo ni mgalatia mwenzio kaanzisha hii mada ili waislam washambuliwe,
 
Msiojua Mpira mnaanzisha nyuzi za hovyo hovyo na huku mipira mnaangalia kwa kuchungulia hao SA wana watu karibu 10 kikosi cha kwanza cha Mamelodi walioanza jana ni 8 ambao sio Mamelodi ni Percy,Lepase na Mfungaji wa Goli la kwanza kutoka Orlando huyo kiungo wa Amrabat kutoka Man u alikimbizwa na Mokoena mpakz mpira mmoja wa watu wawili alisababisha faulo na kupata Red kadi ambayo Fundi wa Mpira Mokoena alitupia faulo kick kambani kama katupia na Mkono...
 
Tuletee ushahid wa icho unachosema maana mpira unachezwa haswa watu wanavuja jasho kweli kweli
 
Congo ndo timu pekee inayocheza mpira kwa utulivu. Wengine ni tokana na siku hiyo wameamkaje.
Na ndio timu pekee ambayo haijashinda mechi hata moja hadi sasa ndani ya dakika 90
 
Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Kwani Mauritania na Senegal ni nchi za Kiarabu? Au ulitaka kusema nchi za kiisilamu?
 
Makafr Yameupiga Mwingi Sana Sana Huenda Yakatwaa Ndoo
 
Timu ya cape verde inaundwa na wachezaji waliozaliwa ureno wenye asili ya cape verde. Hata soka la kulipwa wengi wanachezea ulaya ndio maana unaona wanacheza mpira mzuri.
 
Natamani nikuporomoshee mitusi hiyo, ila bas tu kilamtu ana uhuru wa maoni
 
Kwani nyie warabu nani aliwat6ma mje kuishi bara ls watu weusi (Africa)? Rudi kwenyu uarabuni usitubebee, tumewachokaa!!
 
Wewe mkuu tutake radhi ukafir ndio kitu gani?
Hao waarabu wametolewa kwa uwezo wao mbovu walionyesha na kama kuna nguvu kutoka juu iliyowafanya watolewe basi itakuwa nguvu ya Mungu imezishinda nguvu za hao waarabu na ndugu zao wenye vinasaba nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…