kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Swadakta tena niliwachukia toka walipotukataa wa-afrika!! Infact team zote za waarabu zisipendi kama mbwai mbwai tu dadeki zao.Sasa,sasa wewe unakuaje chizi halafu hauna maarifa?Morroco walituambia wao ni "ma-Ulayaulaya" mtupu! Wamekutana "bundesafrikaan",kiatu mtu"!