Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #101
Hapana.Wewe kweli una akili,??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.Wewe kweli una akili,??
Ubohoo.Watu wengine mnatumia nn kufikiria??
ni mpira tuInaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Wewe nadhani ndo mpapa. Mimi sipo Dini ya Kikafir.Hujamwelewa,huyu chizi ni wa dini ya PAPA(wazee wa kubarikiwa). Sasa anawananga waarabu akiwashabihisha na dini ya mnyaazi Mungu
Kilaza kweli. Kuna uislamu umetajwa hapo? Nyie hampendi shule kabisa eeeeh?Naona kiki yako mpya ni kujinasibisha na uislamu keep it up
Wapi nimetaja Uislamu?Usilete uislamu kwenye michezo... Kwanza mpira ni dhambi.. si ulisemaga hivyo siku unatoa hutuba masjidi kibiti pale..
Wee Maamuma kuna sehemu wametajwa waislamu?Huyo mgalatia anataka waislam washambuliwe ndio kaamua kuanzisha huu uzi
Umeona nimeandika neno Uislamu popote pale?Kwani Mauritania na Senegal ni nchi za Kiarabu? Au ulitaka kusema nchi za kiisilamu?
Sasa uzi unahusu waarabu ndani umeitaja senegal, mbona cameroon hujaitaja?Wee Maamuma kuna sehemu wametajwa waislamu?
Nakufunua tu, nakuchana chana marindah.... Ndo nlitaka ujitokeze kwa hii ID yako... Juzi sijakuona kwenye kikao. Tumia IDs zako zote nina muda kwa sasa. Nazigonga zote kwa zamu....Halafu wewe acha mazoea na mimi. Maana naona ulilala na kukaa unaniwaza mimi tu. Mimi siyo mjinga mjinga kama wewe na mwenye akili za kijinga kama zako.
Nijibu weweMgalatia ni mtu wa aina gani?
Habari, Kuna hili neno linatumiwa sana humu ndani " mgalatia" kwa wale wataalamu wa lugha naomba wanijuze nini maana halisi ya neno mgalatia. Note: naomba usiingize udini hapa...mods pls kama hii itaangukia kwenye udini nakuomba uifute haraka kwa sababu hiyo sio nia yangu kugawa watu humu...www.jamiiforums.com
Upumbavu ni KIPAJIInaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Kujibizana na wewe ni kupoteza muda wangu na kuonekana nami ni mjinga tu. Sitakujibu jibu jingine lolote lile. Maana mimi huwa sibishani na mtu asiyejitambua.Nakufunua tu, nakuchana chana marindah.... Ndo nlitaka ujitokeze kwa hii ID yako... Juzi sijakuona kwenye kikao. Tumia IDs zako zote nina muda kwa sasa. Nazigonga zote kwa zamu....
Tumia ile ID yako nyingine. Nataka niwagonge wote kwa zamu.Kujibizana na wewe ni kupoteza muda wangu na kuonekana nami ni mjinga tu. Sitakujibu jibu jingine lolote lile. Maana mimi huwa sibishani na mtu asiyejitambua.
Nilifurahishwa sana na wamorocco walipokuwa wanaswali kabla ya mpigaji penati hajagongesha mwamba.Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Ukisikia habari za mabwana zako waarabu lazima ubong’oe mnduku kuwatetea. Haya ushahidi huo hapoWewe punga mbona unajilengesha sana kwangu? Si nilisha kwambia kua mimi sitafuni tope? Unajilengesha tu na ID's zako zote ila nimesha kutambua,pigwa paipu huko kweni mtoto wa zinaa wewe.
Hawana jeuri ya kutoka AfricaMorocco walishasema kuwa wao siyo Wa African kwa hiyo watuachie ligi yetu! Waende wakacheze ASIA CUP huko QATAR bado inaendelea na Warabu wenzao.
Watuachie AFRICA CUP yetu.