Swadakta tena niliwachukia toka walipotukataa wa-afrika!! Infact team zote za waarabu zisipendi kama mbwai mbwai tu dadeki zao.Sasa,sasa wewe unakuaje chizi halafu hauna maarifa?Morroco walituambia wao ni "ma-Ulayaulaya" mtupu! Wamekutana "bundesafrikaan",kiatu mtu"!
Ni kama misri tu ujanja mwingi kazi kuomba VAR check .. hivi unaona namna wanavyowagasi marefa ili wapate penatiAnashabikia watu ambao hawataki kuitwa waafrika, pili mpira wao ilikuwa wa janja janja Sana tulikuwa kama tunawaabudu na la mwisho kiwango Cha waarabu ni Cha kawaida, wametuzidi kwa baadhi ya mchezaji mmoja mmoja
Washenzi sana wamevuna walichopandaUnaowatetea sasa walivyowabaguzi nenda uone comments zao full kupost masokwe sio kwa wacongo sio kwa wasouth,,,hawa walishasema wao sio waAfrica,,hawakutakiwa hata kushiriki Afcon!
Naunga mkono hojaMpira unachezwa hadharani kila kitu kimeonekana, lawama za nini!?
🤝 Mkuu.Naunga mkono hoja
Huyu anatumia dole gumba mkuuWatu wengine mnatumia nn kufikiria??
Nini maana ya mgalatia?Huyo mgalatia anataka waislam washambuliwe ndio kaamua kuanzisha huu uzi
Nini maana ya mgalatia?
Maagizo kutoka juu ya nini?Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Senegal pia ni timu ambayo ilikuwa haijafungwa mechi 17 kabla ya kufurumushwa na Ivory Coast, usikariri maisha.Na ndio timu pekee ambayo haijashinda mechi hata moja hadi sasa ndani ya dakika 90
Hahahaaa yaani sisi watz ni kama mazombi tumeshasahau huruma ya muarabu ndio imesababisha tucheze fainali za afcon hadi uganda akabaki kulalamikaHiyo ni sarcasm au mwandishi ni pagazi wa waarabu. Zama za biashara haramu ya utumwa zilipita na sasa tunayafunga tu hayo maarabu.
Team zenye ukafiri?
Badala ya kuisikitikia Taifa stars unawaonea huruma waarabu!Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka [emoji115] juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Uliingalia mechi ya Morocco na S africa? Na ile Penati! Walivyokosa nayo ni hujuma.Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Usishangae ndugu. Aliyeanzisha uzi yeye mwenyewe anajiita Chizi!Mpira unachezwa hadharani kila kitu kimeonekana, lawama za nini!?
🤣🤣🤣Usishangae ndugu. Aliyeanzisha uzi yeye mwenyewe anajiita Chizi!
Morocco si walisema wao si Waafrika?!Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu.
Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi kadogo kanapita Robo Final?
South Africa wanawezaje ifunga Morocco? Siyo bure kuna mkono wa mtu. Kuna msaada kutoka juu. Lengo naona ni kutaka kuangusha utawala wa teams za kiarabu au zenye unasaba na waarabu. Ni hujuma na chuki tu.
Nimeumia sana. Teams zenye asilimia zaidi ya 90 ya ukaribu na uarabu zinaondolewa. Zinapita zenye ukafir ndani yake. Next time hatushiriki. Mtabaki wenyewe.
Una ushahidi? Weka hapa.Unaowatetea sasa walivyowabaguzi nenda uone comments zao full kupost masokwe sio kwa wacongo sio kwa wasouth,,,hawa walishasema wao sio waAfrica,,hawakutakiwa hata kushiriki Afcon!