Ni ipi channel yako bora kwenye king'amuzi cha DStv, Azam, Startimes, Zuku na Continental?

Ni ipi channel yako bora kwenye king'amuzi cha DStv, Azam, Startimes, Zuku na Continental?

National geographic
National geographic wild
family discovery
 
DSTV

National geographic
National geographic wild
family discovery
All Sport channel
Maisha magic plus
BET channel
Naming nafutilia vipindi vya wanyama na zaidi napenda program za wanyamapori wa nchi kavu. Tatizo hawa wazungu kwenye Nat geo wild na animaux wanaonyesha ma mbwa na mapaka saa zote
 
kwangu channel bora ni
National Geographic Wild
na ndiyoo huwa naitazama nikiwa home
Hata mimi napenda Sana michezo ya wanyama hasa jinsi simba alivyo mbabe yaani Hadi juzi ndio nimejua kwamba simba anakamata Hadi Tembo na twiga yaani

Nyani wanavyowatonya wanyama wengine hatari ikiwepo nk
 
TV zote bongo hakuna yenye channel ya KIKATOLIKI iwe ya ndani ama ya nje ijapokuwa kuna channel kibao za nje za kikatoliki ambazo ni free on air kama EWTN
 
Naming nafutilia vipindi vya wanyama na zaidi napenda program za wanyamapori wa nchi kavu. Tatizo hawa wazungu kwenye Nat geo wild na animaux wanaonyesha ma mbwa na mapaka saa zote
Siku hizi nat geo wild wako vizuri zaidi wanaonyesha big cat month yaani chui,simba n.k alafu nimependa karibu video zote zimeshutiwa Tanzania-Serengeti.Kwa mfano kuna story moja ya makundi ya simba wanapigana baada ya kuingilia territory ya wenzao mpk mmoja akafa, Imeshutiwa Ruaha-tz.Nimejua kumbe tiger ni mkubwa na ana nguvu kuliko simba, lakini jiulize kwanini simba anaitwa king of jungle?
 
Hata mimi napenda Sana michezo ya wanyama hasa jinsi simba alivyo mbabe yaani Hadi juzi ndio nimejua kwamba simba anakamata Hadi Tembo na twiga yaani

Nyani wanavyowatonya wanyama wengine hatari ikiwepo nk
Siku hizi nat geo wild wako vizuri zaidi wanaonyesha big cat month yaani chui,simba n.k alafu nimependa karibu video zote zimeshutiwa Tanzania-Serengeti.Kwa mfano kuna story moja ya makundi ya simba wanapigana baada ya kuingilia territory ya wenzao mpk mmoja akafa, Imeshutiwa Ruaha-tz.Nimejua kumbe tiger ni mkubwa na ana nguvu kuliko simba, lakini jiulize kwanini simba anaitwa king of jungle?
 
Nat geo wild
20210207_164744.jpg
 
Hivi wadau wale continental wapo nchi gani?

Nimewahi kuwa na kisimbuzi chao, bando likikata wanakuachia 'eti' tbc na stesheni yao tu ile startv, sikuwahi kuwaelewa.
 
Hata mimi napenda Sana michezo ya wanyama hasa jinsi simba alivyo mbabe yaani Hadi juzi ndio nimejua kwamba simba anakamata Hadi Tembo na twiga yaani

Nyani wanavyowatonya wanyama wengine hatari ikiwepo nk
hahahahaha nami pia najifunza mengi mnooo nikiitazama hii channel
fisi ni mtemi kwa chui
Simba anawinda wanyama wote polini
yale ma eagle makubwa yanawinda mpaka Mbuzi wa milimani walee
Mamba hamuwezi kiboko
na mengine meeeeeengii
 
Me.nakubali.maisha magic east ( selina dram,pete, hulabaloo, varshita, jela 5 star..nazikubali laliga channel, food network,TLC yale Mambo ya upasuaji wa wagonjwa..Discover family naoenda kipindi Cha wheeler deler ,the production line, how it's made, pia na channel ya carton ya boombelarg

Sizikubali channel zote za bongo ama.zenye maudhui ya kibongo coz wengi hakuna ubunifu huko..

Kwa upande wa azam.tv ni azam sports HD 1&2 Basi na zenyewe Kama.kuna mechi..kama.hamna...azam tv sitazami..haina channel nzuri Kama dstv...kwa mbaaali labda na kix
 
Back
Top Bottom