Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Nilitegemea professional comments from you. Sasa kwa comments kama hizi si kupoteza muda tu kubishana na wewe? Kwahiyo kila penye utawala kuna koloni? SSH ni kiongozi pale juu kwahiyo Tz ni koloni la nani?Huyo mfalme alikuwa anafanya kazi gani km si kutawala?
Huko Zanzibar alitawala kinanguruwe?
Mtu kwao sio..?!Inawezekana anaanda mazingira ya hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa , upinzani ukichukua nchi.
Omani ndiye aliyekuwa mtawala wa Zanzibar, kuna wazazibari kibao walikimbilia Oman wakati wa mapinduzi.Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Mkuu, haya ya mtu mweusi kuoa binti wa kiarabu ni ya leo. Historia toka zama na zama inaonyesha mabinti wa kiafrica (weusi) ndio waliokuwa wakizalishwa na wanaume wa kiarabu.Mwinyi kaoa Mwarabu, mwanae Ana mke Mwarabu, karume mke wake mbulushi (wengi wapo Oman) na amemuoa hata kabla ya mapinduzi. Watu wengi influential Bara hili LA Africa wana wake waarabu, juzi tu hapa Alpha Blonde na ubabu wake kaoa Tunisia.
Na Mkuu assume Baba ni Mwarabu na mama Mbantu, mtoto akizaliwa si Ana damu za wote? Ikitokea huyu mtoto kaoa Mwarabu damu ya kibantu haijaoa Mwarabu?
Huko Omani kwa vipindi zaidi ya vitatu watu wenye Asili ya Afrika ni masultan, kuanzia Babu yake Qaboos, baba hadi Qaboos mwenyewe na husikii wa Oman wakilalamika, wameitransform nchi yao toka kuwa Koloni LA Uingereza mpaka Sasa Ina uchumi sawa na Hizo Nchi zaulaya.
wacha tu tupelekwe kama mbuzi sababu watz ni mamburura na tutachezewa sana mpaka tutawafufua waliotangulia mbele za haki.Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
wewe wasema! au wewe umesema hivyo................ yenye watu chini ya 10M wanaweza kweli to Overdue the Country of more than 60M? Tutakuwa mazombi siyo bure.
Saudi Aramco ni private Company ni juzi tu ndio imekuwa listed na mpaka sasa asilimia 98.5 inamilikiwa na serikali ya Saudia haina Chochote kinachoifanya iwe kampuni ya Kimarekani.Saud Aramco na Marekeni yumo maana yake ni Saud Arabia and American. Saud arabia wako vizuri
Ndugu was Damu was Dk .Salim aliwahi kuwa Waziri waUkinzi huko!Ni chuki tu iliyomjaa....
Mkuu, haya ya mtu mweusi kuoa binti wa kiarabu ni ya leo. Historia toka zama na zama inaonyesha mabinti wa kiafrica (weusi) ndio waliokuwa wakizalishwa na wanaume wa kiarabu.
Siwezi kueleza kwa nini ilikuwa hivyo. Pengine ilikuwa ni utamaduni tu, kama ilivyo hadi sasa kumkuta binti wa kihindi ameolewa na mswahili. Na hata kumwona kijana wa kihindi kamwoa binti wa kiswahili, nalo ni jambo lisilozoeleka sana.
Unaposema Oman ina uchumi sawa na nchi hizo za Ulaya, sielewi unataka kueleza kitu gani hasa! Kwamba maendeleo ya Oman ni sawa na ya nchi za Ulaya? Hata hili kwangu sioni maana yake hasa ni nini!
Kuna Gabon hapo yule mbuzi Omari Bongo aliunga bomba la mafuta kuwapa France ye akapewa Villa huko Paris na mke huku watu wake wanakufa njaa.80% not true kabisa. Kuna nchi kibao Africa they have also oil reserves but wameshindwa kusimamia vizuri na wananchi wake ni masikini especially Angola n k . View attachment 2153610
Okay..Ndio Maana yanaitwa Mapinduzi na sio Uhuru?
Mapinduzi ni kutoa madarakani serikali iliyopo. Leo hii jeshi likiitoA serikali yanaitwa Mapinduzi.
kwani historia inasemaje?? hao waarabu wa Oman si ndio walikuwa wanamiliki watumwa Zanzibar na kuwalimisha mashamba?? Ni ndugu yako gani ambae anakugeuza mtumwa na kukuuza arabuni akiwa kakuhasi? Japo Muingereza nae alikuwa na mabaya yake lakini bora alivyokomesha utumwa vinginevyo mpaka 1964 wengi wangekuwa manamba huko visiwani.Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida????
Haya makengeza mpaka kwenye kufikiri yatatulemaza akili zetu....
Leo hii huwezi kuta familia hapa Tanzania zenye mchanganyiko wa damu kati ya wazawa na Wajerumani au Waingereza meaning walituchukulia kama watumwa na daraja la pili kwao... lakini kwa upande wa Oman ni tofauti meaning wanawaona Zanzibar kama sehemu ya ndugu zao....
KUNA UBAYA GANI WAKISHIRIKI KUWEKEZA HUMU NA KUIMARISHA MASHIRIKIANO YA KIUCHUMI?
TUACHE KUFIKIRI KINYUMENYUME JAMANI...
Oman yenye watu chini ya 10M wanaweza kweli to Overdue the Country of more than 60M? Tutakuwa mazombi siyo bure.
Kumbukumbu iliyopo ni kuwahasi watumwa na kuwauza utumwani huko arabuni na kuwafanyisha kazi bila malipo hapo visiwani, hakika ni kumbukumbu nzuri sana ya undigu wetu wa damu baina ya waoman na watangayika walioletwa visiwani kutoka bara kuja kulimishwa karafuuUnataka Ufaransa iwe na influence kubwa kwa Zanzibar kuliko Oman ?!!!
Mbona Afrika Magharibi yote kumejaa influence ya Ufaransa(lugha +utamaduni)....kwanini dhambi iwe ni kwa Zanzibar na kutakiwe kusiwe na kumbukumbu /uhusiano wowote wa hao waomani ?!!!
Hebu ziongezeeni thamani hizo elimu zenu ndogo mlizozipata.....
#Siempre JMT[emoji120]
Fitna mkubwa wewe ,akheri ya mchawi.Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
EeeeenHeeeee, what a spin. Hiyo aya ya kwanza, wa Oman walikuja kuwakomboa waafrika kutoka kwenye ukoloni wa Mreno?Wanawake wa Ki oman walikuja pwani Ya Africa? Kihistoria wa Oman walikuja Kupambana na Mreno wanajeshi, kushirikiana na Local wakawatoa, ni Jambo la kawaida kwa mwanajeshi kuja kama yeye, na si jambo la kushangaza akapata mwanamke huku.
Hayo mambo ya maendeleo nimeyaleta kuonesha mentality za Wa oman wenyewe, kwa Generation tofauti wameruhusu mtu mwenye damu nyeusi awaongoze, hawajambagua kama Nyie wala kusema ni mweusi basi asiongoze nchi yetu ya kiarabu, wanapendana bila kuangalia rangi ya ngozi zao na mpaka leo nchi yao ipo juu kimaendeleo.
Then angalia mentality hio reflect na wewe, ama Nchi hii kiujumla.
Swali la kijinga, inaonesha elimu yako ni hafifu.Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
Waarabu ndio mabwana zenu. Huna history unayoijua wewe kenge.Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakombioa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!
Kwanini iwe ni kila muomani alihusika na biashara ya utumwa?!!!Kumbukumbu iliyopo ni kuwahasi watumwa na kuwauza utumwani huko arabuni na kuwafanyisha kazi bila malipo hapo visiwani, hakika ni kumbukumbu nzuri sana ya undigu wetu wa damu baina ya waoman na watangayika walioletwa visiwani kutoka bara kuja kulimishwa karafuu