Sultan Saidi Sayyid wa Oman alihamia Zanzibar mwaka 1840 alikaa sana pale Maruhubi mpaka leo ile ngome ipo.Znz chini ya sultani, ilikuwa koloni la Oman miaka mingii, so wazenji wengi mahaba yao yapo huko
Kwa kuthibitisha hili muulize pale zanzibar kina mwarabu anaoa au kuolewa na mswahili? Ni 1/ 1000 na ikitokea anatengwa na familia yake yoote ya kiarabu.Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakombioa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!
Saudi Arabia ni taifa la kishetani. Kama kawaida Trumped up cases kwa kila anayeonekana anatishia Utawala wa Mohamed Bin Salmin anayelindea na Marekani kwa makubaliano ya kuwapa mafuta.Ni Saudi Arabia anaenda ku visit, nchi ambayo jumamosi iliyopita serikali ilikata vichwa na kuua watu 81 kwa pamoja (mass executions) Kwa 'makosa' mbalimbali ikiwemo ugaidi, imani za dini, nk 🙄
Saudi Arabia executes 81 people in a single day
Death penalty applied for range of charges in largest known mass execution carried out kingdom’s modern history.www.aljazeera.com
UK’s Johnson to visit Saudi Arabia amid Russia-Ukraine crisis
PM will use the trip to discuss oil supplies and urge Riyadh to condemn Russia’s invasion of Ukraine, officials say.www.aljazeera.com
Sasa waarabu wako wangapi huko Zanzibar kulinganisha na jamii nyinginezo?!!!Kwa kuthibitisha hili muulize pale zanzibar kina mwarabu anaoa au kuolewa na mswahili? Ni 1/ 1000 na ikitokea anatengwa na familia yake yoote ya kiarabu.
WEWE MGESE UMEWAHI KUMSIKIA RARAGASH historia yake huke Zenj?Waarabu ndio mabwana zenu. Huna history unayoijua wewe kenge.
Chuki na roho mbaya ndio utamaduni wenu machogo.
Mkuu nilitaka kujibu hoja ya mtu pale juu anayetaka kutuaminisha sana kwamba Waarabu ni ndugu zetu.Sasa waarabu wako wangapi huko Zanzibar kulinganisha na jamii nyinginezo?!!!
Kwani huku bara ni rahisi kuoa/kuolewa na mtanzania mhindi ama mtanzania mzungu mwenye kuihuisha tamaduni yake?!!!
Kwako wewe mtu kutunza mila ,ada na tamaduni yake ni ubaguzi ?!!!😳😳🤣🤣
Ikiwa tu waafrika weusi wana vizingiti vya makabila na dini katika kuoana inakuwaje leo tutake kurahisisha muingiliano na hao niliowataja hapo juu?!!!
Kwani kushirikiana mambo ya kijamii ni lazima kuhusishe pia na ndoa baina ya jamii mbili tofauti?!!!
Kwanini? Watatuletea mambo ya Somalia??🤣🤣🤣natania TuVyovyote vile, wabia wa bandari wasitoke Oman.
Hivi ndiyo vijana wa bara mnavyowakomboa Wazanzibari?Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakombioa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!
Akili ndiyo zitaamua. Rwanda ni kanchi kadogo lakini kanaweza kuisambaratisha na kuitawala nchi yenye utitiri wa watu na rasilimali kama Congo.Yaani wabongo bhana.... mbona kutwa tukiisifia USA, UK na nchi nyingi za Ulaya ambazo zilikuwa ni Wakoloni wetu na hatuoni shida????
Haya makengeza mpaka kwenye kufikiri yatatulemaza akili zetu....
Leo hii huwezi kuta familia hapa Tanzania zenye mchanganyiko wa damu kati ya wazawa na Wajerumani au Waingereza meaning walituchukulia kama watumwa na daraja la pili kwao... lakini kwa upande wa Oman ni tofauti meaning wanawaona Zanzibar kama sehemu ya ndugu zao....
KUNA UBAYA GANI WAKISHIRIKI KUWEKEZA HUMU NA KUIMARISHA MASHIRIKIANO YA KIUCHUMI?
TUACHE KUFIKIRI KINYUMENYUME JAMANI...
Oman yenye watu chini ya 10M wanaweza kweli to Overdue the Country of more than 60M? Tutakuwa mazombi siyo bure.
KWani kuoa au kuolewa na Mwarabu ni lazima?Kwa kuthibitisha hili muulize pale zanzibar kina mwarabu anaoa au kuolewa na mswahili? Ni 1/ 1000 na ikitokea anatengwa na familia yake yoote ya kiarabu.
Sio kweli, usiwadanganye watu. Oman haina undugu wala asili ya Zanzibar. Walikuwa watawala tu walioitawala Unguja na Pemba ( Wakoloni ) kama watawala wengine. Watu wa Unguja na Pemba walienda Oman kufanya kazi wakaloea wakabaki huko na sasa wanajiita Waarabu wa Oman kumbe ni Waunguja na wa Wapemba na hawana asili za Ki Arabu Kabisa!Oman ina udugu wa damu na Zanzibar (ambayo iko Tanzania) ni zaidi ya hio historia ya ukoloni pekee kwa kulinganisha na uingereza, ujerumani nk. Oman inaposema inataka kusaidia naamini wanalenga haswa kusaidia ndugu zao wa damu.
Maasalaam,
Unapataje Uhuru kama hujatawaliwa?Okay..
Kwa hiyo Znz ilipata Uhuru mwaka gani?
Mahaba ya kuutaka Uarabu!Znz chini ya sultani, ilikuwa koloni la Oman miaka mingii, so wazenji wengi mahaba yao yapo huko
[emoji848]Nimesoma historia ya Zanzibar toka enzi ya babu zake Seyid Bargash!! Kama unadhani hizo ni hisia ngojea mkija pigwa majambia halafu mje mtusumbue vijana wetu toka bara waje kuwakomboa!! Hapo ndipo mtakapojua kuwa huo ndio uhalisia. Waarabu sio watu hata wakiwa koko! Sisi bara tunawatambua!!!
Ndio Kuna vita vingi tu na maarufu ni Fort Jesus Mombasa.EeeeenHeeeee, what a spin. Hiyo aya ya kwanza, wa Oman walikuja kuwakomboa waafrika kutoka kwenye ukoloni wa Mreno?
Masultani wengi wa Zanzibar na Oman walikuwa ni machotara na wengine ni Weusi kabisa, walitokana na mchanganyiko wa Damu wa mamia ya miaka, babu na babu yao ni Mwarabu ilaa baada ya Inter marriage wanabadilikaHuyo "mtawala mweusi" alitokea wapi?
Unaweza ukaangalia picha za juu, mtu mweusi as long as ni lineage ya Familia zao habaguliwi Oman na wala Hakubaguliwa zanzibar, Hata Biashara ya Utumwa Zanzibar weusi wa Zanzibar hawakufanywa watumwa, mpaka Leo wa Znz wana status kama Mwarabu mwengine Oman.Sasa walipokwishamwondoa mkoloni, na wao kuwa wakoloni wapya, hawakuleta wanawake wao, kama ma'settler' wengine wanvyofanya maeneo mengine, kama Afrika Kusini?
Wapo low profile mambo Mengi ndio maana hawajapita machoni mwako.Hilo la mentality ya kutokuwa wabaguzi siwezi kulisemea. Pengine Wa-Oman, siyo waarabu basi? Historia ya hao watu siijui, na kusema kweli Oman ni nchi ambayo siijui kabisa, hata kwenye ramani ukiniwekea mbele niitambue siwezi. Na usidhani kwamba sina elimu ya jiografia ya kutosha, ni tu kwamba 'impact' ya Oman katika maisha yangu haipo kabisa.
Mafuta na Gesi, Dhahabu, uvuvi, cement, optic fiber etc.Wanazalisha sana hasa kitu gani, mafuta au gesi? Kuna kitu chochote cha kiwandani wanachotengeneza na wanasifika sana duniani kwa kitu hicho?
Hawa ni baadhi tu! wamejazana huko kama kuku....Hata wabongo wapo wengi sana kule Salala Omani ,ni wale ambao wakikamatana huko mikoani wakija kuuzana pale Unguja.
Nendeni mkaulizie jamaa zenu msibwate tu.
View attachment 2153557View attachment 2153560Huyu anauza genge
Znz chini ya sultani, ilikuwa koloni la Oman miaka mingii, so wazenji wengi mahaba yao yapo huko