Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Mchaga mwenyewe sasa
FB_IMG_1675375753319.jpg
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.

Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.

Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.

siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,

kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,

Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................

Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero

wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana

n.k.
wachaga sio kwamba ni kama waisrail,no, ni asiliyao huko wakitokea sehemu za kaskazini mwa ethiopia ,walopokimbia vita ya wenyewe kwa wenyewe,walipofika kilimanjaro waliwakuta wapare na jamii flani ya wa2 wafupi wakawafukuza wafupi na wakapigana vita na wapare na wapare wakashindwa na kukimbilia huko walipo maana ya wapare ni"wapige"
 
Jambo la kwanza mila na desturi zao hawajaziacha.

Wanajua muda gani wasikilize dini na muda gani waheshimu dini na muda gani Asili yao.

Umoja na mshikamano, wanasaidiana, mwenye nacho anampandisha asie nacho.

Umakini na kutokutaka mchezo na mzaha kifedha.

Elimu, upana wao wa waliosoma ni mkubwa kiasi ambacho hata wachache wasio elimu hujiegemeza na kuokolewa na wingi wa wasomi.

Kwa leo ni hayo tu.
 
tafuta pesa ukipata utaacha kuzungumzia mada zisizo na kichwa, hivi wakinga pamoja na elimu Yao ndogo wamewakimbiza wachaga kariakoo.
 
Huu mjadala wa mkinga na mbena dhidi ya mchaga hapo kkoo na dar mzima ulishafungwa ni kwamba hawana ubavu wa kushindana na kina mangi wao ni wachuuzi tu ndio maana utawakuta kwene nguo tu kwingine hawapo. Kkoo wakumkalisha mchaga ni mhindi na mwarabu basiii wengine tia maji tia maji.
mimi sio mkinga wala sio mbena, ila kwa kifupi, haujawajua wakinga na utatumia muda mrefu sana kuwafahamu. wakinga ndio wanaoimport hao mangi wanajumua toka kwa wakinga. ulishasikia kitu kinaitwa MAPEMBELO.., shipping company? mapembelo ni namna ya kusalimia kwa kikinga na wao ndio wanakodi meli nzima wanawaletea kina mangi hapo. ndugu zangu wengi pia kwenye familia yangu wanafanya biashara kariakoo hivyo naongea ninachokijua.
 
Wawafundishe na hiki kizazi cha 2000.
Hizi sifa zitapotea kama kama kizazi hiki cha dotcom hakitatreatiwa sawia.
Hawa machalii wanazingua sana, kuna dogo wa kichaga nilikaa nae aloo yule dogo ni mvivu kama mbondei vile. Mpaka unajiuliza huyu mchaga kweli??
Matumizi mabovu ya pesa, akienda town kununua vitu anapigwa hovyo hovyo.

Wachaga watu wazima wako vyema sana kichwani ila kizazi hiki changamoto sana aisee.
 
Naomba ni declare mm ni mchaga...
Tuna madhaifu yetu na pia tuna mazuri yetu.....

Mwaka 2010 niliajiriwa mahali na mtu ambaye tulipishana mwaka mmoja tu....

Yule jamaa ni mrombo.....
By that time alikua ana mkopo karibu 4billion

Imagine hapo tupo kwenye early thirties....

Jamaa ni Mrombo....na sasa ni tajiri wa kutupa...

Mchaga akiwa kwenye biashara userious wake si wa mchezo..ni bahati mbaya sana ushirikina umetawala kwenye biashara ndio maana wachaga wengi wanaanguka....

Hao kina hans Macha(Ricky Hill), Davis Mosha(kobil na delina)..michael Ngaleku(presion Air) Deo Marandu( emirate aluminium) kiria ( marriot hotel na Tiffany Hotel) wana hela kweli kweli....

Huyo Hans anapokea gawio CRDB nearly bilions kwa mwaka...

Lkn tunakubali makabila mengine yanajitahidi sana..ila wachaga wapo very serious ,very serious
 
Aliyeweza kuunganisha makabila mbalimbali na kutengenza jina moja la kabila la "Wachaga" ndo chanzo cha mafanikio yao. Yale ni makabila mbali mbali yaliyoungana, so kwa nje wanonekana wamoja lakini kwa ndani wana vita ya kila kabila kupata mafanikio, so boom. Kama kuna mtu anabisha Wachanga sio mchanganyiko wa makabila mengi, anitajie kabila moja ambalo hawasikilizani kama Wachaga nami nitafuta kauli yangu.
 
Huu Uzi ameanzisha mchaga mwenye multiple id kisha anajijibu na kukoment sehemu kubwa.
 
mimi sio mkinga wala sio mbena, ila kwa kifupi, haujawajua wakinga na utatumia muda mrefu sana kuwafahamu. wakinga ndio wanaoimport hao mangi wanajumua toka kwa wakinga. ulishasikia kitu kinaitwa MAPEMBELO.., shipping company? mapembelo ni namna ya kusalimia kwa kikinga na wao ndio wanakodi meli nzima wanawaletea kina mangi hapo. ndugu zangu wengi pia kwenye familia yangu wanafanya biashara kariakoo hivyo naongea ninachokijua.

Broo huu mjadala ulishafungwa. Umejadiliwa vya kutosha huenda hujawahi soma mijadala yake. baada ya takwimu uhalisia ulionekana kwamba madogo wa njombe bado sana wengi wao hata viwanda hawana na biashara yao kubwa ni nguo. Hio bapembelo cagro kwako ndio mfano. Kkoo nzima wakinga wote hata wakiungana hawawezi kumfikia billionaire Primi mushi kifedha na majengo hapo kkoo.
 
Broo huu mjadala ulishafungwa. Umejadiliwa vya kutosha huenda hujawahi soma mijadala yake. baada ya takwimu uhalisia ulionekana kwamba madogo wa njombe bado sana wengi wao hata viwanda hawana na biashara yao kubwa ni nguo. Hio bapembelo cagro kwako ndio mfano. Kkoo nzima wakinga wote hata wakiungana hawawezi kumfikia billionaire Primi mushi kifedha na majengo hapo kkoo.
Ila watu mnasifa za kijinga sana! Nyinyi huwa mnajiona ndo mnajua kutafuta hela nchi hii!Eti bilionea kwanza nani anamfahamu? Acha upumbavu wewe! Mbona Bakharesa tunamjua huyo bilionea wako ucharwa mbona hatumjui?
 
Back
Top Bottom