Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Acha porojo Mkinga ameshawazidi ndio maana huwa nawaambia nyie growth rate yenu kwenye biashara ni ya kawaida na hamna maajabu!
Zamani mlikuwa na akicess ya kuibia serkali kipindi nchi imelala!

Tupo tunafanya biashara kabla baba yako na nduli wenu hajazaliwa ndio maana list ya mabilionaire nchini wachaga wanaongoza na tuliwahi toa billionaire mweusi bwana mengi na estimations ya wealth ilikuwa ni $500 million. Utatuambia nini mfuga n’gombe na mshamba nchi hii. Hoja ya mkinga mjadala ulishafungwa hao ni wachuuzi wa maduka ya nguo au tuje na takwimu ili ukae kimya.
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.

Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.

Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.

siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,

kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,

Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................

Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero

wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana

n.k.
Siri ni kutomwendekeza jambazi namba moja ulimwenguni "wahuni wanamwita Mbunye"
 
Tupo tunafanya biashara kabla baba yako na nduli wenu hajazaliwa ndio maana list ya mabilionaire nchini wachaga wanaongoza na tuliwahi toa billionaire mweusi bwana mengi na estimations ya wealth ilikuwa ni $500 million. Utatuambia nini mfuga n’gombe na mshamba nchi hii. Hoja ya mkinga mjadala ulishafungwa hao ni wachuuzi wa maduka ya nguo au tuje na takwimu ili ukae kimya.
Wewe na miguu yenu spoku mnamaajabu gani? Huyo Mengi si alishakufa? Nitajie huo mabilionea wa kichaga mwenye pesa!
Mengi mwenyewe walikuwa fisadi tu hana maajabu yeyote!
Wewe Una chuki na wasukuma lakini nikwambie tu kuna wasukuma wengi wanawazidi pesa nyingi mnawazidi kukosa makao na kuwa na vifua vikubwa!
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.

Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.

Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.

siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,

kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,

Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................

Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero

wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana

n.k.
Ushirikiano, Elimu muhimu ila janjajanja muhimu zaidi fullstop..
Deals za Magendo asilimia 80 wanaofanya ni wachaga..

In short kila jamii unayoona imefanikiwa inasiri behind mfano wengine wapemba kwao asilimia 90 ya waliofanikiwa ni kupiti majini wakinga inajulikana..

Hizi jamii nyingine tia maji tia maji hawana ushirikiano mambo yao ni sirisiri.
 
nina mwanamke wa kichaga.nimegundua wana akili kubwa na ya utafutaji.nikimuomba ushauri hajawah kuniangusha.ila wanawake zangu wengine wao wanajua mfanye mapenz tu.
Jiandae kwenda kabirini Mali zikijaa...
 
Kule mtoto wa mwenzio akifaulu mitihani jamii yote inafurahia,

Mtoto wa jirani akinunua gari au kujenga ni furaha kwa jamii nzima na fahari ya wote,

Lakini njoo huku kwingine uone ni kinyume chake [emoji108]

Tena unakuta hadi ndugu wa tumbo moja wanamroga ndugu yao [emoji24]
Situlikubaliana uchawi haupo, ni nadharia tu za watu
 
Kiuchumi Jamaa ñi maskinii tu,Wasukuma ndo matajili ng'ombe buku Tano afu halingii, shule ilikua zamani hivi Sasa ukifika UD & Udom au SAUT more than 30%ni Wasukuma.
 
Situlikubaliana uchawi haupo, ni nadhalia tu za watu
'Nadhalia' really? Kuandika tu tabu. Nadharia nyingi kuhusu wachaga ni mbaya, ila uchawi kweli sio issue yao. Nyingine sijui ubaguzi , blah blah
 
Naunga mkono mada hasa katika suala la elimu. Wachaga wako mbali sana ukilinganisha na makabila mengine tanzania. Juzi juzi tu hapa wamefanya maajabu ya kurusha chombo kwenda kwenye space kutokana na elimu waliyopata katika sekondari ya umbwe, lyamungo, kibohehehe, ashira, machame girls, moshi tech, old mosh na weruweru. Fuatilia hapa

Euclid Space Telescope: Chaga's mission to discover dark energy and dark matter launches​



Chaga's Euclid space telescope was launched for a six-year mission to shed light on dark energy and matter and chart the largest-ever map of the universe.


A Chaga space telescope blasted off on Saturday on a quest to explore the mysterious and invisible realm known as the dark universe.

SpaceX launched the Chaga Euclid observatory toward its ultimate destination 1.5 million km away, close to where the James Webb Space Telescope is in orbit.
It will take a month to get there and another two months before it starts its ambitious six-year survey this fall.

WACHAGA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

Chanzo: Euclid Space Telescope: Europe's mission to chart the universe
 
Wewe na miguu yenu spoku mnamaajabu gani? Huyo Mengi si alishakufa? Nitajie huo mabilionea wa kichaga mwenye pesa!
Mengi mwenyewe walikuwa fisadi tu hana maajabu yeyote!
Wewe Una chuki na wasukuma lakini nikwambie tu kuna wasukuma wengi wanawazidi pesa nyingi mnawazidi kukosa makao na kuwa na vifua vikubwa!

Miguu ya spoku anayo mbunge musukuma. Utajiri wa mengi unaishi na hakuna msukuma atakuja kuvunja hio rekodi ndio maana misiba ya wachaga maraisi au mawaziri huuzuria na kutoa pole pamoja na rambirambi. huko kwenu uchawi, majungu, fitna na wivu kama lile nduli. Sina chuki na wachawi bali nawaambia ukweli kwani kwa kila mada za wachaga mla mavi ya n’gombe wewe hukomenti negative. Kama mengi alikuwa fisadi si angekamatwa nawewe waambie nduguzo wachawi nao wawe mafisadi tuone kama watatajirika au kuendeleza utajiri. Kwene list ya matajiri wa nchi hii nyinyi wachunga n’Gombe hamuwezi kutufikia. Nyie endelezeni uchawi wa kufuga fisi na roho mbaya. Ardhi tunanunua mahekari kwa mahekari kutoka kwenu walala hoi. Uliza dar utaambiwa nenda karikaooo ujionee. Wapuuzi nyinyi wachawi.
 
siri iko hapa,

wajerumani walitawala maeneo ya kilimanjaro mapema sana kuanzia 1885, hivyo wachaga walikua ni moja kati ya makabila ya kwanza kabisa kuchangamana na watu weupe tanzania bara....

shughuli la kiuchumi na ile elimu ya kikoloni kwa wale wachaga wa tabaka la juu ndo ikapelekea wao kujanjaruka haraka kuliko makabila mengine....
KUNA KITU KINAITWA CHAGGA LAND ULISHAWAHI KUSIKIA? UGOMVI WA WACHAGGA NA NYERERE UNAUELEWA?
 
Back
Top Bottom