Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Wewe umeamua kubisha tu lakini huo ndio ukweli.

Taarifa za kitafiti zimekuwa zikifanyika kwa miaka mingi na zimethibitisha kuwa wachaga ni “ borned Enterpreneures”

Mtoto wa kichaga akizaliwa tu ni Enterprenure by born.

Nenda UDSM Library au UDBS katafute taarifa ya hizo tafiti ujifunze upate kujua badala ya kubishabisha Maswala serious.
Wadanganye hakuna anayezaliwa mfanya biashara au mfugaji by nature! Kwa hali ya sasa kibongo bongo mtu yeyote anaweza kuwa business man katika nyanja yeyote!
 
Huwezi kutajirika kwa kuuza duka.



Isipokuwa Kwa kufanyaje?

Biashara hukua.

Sasa unashangaa duka vipi kuhusu kuanzia kuwa fundi viatu na fundi saa?

Kwani mitaji inapatikanaje?

Unafahamu kuhusu Financing?

Muulize Bakhresa utajiri wake alianzia juu au chini?

Waulize matajiri wengi watakwambia walikoanzia hadi kutajirika.
 
Wadanganye hakuna anayezaliwa mfanya biashara au mfugaji by nature! Kwa hali ya sasa kibongo bongo mtu yeyote anaweza kuwa business man katika nyanja yeyote!



Nimekwambia ni kwa mujibu wa taarifa za kitafiti siongelei kimtazamo kama wewe.

Tafiti kupingwa Kwa tafiti,

Kafanye yako ndipo uje kusema nadanganya watu.

Halafu huenda najadiliana na mtu mwenye ufahamu Mdogo wa mambo! [emoji848]
 
Rombo.


Ila Kwasababu Kilimanjaro ni Kama kiwilaya tu, nishazunguka kote



Wewe unashangaza sana ujue [emoji3]

Hivi mzunguuko wa hela wa Rombo utaufafanisha na Wilaya gani hapa nchini ukitoa za Dar?

Unajua hapo Rombo kwa siku yanaingia na kutoka mabasi mangapi makubwa na madogo?

Mafuso na malori je ?

Hapo alfajiri na mapema biashara huanza wakati maeneo mengine ya Wilaya nyingine watu wakiwa wamelala!

Tembea uone!
 
Nimekwambia ni kwa mujibu wa taarifa za kitafiti siongelei kimtazamo kama wewe.

Tafiti kupingwa Kwa tafiti,

Kafanye yako ndipo uje kusema nadanganya watu.

Halafu huenda najadiliana na mtu mwenye ufahamu Mdogo wa mambo! [emoji848]
Wewe unapwapwaja tu huna hoja! Utafiti huo aliufanya nani, lini na wapi? Wewe bado unaabudu ukabila tu usiona na maana mbona mtaani huku wachaga kibao tu wana kipato kidogo! Nimekwambia mtu yeyote anaweza kuwa mfanya biashara kikubwa awe na uwezo wa kujitambua na nidhamu ya fedha!
Mimi nimefanya kwenye field ya mining kwa muda nikwambie kuna watu wanatokea kijijini wanaanza biashara na leo ni mabilionea wa kibongo!
Ukiaangalia hata kwenye sekta kama ya kilimo watu hawana elimu wanafanya mambo makubwa sana nenda huko Mbeya au Morogoro na wengi wala sio wachaga!
Sasa anaposema mara biashara iko damuni unamaanisha nini? Mbona akina Diamond,Majizo, Shigongo na Kusaga wanafanyavizuri kwenye midia na ukiangalia back ground zao wengi ni tia maji tia maji!
Binadamu yeyote amepewa utashi an Mungu bila kujali kabila lake wala rangi kuweza kuwa mtu wa mambo makubwa! Mfano Mwl Nyerere kutoka kwenye kabila dogo kabisa la Wazanaki!
 
Wewe unashangaza sana ujue [emoji3]

Hivi mzunguuko wa hela wa Rombo utaufafanisha na Wilaya gani hapa nchini ukitoa za Dar?

Unajua hapo Rombo kwa siku yanaingia na kutoka mabasi mangapi makubwa na madogo?

Mafuso na malori je ?

Hapo alfajiri na mapema biashara huanza wakati maeneo mengine ya Wilaya nyingine watu wakiwa wamelala!

Tembea uone!
Nakusikitia mzunguko wa pesa Rombo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣



Halmashauri ya Rombo choka mbayaaaaaaaaaaaaaa.


Haina chochote inachotegemea kimapato.


Halmashauri mpaka inakaribia kuvunjwa.


Unaongea kuhusu mabasi ndio ndio yanapandisha mapato😂😂😂



Kati ya Halmashauri mbovu kwa kila kitu nchi hii ni rombo
 
Elimu,, uchagani wengi wao wamepata ufaham mapema na pia shule nyingi msingi na secondary zilikuwepo mda mlefu sana,, siyo kama upande WA mara huku mkoa mzima miaka ya nyuma unakuta shule za msingi ziko tatU ama tano secondary 2 unafikili maendeleo na elimu itakuwa Kwa kiasi gani
 
Nakusikitia mzunguko wa pesa Rombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Halmashauri ya Rombo choka mbayaaaaaaaaaaaaaa.


Haina chochote inachotegemea kimapato.


Halmashauri mpaka inakaribia kuvunjwa.


Unaongea kuhusu mabasi ndio ndio yanapandisha mapato[emoji23][emoji23][emoji23]



Kati ya Halmashauri mbovu kwa kila kitu nchi hii ni rombo



Choka mbaya ukilinganisha Na Halmashauri za Wilaya ipi au zipi nchini?
 
Netajie kabila ambalo halipo kila mkoa? Mchaga yupo kwenye biashara sawa lakini kwenye sekta zingine hayupo kama madini,kilimo,ufugaji kwenye sekta hizo huwezi kumlinganisha na Musukuma!
Nani kakwambia kwenye madin na kilimo na ufugaji hayupo? Sema ni kwamba wachaga ni wafanyabiashara wakubwa wakati hao wachimbaji wakichimba wanawapelekea wachaga kwa Ajili ya kuuza na kufanya biashara
 
Nani kakwambia kwenye madin na kilimo na ufugaji hayupo? Sema ni kwamba wachaga ni wafanyabiashara wakubwa wakati hao wachimbaji wakichimba wanawapelekea wachaga kwa Ajili ya kuuza na kufanya biashara
Madealer wa Dhahabu nchi hii unataka kunidanganya ni Wachaga ndo wengi? Wewe ulishawahi kwenda mpaka wa Namanga ukafanya statistics ya wafanya biashara wa wazao? Unamaanisha huko Mwanza,Tarime ,Geita,Chunya na Kahama wafanya biashara wakubwa wa dhahabu ni wachaga? Acha kulewa sifa wewe huna majibu ila umekaririshwa stori za kwenye vijiwe vya Mbege!
 
Madealer wa Dhahabu nchi hii unataka kunidanganya ni Wachaga ndo wengi? Wewe ulishawahi kwenda mpaka wa Namanga ukafanya statistics ya wafanya biashara wa wazao? Unamaanisha huko Mwanza,Tarime ,Geita,Chunya na Kahama wafanya biashara wakubwa wa dhahabu ni wachaga? Acha kulewa sifa wewe huna majibu ila umekaririshwa stori za kwenye vijiwe vya Mbege!
We unaonekana una CHUKI za wazi na wachaga ila huo ndio ukweli kwa tz wachaga na wahaya kwakweli wapo mbali kwa kila kitu
 
We unaonekana una CHUKI za wazi na wachaga ila huo ndio ukweli kwa tz wachaga na wahaya kwakweli wapo mbali kwa kila kitu
Wewe unachekesha wahaya wako mbali kwa lipi? Wale wamewekeza kwenye elimu tu kwenye biashara hamna kitu! Mimi siongei kishabiki sijasema wachaga hawako vizuri wako vizuri ila kutokana na Jamii kubadilika fursa zimekuwa za kugombania sana!
Mfano wewe unaongelea Wahaya niambie sekta gani mhaya anaishika yenye impact kwenye uchumi kama walivyo wachaga na wakinga kwenye bishara au wachaga kwenye utalii au wasukuma kwenye sekta ya madini na kilimo na ufugaji kama walivo Wamasai pia?
Tatizo kuna jamii nyingi sana za wapiga kelele nchi hii! Wewe fanya utafiti vizuri kwa watu wanofanya biashara hata ya vyombo vya usafiri kama magari,pikipiki,bajaji watakuambia vijana wa jamii zipi ni wateja wao wakubwa nk!
Nikwambie dunia hii ukiona mtu hana mafanikio ni yeye mwenyewe wala si kabila lake mfano Wachina miaka ya nyuma walikuwa maskini wa kutupwa leo hii wanaitikisa dunia kwenye mambo mengi, Ureno alikuwa moja ya nchi zilizo tawala mataifa mengine kama wakoloni lakini leo hii hakuna mtu hata anahangaika nao maana vitu vinabadilika sana!
 
Kuna makibila ya hovyo sana. akifanikiwa kidogo tu utasikia sitaki ndugu. hata Mimi siendi kwa ndugu. Sasa watu Kama Hawa wata saidianaje Kama hawatakani?
 
Jibu moja bado halijapatikana najaribu kufuatilia pg..mi nadhani ni kipaji chao na elimu..
 
😂😂😂Kufanya kazi ni jadi Kwa kila mtu Wala hatufanyi kazi kutokana na kabila fulani.
Lakini kuna makabila ambayo wazee wana bidii sana na ukiwa mzembe kijijini watu wanakucheka, wengine wanalazimisha watoto wao kusoma sana ili wafaulu wawe na kazi nzuri serikalini na wengine hawajali kama watoto wanasaidia kazi au la, au wanasoma au la wao ni bora liende tu.
 
Back
Top Bottom