Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Kwahiyo Kilimanjaro ni la kipumbavu mnooo.



Hapana,

Chukulia mfano Mdogo wa nchi ya China,

China imo kwenye big 8 countries Duniani,

Sio maskini,

Lakini watu wake wanatoka kwenda kutafuta fursa kila pande ya Dunia.
 
Unakuta Mtoto Mdogo wa Shule ya msingi unaweza kumuachia duka auze asikutie shoti?

Niambieni mtoto wa kabila gani anaweza kufanya hivyo?

Lakini Mtoto Mdogo kutoka Rombo mchukue muweke dukani popote atauza bila kukutia shoti yoyote.

Sema siku hizi wengi wanakuwa shuleni.

Zamani walikuwa wanapatikana lakini miaka hii wengi wanakuwa shuleni.
 
Mhindi wakati wa rikizo watoto wote wanaenda dukani Kwa baba ,

Wanakuwa field,

Wanaanza kuwa mentored tangu wakiwa wadogo wanaanza kupenda na kujifunza kufanya biashara,

Imagine!

Sisi waswahili hata shamba watoto wetu hawataki kwenda [emoji848][emoji848]

Wanataka washinde kijijini wale na wengine kuwa kwenye magenge ya wahuni kulewa Na kuvuta bange.

Hawataki kwenda kushinda shamba kulima,

Wengine ndio kila mtu anataka kuendesha bodaboda.

Sasa watakuwa wanaume wa aina gani hawataki kulima vijijini?

Na wazazi wa siku hizi wanawaendekeza, zamani kama hutaki kwenda shamba kulima na chakula hutapewa.

Wazazi walikuwa wanatimiza Maandiko asiyefanya kazi Na asile .
 
Zamani hata Yaya ukipata kutoka Rombo ulikuwa umepata Jembe ,

Wanapiga kazi Na hawana kilanga cha kumtega baba Mwenyenyumba,

Wanamheshimu kama Baba mzazi.

Sasa kachukue Yaya kutoka Tunduru, Singida, n.k uone.

Yeye mwenyewe anaanza kumtega mumeo [emoji108]
 
Tunaweza kujifunza kutoka kwao.

Kwanza kubadili namna yetu ya kufikiri,

Tupende kufanya kazi kama punda wanawake kwa wanaume,

Tuambiane tuache uchawi ,

Imeandikwa: mwanamke asiachwe kuishi bali auliwe.

Sehemu yoyote yenye uchawi hakuna maendeleo,

Sababu kazi yao kubwa ni kuhakikisha hakuna anayeendelea in all aspects.
 
Ni Mdogo Mdogo wa Shule ya msingi unaweza kumuachia duka auze asikutie shoti?

Niambieni mtoto wa kabila gani anaweza kufanya hivyo?

Lakini Mtoto Mdogo kutoka Rombo mchukue muweke dukani popote atauza bila kukutia shoti yoyote.

Sema siku hizi wengi wanakuwa shuleni.

Zamani walikuwa wanapatikana lakini miaka hii wengi wanakuwa shuleni.
Wewe bado unaamini huo ujinga? Kwamba hao watoto walio komea la saba wa kirombo tu ndo wanaweza kuuza maduka wasipate hasara? Hivi ulishawahi kujiuliza watoto wa Kiha wanaofanya biashara mpaka baadae yanakuwa na maduka! Mbona hata huku Kahama kuna watoto wa kisukuma wanauza maduka na elimu zao ni la saba? Huu ujinga wa kuona kabila fulani wanaweza kufanya biashara ni wa miaka hiyo! Saizi kila kabila wanafanya biashara tena wilayani huko wala sio kariakoo!
Mfano ukienda Kasulu,Kahama,Tunduma,Katoro mbona watu wa makabila yote wanafanya biashara kubwa tu na kwa mafainikio makubwa sana tu! Mfano hata Tunduma hapo mimi sijaona kwamba wachaga ndo wanafanya vizuri zaidi nawaona Wakinga na makabila mengine hata Kahama na Katoro ukienda utakutana na Wasukuma wanafanya biashara kubwa tu na kuagiza mizigo!
 
Hapana,

Chukulia mfano Mdogo wa nchi ya China,

China imo kwenye big 8 countries Duniani,

Sio maskini,

Lakini watu wake wanatoka kwenda kutafuta fursa kila pande ya Dunia.
Kilimanjaro hakuna:

  • Ardhi
  • Fursa ya biashara
  • Hakuna kilimo.


Kuna Nini???


Unataka kufananisha Kilimanjaro na China Kama Juha.


China watu wanaenda sehemu nyingine ku-export vitu vyao.

  • Teknolojia
  • Bidhaa.


Kilimanjaro mnapeleka Nini maeneo mengine?


Yaani utoke Jangwani ukatafute maji sehemu nyingine halafu unifananishe na mchina???
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.

Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.

Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.

siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,

kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,

Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................

Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero

wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana

n.k.
Hujui unalolisema
 
Wewe bado unaamini huo ujinga? Kwamba hao watoto walio komea la saba wa kirombo tu ndo wanaweza kuuza maduka wasipate hasara? Hivi ulishawahi kujiuliza watoto wa Kiha wanaofanya biashara mpaka baadae yanakuwa na maduka! Mbona hata huku Kahama kuna watoto wa kisukuma wanauza maduka na elimu zao ni la saba? Huu ujinga wa kuona kabila fulani wanaweza kufanya biashara ni wa miaka hiyo! Saizi kila kabila wanafanya biashara tena wilayani huko wala sio kariakoo!
Mfano ukienda Kasulu,Kahama,Tunduma,Katoro mbona watu wa makabila yote wanafanya biashara kubwa tu na kwa mafainikio makubwa sana tu! Mfano hata Tunduma hapo mimi sijaona kwamba wachaga ndo wanafanya vizuri zaidi nawaona Wakinga na makabila mengine hata Kahama na Katoro ukienda utakutana na Wasukuma wanafanya biashara kubwa tu na kuagiza mizigo!



Wewe umeamua kubisha tu lakini huo ndio ukweli.

Taarifa za kitafiti zimekuwa zikifanyika kwa miaka mingi na zimethibitisha kuwa wachaga ni “ borned Enterpreneures”

Mtoto wa kichaga akizaliwa tu ni Enterprenure by born.

Nenda UDSM Library au UDBS katafute taarifa ya hizo tafiti ujifunze upate kujua badala ya kubishabisha Maswala serious.
 
Wewe umeamua kubisha tu lakini huo ndio ukweli.

Taarifa za kitafiti zimekuwa zikifanyika kwa miaka mingi na zimethibitisha kuwa wachaga ni “ borned Enterpreneures”

Mtoto wa kichaga akizaliwa tu ni Enterprenure by born.

Nenda UDSM Library au UDBS katafute taarifa ya hizo tafiti ujifunze upate kujua badala ya kubishabisha Maswala serious.
Arusha imetekwa na Wachaga, mataita wa Arusha ni wachaga.
 
Halafu Mchaga hata akiwa mtoto mdogo wa Shule ya msingi ukimuachia auze duka atauza vizuri bila kuleta shoti yoyote.

Atajua kurudisha chenchi Kwa usahihi,

Atampa mteja kitu sahihi.

Hawezi kuchomekewa kirahisi.

Hashobokei mademu.

Hacheki Na manyani.
Huwezi kutajirika kwa kuuza duka.
 
Wachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...

Huyo ndio anawapa utajiri...

Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Sasa Si Bora Wao.
Kuliko Wewe Unaeangaika Na Mungu Usiyemjua .Wakuletewa Na Wazungu Na Waarabu
 
Back
Top Bottom