Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Umesahau pia ni WALEVI,,

99% ya wachaga ni WALEVI.



Mlevi ni afadhali mara mia,

Mlevi anakunywa pombe kuifurahisha nafsi yake,

Mlevi hanaribu maisha ya mtu mwingine,

Mlevi hahusudu mafanikio ya mtu mwingine,

Mlevi hafanyi wengine kuumwa,

Mlevi haziii riziki za wengine,

Mlevi hana madhara kwa mwingine.

Ndiyo maana kwenye Maandiko Matakatifu mlevi hakugizwa kuuliwa kama ilivyoagizwa kwa Mchawi .
 
ENEO PEKEE WALILOSHINDWA KUFANIKIWA, NI KWENYE NDOA.

NDOA ZAO HAZIDUMU KABISAA.

MAENEO MENGINE WAKO VIZURI
Mkuu hata ktk ndoa wapo vyema sana hawa watu!
Biashara zao ni baba, mama na watoto tofauti na sisi!
Kama ni kutengana na suala la dunia nzima na makabila yote!
 
Sisi wasukuma ni kupigana vipande kwa kwenda mbele

Ha ha
Kuna binti moja ilikua boss wangu ina asili ya huko years back ilikua ina wivu balaa, ukinunua hata simu kali anataka kujua umetoa wapi hela. Very primitive ingawa alikua msomi wa degree 2 za ulaya.
 
Ningeongea, ila ntaishia kushambuliwa tu, swala la kutafuta liko maeneo mengi tu, hv mnawajua vizuri waNyabtuzu... Sukuma ya Simiyu?
Acha kbs hyo kabila, nna mamdogo mnyantuzu, anko alimpata mkeka unasoma mamdogo 3:0 anko, amesomesha amejenga wameishi na kuishi kila anko akibet mtoto hata mmoja mkeka unasoma postponed had anko anakuja kustuka keshafika 52yo, ikabid akacheze friend match akapata katoto ka kiume, yule mamdogo alivyojua akaungana na wanae wakamtimua anko, ikabid anko ahamie kwa mama mtoto wake ndio kaanza maisha 1. Hebu fikiria mtoto wa mwisho wa mamdogo ana 23yo wa anko ana 4yo now...fikiria utabe wa wanyantuzu...
 
Mimi tungi sinywi ila naishi kizungu mkuu yaani sijibani kwenye matumizi muhimu niko na historia ya koo moja wanaitwa Chuwa ni wabahili sana Bibi mzaa baba alitoka huo ukoo unaambiwa alikuwa zamani anaficha pesa ndani mpaka zinatoa ukungu ule ukijani si unajua huku baridi.

Ikifika wakati wa jua kuwaka anatoa zile noti anaanika juani [emoji16][emoji16][emoji16] kwa ubahili ni mbahili kumbe koo yao nimekuja chunguza wapo hivyo yaani ni wachoyo pia wabinafsi sana wao wenyewe hawajipendi.

Wachagga wa mbokomu huko kirua, wachagga wa Uru wanaongoza kwa ubahili, alafu wamachame na wanarumu wafuate......

Ila wamarangu wengi ni wachagga smart ni siyo wabahili.
Wakibosho na warombo wanakunywa sana ila pesa zao huwa hawajui kuzitumia wise kama wamarangu, yaani wengi wao ni washamba wako na sifa fulani hivi kama kibosho wanashusha mjengo mkali ili wapate sifa.....ila hayo si maisha.
we jau[emoji23]. mi wa kirua mahhn, mbna cio kwel
 
Hebu kajengeni Matundu ya vyoo kwanza....

Mmeendelea mmeendelea wap? Wakati Tanzania nzima ni LDC...

Kazi kujisifia uongo hapa....
Screenshot_20230721-115058.jpg
 
Mlevi ni afadhali mara mia,

Mlevi anakunywa pombe kuifurahisha nafsi yake,

Mlevi hanaribu maisha ya mtu mwingine,

Mlevi hahusudu mafanikio ya mtu mwingine,

Mlevi hafanyi wengine kuumwa,

Mlevi haziii riziki za wengine,

Mlevi hana madhara kwa mwingine.

Ndiyo maana kwenye Maandiko Matakatifu mlevi hakugizwa kuuliwa kama ilivyoagizwa kwa Mchawi .
Unajisikiaje ukiitwa mlevi?
.kama mlevi ni sifa njema?
 
Wasukuma gani?,wakinga gani? ,Waha gani? Kwa Tanzania hakuna kabila la watu matajiri kama wachaga ,na wachaga hawapo sehemu moja ukienda kila mkoa utawakuta
Ukienda vyuon waadhiri wengi ni wachaga, ukienda tra wamejaa, tanesco wamejaa kwenye vyuo wanafunzi wengi ni wao in short wapo kila sehemu alafu wanabahati na wana asili ya mikondo ya hela
 
Mtoa uzi amesema tanzania ni nchi maskin ila kuna makabila yana-nafuu na wachaga ni mojawapo
Kila jamii ina watu nafuu na choka mbaya...

Mkuu Tanzania bado ni kundi la LDC....hakuna cha mchaga wala mnini sijui....

Hebu tembeeni muone nchi za watu....
 
kwa dunia tunayoelekea, hayo mambo utayasikia tu kwenye historia. ndio maana hata ukienda kariakoo sasaivi, anayesifika ni mkinga na mbena, mchaga anatafutwa.
Acha uongo tupo kariakoo na bado wachaga wapo juu
Wakinga wanaela ila bado wanaakili za kimaskin sana unamkuta tajiri bado anabeba mizigo au tajiri hata kuvaa mtuhani
 
Kila jamii ina watu nafuu na choka mbaya...

Mkuu Tanzania bado ni kundi la LDC....hakuna cha mchaga wala mnini sijui....

Hebu tembeeni muone nchi za watu....
Kwani mimi nimesema unajua unashida flani
Nimesema tanzania ni nchi maskin ila kuna makibila au jamii zenye nafuu
 
Wewe na miguu yenu spoku mnamaajabu gani? Huyo Mengi si alishakufa? Nitajie huo mabilionea wa kichaga mwenye pesa!
Mengi mwenyewe walikuwa fisadi tu hana maajabu yeyote!
Wewe Una chuki na wasukuma lakini nikwambie tu kuna wasukuma wengi wanawazidi pesa nyingi mnawazidi kukosa makao na kuwa na vifua vikubwa!
Kwa tanzania wahindi ndo mabroker a.k.a wanunuaji wa madini wakubwa ndo wana-connection mpaka huko dubai au thailand ila sio wasukuma
 
Kwa tanzania wahindi ndo mabroker a.k.a wanunuaji wa madini wakubwa ndo wana-connection mpaka huko dubai au thailand ila sio wasukuma
Wewe Kariakoo upo Geita na Kahama upo pia! Hizo dhahabu wandindi wanzaipata wapi hujui mnyororo wa thamani au Kariakoo hapo mnatengeneza bidhaa?
Wewe unaamini kabisa kuwa mabroker Wasukuma hawapo!
Ukuaji wa miji kama Mwanza,Kahama na Geita unachangiwa na Wachaga sio?
Basis nyingi ndo mnaakili sana nchi hii maana kila kitu mnajua!
 
Back
Top Bottom