john b kimatare kimaro
Member
- Aug 4, 2014
- 20
- 36
SASA WAZEE WANAKUAMBIA kuna nchi ilikuwa inaitwa chagga hayo mengine tafuta tafutanaskiaga tu kwenye stori za vijiweni
Hii ilikiwaje,SASA WAZEE WANAKUAMBIA kuna nchi ilikuwa inaitwa chagga hayo mengine tafuta tafuta
Unganisha goti kipindi cha sukari kuzuiwa kwenda uchagani walitishia kujitenga raisi akiwa Jk
wachaga sio kwamba ni kama waisrail,no, ni asiliyao huko wakitokea sehemu za kaskazini mwa ethiopia ,walopokimbia vita ya wenyewe kwa wenyewe,walipofika kilimanjaro waliwakuta wapare na jamii flani ya wa2 wafupi wakawafukuza wafupi na wakapigana vita na wapare na wapare wakashindwa na kukimbilia huko walipo maana ya wapare ni"wapige"Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.
Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.
1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.
Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.
siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,
kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,
Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.
kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.
Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.
Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................
Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero
wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana
n.k.
Wivu kivipi!?..nipe takwimuAcha wivu!
mimi sio mkinga wala sio mbena, ila kwa kifupi, haujawajua wakinga na utatumia muda mrefu sana kuwafahamu. wakinga ndio wanaoimport hao mangi wanajumua toka kwa wakinga. ulishasikia kitu kinaitwa MAPEMBELO.., shipping company? mapembelo ni namna ya kusalimia kwa kikinga na wao ndio wanakodi meli nzima wanawaletea kina mangi hapo. ndugu zangu wengi pia kwenye familia yangu wanafanya biashara kariakoo hivyo naongea ninachokijua.Huu mjadala wa mkinga na mbena dhidi ya mchaga hapo kkoo na dar mzima ulishafungwa ni kwamba hawana ubavu wa kushindana na kina mangi wao ni wachuuzi tu ndio maana utawakuta kwene nguo tu kwingine hawapo. Kkoo wakumkalisha mchaga ni mhindi na mwarabu basiii wengine tia maji tia maji.
Aaamen .......
Usikariri...Wachaga/uchagani kumeendelea nini!?..wachaga wangapi wapo kwenye system?
Kasema wapo wengi kwenye sistim, uchagani kumeendeleaUsikariri...
Kwani hivo sistim ndio chakula?
mimi sio mkinga wala sio mbena, ila kwa kifupi, haujawajua wakinga na utatumia muda mrefu sana kuwafahamu. wakinga ndio wanaoimport hao mangi wanajumua toka kwa wakinga. ulishasikia kitu kinaitwa MAPEMBELO.., shipping company? mapembelo ni namna ya kusalimia kwa kikinga na wao ndio wanakodi meli nzima wanawaletea kina mangi hapo. ndugu zangu wengi pia kwenye familia yangu wanafanya biashara kariakoo hivyo naongea ninachokijua.
Ila watu mnasifa za kijinga sana! Nyinyi huwa mnajiona ndo mnajua kutafuta hela nchi hii!Eti bilionea kwanza nani anamfahamu? Acha upumbavu wewe! Mbona Bakharesa tunamjua huyo bilionea wako ucharwa mbona hatumjui?Broo huu mjadala ulishafungwa. Umejadiliwa vya kutosha huenda hujawahi soma mijadala yake. baada ya takwimu uhalisia ulionekana kwamba madogo wa njombe bado sana wengi wao hata viwanda hawana na biashara yao kubwa ni nguo. Hio bapembelo cagro kwako ndio mfano. Kkoo nzima wakinga wote hata wakiungana hawawezi kumfikia billionaire Primi mushi kifedha na majengo hapo kkoo.