Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Ukitaka sababu ntakupa ulkuwa bado mdogo sana ,sema nikisema utasema nawachukia.Sema mada za kichaga
Uchagani ni zaidi ya masaki, majumba, barabara,umeme,maji,shule,mahospitali,makanisa na vingine vingi.Wachaga/uchagani kumeendelea nini!?..wachaga wangapi wapo kwenye system?
Ukiona ndoa ya mchaga imevunjika basi SII MCHAGA aliyekulia kwa wazaz wote wachaga.ENEO PEKEE WALILOSHINDWA KUFANIKIWA, NI KWENYE NDOA.
NDOA ZAO HAZIDUMU KABISAA.
MAENEO MENGINE WAKO VIZURI
Wanafanya kazi bila akili. Ni kama yule farasi kwenye kitabu cha animal farmMakabila mengine yenye nidhamu ya kufanya kazi sana ni Wasukuma,
Lakini usukumani uchawi umetamalaki sana!
Nyie majuha mtakua mlijeruhiwa marinda na wasukumaWanafanya kazi bila akili. Ni kama yule farasi kwenye kitabu cha animal farm
Ningeongea, ila ntaishia kushambuliwa tu, swala la kutafuta liko maeneo mengi tu, hv mnawajua vizuri waNyabtuzu... Sukuma ya Simiyu?Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.
Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.
Elimu, kuna wasomi wengi wa kichaga hasa ukizingatia kwao ndio sehem yenye shule nyingi zaidi hapa nchini, hapa wenzao wahaya lakini wahaya cha kujivunia huwa ni elimu pekee.
Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wamepigwa gepu refu mnooo !! refu mnoo !!
siasa - ccm wamo na vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema vina asili ya wachaga,
kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,
kujaa kwenye system, vyeo, mawazir, mabalozi, wakurugenzi, wakuu wa taasisi, ikulu, n.k.
..........................
Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero
wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana
n.k.
Kwani ni uwongo?Wanajituma kufanya kazi bila mpangilio na pia kufanya bila akili. Matokeo yake hamna maendeleo na matokeo chanya katika hizo kazi. Bora wangekaa tu vijiweni huko chini ya mibuyu kujadili mbinu na mikakati Zaidi za kuroga.Nyie majuha mtakua mlijeruhiwa marinda na wasukuma
Kumbukeni Tanzania ni third world country. In a nutshell wote maskini tu kwenye lense ya dunia.Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.
Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.
Elimu, kuna wasomi wengi wa kichaga hasa ukizingatia kwao ndio sehem yenye shule nyingi zaidi hapa nchini, hapa wenzao wahaya lakini wahaya cha kujivunia huwa ni elimu pekee.
Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wamepigwa gepu refu mnooo !! refu mnoo !!
siasa - ccm wamo na vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema vina asili ya wachaga,
kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,
kujaa kwenye system, vyeo, mawazir, mabalozi, wakurugenzi, wakuu wa taasisi, ikulu, n.k.
..........................
Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero
wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana
n.k.
Wachaga mungu awalaani wote japo mke wangu ni mchaga ila mpuuzi balaa! Mlaaniwe
Ila kwenye mahaba wapo sifuri, why?Si biashara tu, hata elimu, kujaa kwenye system, kujenga kwao, dola ya ccm na upinzani
Wasukuma hawakulagi tigo ujue 😂Nyie majuha mtakua mlijeruhiwa marinda na wasukuma