luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Huna HelaSina hela ila siwezu kugombania nafasi za kuwa konda kweny mabasi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulitaka ukonda ufanywe na mbuzi?
Hujui uchumi wewe,Kila kazi ni muhimu kiuchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna HelaSina hela ila siwezu kugombania nafasi za kuwa konda kweny mabasi[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ndo uzuzu sasa...Kuwaga muelewa usiwe kama zuzu
Uko uchagan kuna maskin wapo wengi tu lakin jamii yao inaunafuu kuliko jamii nyingi za kitanzania
Sasa Sina hela ila sio kuwa konda😂😂.Huna Hela
Ulitaka ukonda ufanywe na mbuzi?
Hujui uchumi wewe,Kila kazi ni muhimu kiuchumi
Porojo zipo na wakati mkoa wa kilimanjaro wananchi wake wanakipato kikubwa na upo top three na huku kagera ukiwa miongoni mwa mikoa maskini kabisa au unataka proof ipiHuu ndo uzuzu sasa...
Leta facts, findings na proofs...sipendi porojo mimi...
Leta research zinazoprove haya maneno yako
Mnaweza jikuta ndo jamii maskini zaidi tz...inategemea category gan unatumia
Kuwaga muelewa usiwe kama zuzu
Uko uchagan kuna maskin wapo wengi tu lakin jamii yao inaunafuu kuliko jamii nyingi za kitanzania
Sasa hiyo repot wap inaonyesha wachaga ndo wana unafuu hapo mkuu?Porojo zipo na wakati mkoa wa kilimanjaro wananchi wake wanakipato kikubwa na upo top three na huku kagera ukiwa miongoni mwa mikoa maskini kabisa au unataka proof ipi
Utoeni kwanza mkoa wenu wa kagera kwenye mikoa maskini zaid Tanzania
Najifariji nikiwa 1st world. Wewe unatamba ukiwa wapi Tajiri wangu?Jifariji
We tafuta picha zote mbaya za mkoa wa kilimanjaro zipost huku usichoke na wala usiacheSasa hiyo repot wap inaonyesha wachaga ndo wana unafuu hapo mkuu?
Nasubiri research inayoonyesha wachaga ndo wana maendeleo zaidi Tz...wew unaniletea per capita ambayo wanagawa GDP kwa population...hata hapa Africa nchi kama Equatorial Guinea na Gabon zina per capita kubwa sana mara 7 ya Tanzania katazame sasa umaskini uliotukuka huko Gabon nk
Au unataka kusema wazaramo, wahehe nk walio top ndo wana ufadhali wa maisha?
Unaona sasa ulivyo kichaa? Kajengee ndugu zako vyoo sasa huko Rombo
Na bado nitawaumbua mkitaka...
Hii ni shule huko kijiji cha makomba old moshi Kilimanjaro....
Wazazi wapo wanajisifu matajiri wakati watoto wao wanasoma kwenye mazingira haya...View attachment 2695869View attachment 2695870View attachment 2695871
Iko hivo mzee.we jau[emoji23]. mi wa kirua mahhn, mbna cio kwel
Elimu! Elimu! Elimu!
Hii ndo siri kuu ya wachaga. Wakati uhuru unapatikana tayari wachaga walikuwa mbali sana kielimu. Shule za msingi na sekondari za kutosha. Kingine pia ni kujali mila na tamaduni zao. Kwa Afrika mashariki, kati na kusini hakuna kabila lenye maendeleo kuwazidi wachaga.
Hizo takwimu za wahaya kusoma kwa asilimia 87 umezitolea wapi ebu tuletee credible sourceHAKUNA KABILA LILILO NA WASOMI WENGI KAMA WAHAYA
KATIKA POPULATION YA WAHAYA MORE THAN 87% WAMESOMA NGAZI ZA VYUO.
WACHAGA WANAIISHIA FORM 4 HALAFU WANAKOMAA NA BIASHARA.
HALAFU ACHA UONGO DOGO SAWA?
Hiyo ni siri ya kambiWachaga wako kama wahindi, wanaharibu watoto wao, utakuta mmoja dishi limeyumba huwezi kumjua kirahisi...
Huyo ndio anawapa utajiri...
Kingine ni watu wa kafara za damu za wanyama kwa wafu/mizimu...
Si kukuroga tu kukuua kabisa.Kule mtoto wa mwenzio akifaulu mitihani jamii yote inafurahia,
Mtoto wa jirani akinunua gari au kujenga ni furaha kwa jamii nzima na fahari ya wote,
Lakini njoo huku kwingine uone ni kinyume chake [emoji108]
Tena unakuta hadi ndugu wa tumbo moja wanamroga ndugu yao [emoji24]
Ila wakiwa watu wazima lazima watenganeUkiona ndoa ya mchaga imevunjika basi SII MCHAGA aliyekulia kwa wazaz wote wachaga.
Hizo link za kihun watumie hao hao wahuni wenzako mim sio muhuni
Research current HII hapa kutoka NBSHuu ndo uzuzu sasa...
Leta facts, findings na proofs...sipendi porojo mimi...
Leta research zinazoprove haya maneno yako
Mnaweza jikuta ndo jamii maskini zaidi tz...inategemea category gan unatumia
Wewe wasemaSasa Sina hela ila sio kuwa konda[emoji23][emoji23].
mwenye hela anajitetea mbona maboss wakubwa wanajulikana ni waarabu hapa bongo ndo wamashika uchumi[emoji23][emoji23].
Huyu amechanganikiwa mkoa wake ni WA Kagera ni wa kwanza kwa ufukara TanzaniePorojo zipo na wakati mkoa wa kilimanjaro wananchi wake wanakipato kikubwa na upo top three na huku kagera ukiwa miongoni mwa mikoa maskini kabisa au unataka proof ipi
Utoeni kwanza mkoa wenu wa kagera kwenye mikoa maskini zaid Tanzania