Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

Kuna redio zpo moro wanaongea mambo ya ajabu kweli ,mtu mpk huwi interested kusikiliza radio at all.
 
Wasikilize E-fm jioni tangazo LA condom Lazima adakie bila kuja na bull me siwezi kukupa huo mzigo na kile kikenya chake
 
mi kinachonikera kwenye radio ni utangazaji wa maulid kitenge na timu yake. kitenge anatangaza kama matako amekalia moto na mdomoni anatafuna pili pili. yani yuko juu juu hadi anakera, kwani hawezi kutulia akatangaza vzr. au ndio amelewa sifa
 
mi kinachonikera kwenye radio ni utangazaji wa maulid kitenge na timu yake. kitenge anatangaza kama matako amekalia moto na mdomoni anatafuna pili pili. yani yuko juu juu hadi anakera, kwani hawezi kutulia akatangaza vzr. au ndio amelewa sifa


Hahaha
 
ha,ha,ha, yule jamaa sikujuaga kama ni mwanaume, anasuta kuliko hata wanawake wa kizaramo
 
Hahahaaaa jamaa juzi kati tukawa tunabishana nasema ni mwanamke kumbe ni dume anaitwa Arnold Moshi .. #Itakuasioridhikiyule
YUle dogo mjinga kabisa alafu anaona anachofanya cha maana anakera sana. michambo kuliko hata hadija kopa. hili ndo tatizo la kuajiri watangazaji wasioifahamu vizuri tasnia ya habari. Pascal Mayalla hebu andaa kongamano la waandishi wa habari wakongwe na wapya muwape ideas hawa vijana wanatukera sana
 
Radio gani hiyo inayotangaza kwa utafiti vzr nami nifuatilie vzr hiyo radio
 
Hii r Hii redio ilikua makini zamani saivi bora iweke shiiiiiiiiiiiiiiiii naridhika
 
Congratulations!
Umenena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…