Asante ndio maisha hayo...tuliambiwa tuache umalaya lakini tukawa tunajibu mbususu tamu, wacha hiv itukomeshePole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ndio maisha hayo...tuliambiwa tuache umalaya lakini tukawa tunajibu mbususu tamu, wacha hiv itukomeshePole mkuu
Ah mie ndoa nitaiwezea wapi akili yangunyenyewe yatosha kubuka barabara na kutamani misambwanda.Karibu chamani au wewe ni team in kataa ndoa
Mi nilikua naamini kweli mapadri hawatombi na masista hawatom.bwi,kumbeeeeWakuu natumaini mu wazima wa afya,....
Katika maisha, binadamu tumekuwa watu wa kujifunza mambo mbali mbali kila siku, hali inayopelekea WATU kubadili mitazamo na baadhi ya imani pale inapobidi,...
Kwangu mimi , nilipokuwa mtoto, nilikuwa nikiwaona WATU WAZIMA wakiongea PEKE YAO njiani, basi niliwashangaa sana na pengine kuwaona kama watu waliochanganyikiwa, lakini kwasasa MTAZAMO wangu huo umebadilika kabisa, badala yake NAJIULIZA, ni nini SIRI YA WATU WAZIMA AMBAO HAWAONGEI NJIANI PEKE YAO PAMOJA NA MAGUMU YOTE HAYA TUNAYOPITIA?
Leo katika pita pita zangu mtaani nikielekea kazini, kama unavyojua tena wengine hatuna weekend wala likizo,...nikamuona mtu mmoja kwa mbali akija uelekeo wangu, alikuwa mwanaume wa kama miaka 40's alikuwa smart kiasi, LAKINI ,alikuwa akiongea peke yake, basi ikabidi nimpishe tu kwa TAHADHARI, maana wakina sisi wengine hadi NGUMI na hata MATEKE huwa tunarusha..😂😂
#maisha🙌🙌
Hivi uko serious kweli?,. Maana unazungumzia hili suala mara nyingi kama sijakosea uliwahi kuanzishia thread pia miaka ya zamaniAsante ndio maisha hayo...tuliambiwa tuache umalaya lakini tukawa tunajibu mbususu tamu, wacha hiv itukomeshe
So ni kana kwamba huamini kuwa mzabzab nipo kwa grid ya taifa ama vipi?Hivi uko serious kweli?,. Maana unazungumzia hili suala mara nyingi kama sijakosea uliwahi kuanzishia thread pia miaka ya zamani
OkSo ni kana kwamba huamini kuwa mzabzab nipo kwa grid ya taifa ama vipi?
Mbona wengintuu humu jf wanajua mie ni hiv+
nilikuwa chimbo huko, nikaumwa, nikatumia hela zote kwenye matibabu na msosi.. kabla hata sijapona ninakochimba dhahabu zikakata, watu wakapoteana nikabaki mwenyewe sina wa kunipa support,.....mbona mgonjwa nilisimama na njaa yangu kutafuta mahali pa kuchimba , nilipopata, nilishusha sululu na nyundo zaidi ya mwezi mzima ndo nakuja ambulia hela japo ya kifutia jasho, muda wote huo usiulize nakula nini, na nakula wapi? hakuna anayetaka kujua, kinachotakiwa ni kazi ifanyike......kwa ufupi njaa haina adabu🙌🙌Ila kama ungekuwa wa kike ungepata fursa..
Yapi yalikukuta..
Pole mkuu
😂 acha kabisa.nliamini mtu mzima hawezi kukosa ata mia ila nimekua nimeyaona
Ata mia mbovu dah😂 acha kabisa.
Dah nakusikitia sana kwa yaliyokukuta ..nilikuwa chimbo huko, nikaumwa, nikatumia hela zote kwenye matibabu na msosi.. kabla hata sijapona ninakochimba dhahabu zikakata, watu wakapoteana nikabaki mwenyewe sina wa kunipa support,.....mbona mgonjwa nilisimama na njaa yangu kutafuta mahali pa kuchimba , nilipopata, nilishusha sululu na nyundo zaidi ya mwezi mzima ndo nakuja ambulia hela japo ya kifutia jasho, muda wote huo usiulize nakula nini, na nakula wapi? hakuna anayetaka kujua, kinachotakiwa ni kazi ifanyike......kwa ufupi njaa haina adabu🙌🙌
Umeshaupata?Nilikuwa naamni wote wanaopata hiv ni maboya tuu. Mweeh!!! Hiyo ilikuwa kabla ya kuonja utamu wa mbususu
SIjawahi kufahamuSo ni kana kwamba huamini kuwa mzabzab nipo kwa grid ya taifa ama vipi?
Mbona wengintuu humu jf wanajua mie ni hiv+
Huu uwongoSIjawahi kufahamu
angalau nina uhakika wa kula, hata miezi mitatu ijayo,....kwa ufupi changamoto tunazopitia huwa zinatufunza beyond expection...Dah nakusikitia sana kwa yaliyokukuta ..
Ila saizi najua ushajipata maana umepitia kipindi kigumu afu hukuwa na support yoyote
Nilipoingia labour ward na kuona mwanamke akijifungua ndio nikaelewa lile andiko la MWANZO
"Mwanamke atazaa kwa uchungu"
Poleni sana
Jambo la heri ...angalau nina uhakika wa kula, hata miezi mitatu ijayo,....kwa ufupi changamoto tunazopitia huwa zinatufunza beyond expection..