Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Tatizo lilikuwepo kwenye kutofautisha kura na kulaπNilikua najua nesi ni mwanamke Dokta ni mwanaume
...
Nilikua najua kupiga kura ni kula msosi nilivokua naona wanadumbukiza vikaratasi nadhani ndio wanatoa mchango wa msosi haha childhood imagination bhana
utoto tuTatizo lilikuwepo kwenye kutofautisha kura na kula
Aya vzrutoto tu
kazi ya kueleweka ndio kazi gani mkuuhuna hata mia, una madeni na majukumu juu na huna kazi ya kuelewekaππ
Hahaha nimecheka agiza na pepsi nakuja kulipaNiljua wanaume wenye sura ngumu hawasaliti,,kilichonikutaaa ngojeni nikanywe maji
usicheke mkuu yaani hadi unamwangalia mara 2 anajiamin nn kukufanyia ivoHahaha nimecheka agiza na pepsi nakuja kulipa
Relationship nazipa respect kuna vitu nilijigamba siwezi kufanya ila nilipojaa kwenye 4-4-2 hata sitaki kukumbukausicheke mkuu yaani hadi unamwangalia mara 2 anajiamin nn kukufanyia ivo
π€£π€£π€£π€£ππΎππΎππΎRelationship nazipa respect kuna vitu nilijigamba siwezi kufanya ila nilipojaa kwenye 4-4-2 hata sitaki kukumbuka
Hata sumuni πAta mia mbovu dah
Ndio umekuja kunisemea huku, ntalipa.Niljua wanaume wenye sura ngumu hawasaliti,,kilichonikutaaa ngojeni nikanywe maji
muhimu nmeshusha upepo we ukilipa sawa tuNdio umekuja kunisemea huku, ntalipa.
Sawamuhimu nmeshusha upepo we ukilipa sawa tu
Mimi mpaka leo akilini nawaza kuwa nesi ni mwanamke tu na utu uzima wangu huu,ila pia sio mtu wa kwenda hosp may be ndio sababu.Nilikua najua nesi ni mwanamke Dokta ni mwanaume
...
Nilikua najua kupiga kura ni kula msosi nilivokua naona wanadumbukiza vikaratasi nadhani ndio wanatoa mchango wa msosi haha childhood imagination bhana
haha mkuu hii ipo hivyo kwa wengi sanaMimi mpaka leo akilini nawaza kuwa nesi ni mwanamke tu na utu uzima wangu huu,ila pia sio mtu wa kwenda hosp may be ndio sababu.