Ni jiji lipi linampa mtu fursa ya kuanza biashara na kukua kwa biashara yake?

Ni jiji lipi linampa mtu fursa ya kuanza biashara na kukua kwa biashara yake?

Mnapo angalia population ya city kua ndiyo customer base sizani kama iko sahihi sana.

Marekani ina population 330M
China population 1.4B
Lakini cheki table below nani ana consumer market kubwa worldwide

8CA5A2DD-7749-4A3C-A493-BF89A298C821.png

Hii inamaanisha nini?

Inamaanisha pato la mtu mmojammoja la USA ni kubwa kuliko la china na nchi zote.

Mtu mmoja wa USA anaweza kununua bidhaa nyingi kwa bei sawa wakati wa China ananunua bidhaa hiyohiyo ila chache.

Good measure ni per capital income,

(regional au City GDP)/(city population) then unapata pato la mtu mmoja.

So inawezakua Dar watu ni wengi ila sio wateja, hawana hela. Ila dodoma watu wachache lakini wanahela na unaungishwa bila njaa.

All in all market research inamata sana.
 
Mnapo angalia population ya city kua ndiyo customer base sizani kama iko sahihi sana.

Marekani ina population 330M
China population 1.4B
Lakini cheki table below nani ana consumer market kubwa worldwide

View attachment 2693320
Hii inamaanisha nini?

Inamaanisha pato la mtu mmojammoja la USA ni kubwa kuliko la china na nchi zote.

Mtu mmoja wa USA anaweza kununua bidhaa nyingi kwa bei sawa wakati wa China ananunua bidhaa hiyohiyo ila chache.

Good measure ni per capital income,

(regional au City GDP)/(city population) then unapata pato la mtu mmoja.

So inawezakua Dar watu ni wengi ila sio wateja, hawana hela. Ila dodoma watu wachache lakini wanahela na unaungishwa bila njaa.

All in all market research inamata sana.
Asante sana, nimeipata elimu mpya hapa maana nilishangaa iringa per capital income ni kubwa kuliko Mwanza/Arusha Ilikua nyuma ya dar.
 
Dar es Salam ni jiji ambalo biashara nyingi ni za kubangaiza tu kwa mtu mwenye mtaji chini ya million 5, maana gharama ya frame, stoo ni kubwa sana.

Mfano ukifungua duka la accecories za simu Dodoma/Arusha, kukua kibiashara ni rahisi kuliko kufungua duka kama hilo Dar es Salam. Watu wengi kwa Dar wana amini mahitaji yote watayapata Kariakoo kwa unafuu, so ukifungua duka la accecories za simu Chanika au Mbezi sidhani kama maokotoo yatakua makubwa (mtazamo wangu).

Ukisema ufungue nafaka Dar es Salam utakuta watu wanauza hizo nafaka kwa ukubwa wake, mfano Tandale, Mwananyamala,Tandika n.k.

Kwa jiji kama la Dar es Salam naona ni bora kuuza huduma (services) zaidi kuliko bidhaa (goods) kwa wingi ule wa watu hapo lazima pesa zikutembelee.

Ni mtazamo tu, wewe waonaje?
Wewe unakaa wapi maana kwa maelezo yk tu haupo dar wewe na huijui dar..
 
Asante mkuu Umeongea vizuri sana Lakini ni Bora kufanya hivyo kwa miji inayokua kuliko kufanya hivyo kwa Dar-es-salam, kwanini ? Dar-es-salam utu ni mdogo sana Mimi nilileta Michele Hapo kwa njia hiyo Cha ajabu mzigo unamuachia dalali auzee ndio akupe Hela, watu wengi wametapeliwa na kulizwa kwa mtindo huo.
Sasa njia bora ya kupambana na utapeli wa aina hii ni ipi?
 
Zanzibar na Pemba huku utapiga hela ndefu kwa maana gram 1 ya skunky ( bangi ) huuzwa shilingi 5,000/= elfu za kitanzania kwa mgeni unamuuzia dola usd 5 sawa na shilingi 12,000/= elfu. mpaka usd 7. Sawa na shilingi 17,000/= elfu.

😀😀😀😀😀

bado Bei ya poda hapo. 🙊🙊
 
Zanzibar na Pemba huku utapiga hela ndefu kwa maana gram 1 ya skunky ( bangi ) huuzwa shilingi 5,000/= elfu za kitanzania kwa mgeni unamuuzia dola usd 5 sawa na shilingi 12,000/= elfu. mpaka usd 7. Sawa na shilingi 17,000/= elfu.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

bado Bei ya poda hapo. [emoji87][emoji87]
Huu ushauri sio huu yaani madawa yanapigwa vita wewe unafagilia. [emoji706]
 
Huu ushauri sio huu yaani madawa yanapigwa vita wewe unafagilia. [emoji706]
Kijana umetumwa shauri yako,
nani anapiga vita hii biashara tuanzie hapo kwanza. 😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom