mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Nakubaliana na wewe.Nakupinga. Ww bado huujui huu mji.
Kuna maeneo ukiweka duka la vifaa vya simu bado utauza sana kuliko ukiweka Dom au Arusha, Mfano wa maeneo hayo ni gongolamboto, mbezi mwisho , kimara, Mbagala, tandika, makumbusho nk Sio lazima ufungue ofis kkoo
Mikoani mzunguko wa pesa ni mdogo sana ukilinganisha na dar
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app