Ni jiji lipi linampa mtu fursa ya kuanza biashara na kukua kwa biashara yake?

Mnapo angalia population ya city kua ndiyo customer base sizani kama iko sahihi sana.

Marekani ina population 330M
China population 1.4B
Lakini cheki table below nani ana consumer market kubwa worldwide


Hii inamaanisha nini?

Inamaanisha pato la mtu mmojammoja la USA ni kubwa kuliko la china na nchi zote.

Mtu mmoja wa USA anaweza kununua bidhaa nyingi kwa bei sawa wakati wa China ananunua bidhaa hiyohiyo ila chache.

Good measure ni per capital income,

(regional au City GDP)/(city population) then unapata pato la mtu mmoja.

So inawezakua Dar watu ni wengi ila sio wateja, hawana hela. Ila dodoma watu wachache lakini wanahela na unaungishwa bila njaa.

All in all market research inamata sana.
 
Asante sana, nimeipata elimu mpya hapa maana nilishangaa iringa per capital income ni kubwa kuliko Mwanza/Arusha Ilikua nyuma ya dar.
 
Wewe unakaa wapi maana kwa maelezo yk tu haupo dar wewe na huijui dar..
 
Sasa njia bora ya kupambana na utapeli wa aina hii ni ipi?
 
Zanzibar na Pemba huku utapiga hela ndefu kwa maana gram 1 ya skunky ( bangi ) huuzwa shilingi 5,000/= elfu za kitanzania kwa mgeni unamuuzia dola usd 5 sawa na shilingi 12,000/= elfu. mpaka usd 7. Sawa na shilingi 17,000/= elfu.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

bado Bei ya poda hapo. πŸ™ŠπŸ™Š
 
Huu ushauri sio huu yaani madawa yanapigwa vita wewe unafagilia. [emoji706]
 
Huu ushauri sio huu yaani madawa yanapigwa vita wewe unafagilia. [emoji706]
Kijana umetumwa shauri yako,
nani anapiga vita hii biashara tuanzie hapo kwanza. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…