Ni jina gani la kwako ukiitwa unajua kabisa huyu mwamba nilikutana nae wapi?

Ukiniita gugo najua kbs tulikua wote madereva Toyo ........ nlikuwa nawatafsiria vingereza wanazoandikiwa na mademu zao

Nyokah(sijui kama mnajua namna ya kutamka😁) bas najua kbs we tulikutana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…