Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Haya yoooote MKUU hayaondoi uhalisia naukweli wakwamba HIZBULLAH niwanamgambo tena kamili kabisa nawala sio wanajeshi ama jeshi
 
Kufa jeshini ni matokeo ya ushujaa na Matrydom.....ushindi ni kitu ingine.
 
Daaa kweli ukistaajabu ya pharaoh utayaona ya Mussa, yaani hiyoHezbollah ilivyo chakazwa namna ile leo hii mijitu inadai kuwa ilishinda? kweli kuna watu wanajua ubishi
Papa...
Unaweza kuingia Google fanya search kuhusu vita hivi vya 2006 kuna taarifa nyingi.

Dunia ya leo si tabu kupata ukweli wa jambo lolote.
 
Hao gays hawaishi Iran, wanaishi nje ya Iran, laba asili yao ni Iran lakini hawaishi Iran.

Nipe source inaonyesha hata bungeni wanatetea ushoga au Khamenei anayatetea.

Hao gays wanaishi ughaibuni, huyo mmoja kakimbia nchi,watamuua.

Huna facts.

Jua kutofautisha kati ya taifa linaloutetea ushoga.
Na taifa lisilo taka ushoga.

Unaniletea vi picha vya mitandaoni.

Yaani wanaume wapigwe na jeshi kuna mashoga, si ndio maana wanapigwa hadi na migambo.
 
Naomba muni fafanulie jambo kuhusiana na Hizbullah ndani ya Lebanon.
Nimezoa kusikia Hizbullah ni kikundi tu (wanamgambo) ndani ya Lebanon.

Wakiwa wao ni wanamgambo tu, jeshi kamili ndani ya Lebanon linaitwaje?

Ama kusema Lebanon haina jeshi?

Kama inalo, inakua vipi kikundi (wanamgambo) wapigane vita na nchi nyingine (Israel) wakati jeshi kamili ndani ya inchi hiyo lipo?

NB: kujifunza hakuishii shule tu ama kwa wazazi wako, popote pale unaweza jifunza ukiwa na nia ya kufanya hivyo.
 
Nawasiwasi vita vya hezbollah na israel 2006 nchi ya kigaidi ya iran ilijiingiza kwenye hiyo vita kupitia mwamvuli wa hezbollah ndio maana israel walilijua hilo kupambana hezbollah ni kuipiga iran kwanza
 
Kuna siku nilifika maeneo ya South Lebanon kwenye eneo linalolindwa na Hezbollah,jamaa wanatisha.
Wanatisha kwa lipi? Kipi chakipekee? Vipi upande wa pili napo ulibahatika kuwaona, wenyewe hawatishi? Hongera lakini kwa kufika huko
 
Wanatisha kwa lipi? Kipi chakipekee? Vipi upande wa pili napo ulibahatika kuwaona, wenyewe hawatishi?
Hongera lakini kwa kufika huko
Kwanza sijaelewa unauliza au unanbishana? Chukua mambo mawili,kuna mwaka Israel walipiga kambi ya UN kuishi mwa Lebanon, tukio ambalo siwezi kusahau sijawahi kuona msoma habari anashindwa kusoma na kuanza kulia picha zilikuwa zakutisha,tukio hili ndio lilikuwa sababu ya katibu mkuu wa UN wakati ule alikuwa Boutros Boutros Ghali kusema lilikuwa tukio la kusudi sababu post ya UN ilikuwa in alama za kutosha,hili lilipelekea figisu mpaka kuondolewa nafasi ndio ikapewa Koffi Anan.
 
Lebanon imegawanyika sehemu mbili west almost ni waislam north ni wakristo,ikumbukwe mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90 ndio Lebanon ilianza kutulia baada ya miaka mingi ya civil war,upande wa South ndio mpakani na Israel ambako ardhi kubwa ilitwaliwa na Israel,kwa kuwa Lebanon hawana jeshi la kuweza kupambana na kurudisha ardhi yao kundi la Hezbollah wakachukua jukumu la kuikomboa ardhi yake kwa kiasi kikubwa walifanikiwa kuwaondoa Israel Katika ardhi ya Lebanon kitu kilichopelekea kundi hili kuwa na ushawishi mkubwa Katika siasa za nchi hiyo...

Mpaka katikati ya miaka ya 90 Lebanon haikuwa na jeshi madhubuti kwa kiasi kikubwa walitegemea jeshi la Syria ambalo lilifanya kazi kubwa kuleta utulivu nchini Lebanon.
 
Kushinda au kushindwa vitani inategemea na lengo la kuingia vitani. Kama Israel aliwateka wapiganaji wa Hizbollah, Hizbollah akaomba waachiwe Israel akakataa. Hizbollah akaambushi convoy ya Israel nae akateka askari wa Israel, Israel akaomba askari wake waachiwe Hizbollah akaweka condition kuwa waachiliwe kwanza wapiganaji wake Israel akaamua kuingia vitani kuwachukua askari wake kwa nguvu ikashindikana hadi pale waliposuruhushwa na kila mmoja akachukua askari wake kimantiki hapa Israel alishindwa vita kwa kuwa hakufikia lengo la yeye kuingia vitani.
Hata sisi tunaitwa washindi katika vita yetu na Amin kwa kuwa tulimtoa katika ardhi ya Kagera aliyokuwa kaiteka
 
Baadhi ya nyakati Israel wanalazimika kubadishana mateka kwa maiti.
 
Swali kama Hezbollah walishinda kwa hizo missiles mbona hawakutumia mbinu hizohizo waongeze na zingine wawamalize kabisa kama wanavyootaga?
Kuna kitu hapa unashindwa kukielewa.

Israel ina nguvu kutokana na msaada wa US wa kijeshi n.k. Kupigana na Israel ni sawa na kuingia vita na US

Ile vita ya siku 6 , Israel ilishinda kwasababu moja, waarabu waliamini sana US bila kujua kila walilofanya na kupanga Israel ilijua. Ndiyo maana kabla ya ndege hazijaruka ziliangamizwa na kupeleka Gamal kupatwa na moyo.

Hezbollah ya H.Nasralah si Taifa, ni sehemu ya kusini tu ya Leabanon.
Haina infrastructure za nchi kama Israel.Ilitarajiwa kwa msaada wa US, Israel ingewamaliza katika masaa

Haikutegemewa baada ya kipigo, Hezbollah wangeweza kurudisha majibu tena ya kutisha hasa Haifa
Na kwamba, zile iron dome dhidi ya katyusha hazikufanya kazi.

Baada ya vita Israel iliunda kamati ya kuchunguza nini kimetokea. Kamati hiyo ilikuja na conclusion moja, kwamba Israel ilishindwa vita.
Ni kwa maana moja, intelligence ilifeli kiasi kwamba kila walichokifanya ilikuwa zilipendwa

Mfano, iituo cha Al Manar TV kilipoharibiwa ilichukua dakika kadhaa kikarudi hewani, tena wakiomba radhi kwa matatizo ya kiufundi. Iliwezekanaje wakati majengo na minara ilivunjiliwa mbali na Israel?

Hivyo, kushindwa ni ulinganifu wa miundo mbinu, nguvu za kijeshi n.k. hasa misaada.

Kwamba, Israel inapokea Bilioni 10 kwa mwaka za misaada ya kijeshi kutoka US, Hezbollah wanapitisha misaada panya road. Dhidi ya yote waliweza kuwalazimisha Israel warudi mezani bila sharti.

Kwa taarifa yako, vita ya Hezbollah ndiyo imekuwa wake up call kwa israel.
Kwamba, kwa nchi kama Iran hali ni mbaya sana. Hapa ndipo zengwe la silaha za Nyuklia linapoingia.

Kifo cha Qassem ilikuwa ni kutokana na msaada kwa Hezbollah na Israel walimuona hatari sana.
In fact waliomuua Qassem ni Israel, lakini haisemwi ili kutoudhi nchi za kiarabu.

Kwahiyo si suala la kuangalia juu juu, kuna mengi lakini ukubali kuwa kamati ya Israel iliyoundwa kuchunguza vita ndiyo iliyosema walishindwa vita.
 
Kuna kitu chakuweka Sawa hapa, hizbullah answarullah, ashdu ashaab, namakundi mengine mengi ambayo yanafadhiliwa na Iran yameshaanza kuonyesha vita inaelekea wap kifupi kwasasa Iran anajiweka nafas nzur San kwenye hivi vita vya mashariki yakat, namapambano yote haya nikuidhibit mashariki yakat Nan awe nausemi Nan awe nanguvu Sasa mwenye nguvu mashariki yakat Dunia itakaanae mezan kugawan keki yadunia,

Sasa ukiangalia warus nawachina wananguvu kwasasa nanikambi pinzan kwawamagharibi ukiangalia wameshagundua kua Iran anawafaa San kwenye hivi vita kwanza waira wanaonekana nimajasir kama vile kuitunguabile ndege yakijasusi iliyovuka mpaka yake hapa warusi nawachina walifurahi San Maan Iran alionyesha ujasir wahali yajuu kinyumekabisa Nanchi zakiarabu ambazo mishen zake nyungi mashariki yakat I zinajukikanaga kirahis San nakutibuliwa nawamagharibi, kwann nasema hivo naaman kwamba warus wamewapa silaha nyungi San waarabu Tena zakiwango kisichonamfano lakin usimamizi kwenye vita unakua mbovu wamagharibi wanateka hizo silaha hivo inakua hasara kubwa sna Kwa urusi ndomana akakata tamaa kuwasapoti ila kwairan kwanza anamfumo mzuri waanga ambao imekua ngum kuuingia kirahis pia hawajulikan wananin Maan wao ndowanatengeneza wenyewe hapa Sasa ndomana China nawarusi wameamua kuungan nahuu muimili unaonekana unaweza kulinda maslai Yao mashariki yakat,

Pia kwakujazia maneno yangu mmeona ujasir alioutumia Iran kurusha makombora mojakwamoja kutoka Iran nakulenga kwaustad mkubwa Sana kambi zamaekan zilizopo Iraq hii inaonyesha Sasa mlingano wavita mashariki yakat marekan a jipange vizur kumlinda muizrael Maan vita kila uchao inageuka kutoka waarabu kupigwa ndan yasiku Sita mpka Israel kushindwa vita na hizbullah hapa Kuna somo kubwa Sana

Abuu mwasti mtoto wa mama
 
Una points za msingi ila kusoma vizuri ulichoandika yahitaji moyo
 
Uchambuzi mzuri.
 
Germany pia alivyoshindwa vita akapoteza u-super power wake.

**************
Kama hujui Jambo ni bora uka "funga hilo bakuli lako" usiendelee kujidhalilisha...
 
Kuna vitu vingi Sana vinaonyesha kua mashariki yakat saiv inabadilika kwakas Sana kimkakati lakin chakuzingatia hapa nikwamba urusi ameanza kurudisha nguvu zake nalile kosa lakugombana nachina kipind chanyuma ameshalirekebisha ndomana unaonawanashirikiana kwakaribu Sana kwasasa, hilinipigo kubwa Sana kwamarekan nawashirikawake,

Nakwasababau Iran ndomgomvi mkubwa wamarekan mashariki yakat wamemuhakikishia kua watamlinda kwanguvuzao zote, ikiwemo mpaka kumpa tecnolojia kwasiri ili2 aizibiti marekan, nahili kwawajuvi wamambo watakubaliana namm,hebu elungata njoo tusaidie huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…