Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #81
Vipi kuhusu Mbowe kukosa watu wengi mikutanoni kama picha zinavyojieleza?we uko kazini kufanya propaganda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu Mbowe kukosa watu wengi mikutanoni kama picha zinavyojieleza?we uko kazini kufanya propaganda
Hahaha jamaa wamepanic utafikiri wamelazimishwa kuendelea kumpigania Mbowe mitandaoni 🤣🤣🤣Umejibu kimhemko sana kiasi kwamba ni rahisi watu wenye akili ku notes kwamba una uoga fulani juu ya ujaji wa Makonda katika mambo ya siasa. Hadi kupelekea kuonesha hofu yako wazi wazi mitandaoni.
Kweli kabisa mkuuKanyaga twende,yatagundulika mengi yetu macho
Nani mwenye ubavu wa kumtengua Mbowe pale CDM?
Yani Tz tuna watoa taarifa wasiokuwa na mbinu nzuri za upambanaji.Wakija kushtuka 2024/2025 hii hapa
Nani nani alieandika kuwa CCM inamtegemea mtu mmoja?Umeandika nini sasa!! Ccm chama chenye karibu Karne kinamtegemea Mtu mmoja? Yaani Lisu na Mbowe wanamchangia mtu mmoja na sio ccm. Ni saw na timu ya mpira iseme timu haijafungwa bali ni kikisi kibovu kilichocheza
Hata mimi nashangaa sana mkuu 😀😀Hahaha jamaa wamepanic utafikiri wamelazimishwa kuendelea kumpigania Mbowe mitandaoni 🤣🤣🤣
Kweli kbs mkuu.Yani Tz tuna watoa taarifa wasiokuwa na mbinu nzuri za upambanaji.
Haswaa...Siasa ndivyo zilivyo...
Sidhani kama anaweza kuthubutu kufanya hivyo hata siku moja!Huyu jamaa asivyo na adabu anaweza kumpigia hata Rais kwa nchi na akauweka loud kwenye vi mikutano vyake.
Weka namba wakukumbuke teuzi na weee kiongozi tabula rasa....Habari zenu wanaJF wenzangu,
Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.
Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.
View attachment 2811477
Ni hivi ndugu zangu, kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.
Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.
View attachment 2811478
Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.
Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.
Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.
Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.
View attachment 2811479
Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Wewe mbona hukuweka za kwako, ili 2025 mwenyekiti akuchague kwenye ubunge wa viti maalumu kwa sababu ya kumtetea, na kumpigania mitandaoni?Weka namba wakukumbuke teuzi na weee kiongozi tabula rasa....
alishamuwekaga Jiwe mara kibao tu kwenye mikutano yake ya Dar- MpyaSidhani kama anaweza kuthubutu kufanya hivyo hata siku moja!
😀😀😀Kweli kbs mkuu.