Ni juhudi gani zifanyike, ili kumzuia Makonda asiendelee kumdhalilisha Mwenyekiti Mbowe kupitia mikutano ya kisiasa?

Ni juhudi gani zifanyike, ili kumzuia Makonda asiendelee kumdhalilisha Mwenyekiti Mbowe kupitia mikutano ya kisiasa?

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    53.4 KB · Views: 2
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    33.7 KB · Views: 2
Umejibu kimhemko sana kiasi kwamba ni rahisi watu wenye akili ku notes kwamba una uoga fulani juu ya ujaji wa Makonda katika mambo ya siasa. Hadi kupelekea kuonesha hofu yako wazi wazi mitandaoni.
Hahaha jamaa wamepanic utafikiri wamelazimishwa kuendelea kumpigania Mbowe mitandaoni 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    53.4 KB · Views: 2
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    33.7 KB · Views: 2
Umeandika nini sasa!! Ccm chama chenye karibu Karne kinamtegemea Mtu mmoja? Yaani Lisu na Mbowe wanamchangia mtu mmoja na sio ccm. Ni saw na timu ya mpira iseme timu haijafungwa bali ni kikisi kibovu kilichocheza
 
Umeandika nini sasa!! Ccm chama chenye karibu Karne kinamtegemea Mtu mmoja? Yaani Lisu na Mbowe wanamchangia mtu mmoja na sio ccm. Ni saw na timu ya mpira iseme timu haijafungwa bali ni kikisi kibovu kilichocheza
Nani nani alieandika kuwa CCM inamtegemea mtu mmoja?

Unaijua CCM vizuri au umekimbilia kuandika ili bavicha wakuone kuwa na wewe ni mwenzao?

CCM imeshinda uchaguzi mkuu wa mwaka 1995, chini ya uenyekiti wa mzee Mwinyi, kabla hata Makonda ajajua kujifuta kamasi puani.

CCM imeshinda chaguzi kuu za mwaka 2000 na 2005 chini ya mwenyekiti hayati mzee Mkapa tena kwa kishindo kikubwa huku Makonda akiwa kwao anasoma.

CCM imeshinda chaguzi za 2010 na 2015, chini ya baba wa siasa za kisasa na kizamani mzee J. Kikwete.

CCM imeshinda uchaguzi wa kishindo mwaka 2020 hadi kupelekea mgombea wa upinzani kukimbilia Ulaya kwa kisingizio cha kuokoa maisha yake nk.

Hivyo CCM ina historia imara ya kushinda chaguzi mbali mbali bila kumtegemea mtu yoyote.

Tunachouliza kwenye mada hii, ni...
1. kwanini Mbowe ameacha kuendelea na mikutano yake ya kisiasa aliyopanga kuifanya nchi nzima?

2. Kwanini amesitisha baada ya Makonda kuchaguliwa kuwa katibu mwenezi na kuahidi kumfuatilia Mbowe kila anapokwenda ili kuhakikisha anasafisha uongo wowote utakaozungumzwa na Mbowe katika sehemu husika?

Endelea kushupaza shingo kwa kukwepesha kiini cha mada, japo hilo halitosaidia chochote katika uchaguzi mkuu unaokuja.

Upinzani unaangukia pua kila siku kwa sababu ya kuwa na vijana waliokaririshwa kitu kimoja tu cha kumtetea mwenyekiti wa chama hata anapoonekana kuwa kaishiwa pumzi, na kukitetea chama hata kinapoonekana dhahiri kuyumba.
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    53.4 KB · Views: 1
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    33.7 KB · Views: 1
Huyu jamaa asivyo na adabu anaweza kumpigia hata Rais kwa nchi na akauweka loud kwenye vi mikutano vyake.
 
Huyu jamaa asivyo na adabu anaweza kumpigia hata Rais kwa nchi na akauweka loud kwenye vi mikutano vyake.
Sidhani kama anaweza kuthubutu kufanya hivyo hata siku moja!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.
View attachment 2811477

Ni hivi ndugu zangu, kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.
View attachment 2811478
Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.
View attachment 2811479
Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Weka namba wakukumbuke teuzi na weee kiongozi tabula rasa....
 
Weka namba wakukumbuke teuzi na weee kiongozi tabula rasa....
Wewe mbona hukuweka za kwako, ili 2025 mwenyekiti akuchague kwenye ubunge wa viti maalumu kwa sababu ya kumtetea, na kumpigania mitandaoni?
 
Back
Top Bottom