Ni kama Bahati vile ila unaweza sema Mungu kampendelea Rais Samia

Ni kama Bahati vile ila unaweza sema Mungu kampendelea Rais Samia

Waliingia usiku wa manane na silaha zao kale na za kisiasa. JWTZ wakaufyata hivyo BEBERUS WAKATUPORA!!! 😂😂😂😩


Amani iwe nanyi wadau
Huko soko la dunia hapatoshi! Bei ya Mafuta na Gesi inazidi kupanda kwa Kiwango cha kutisha.

Haya yanatokea huku Ulaya na Marekani kukiwa na uhaba wa bidhaa hii adhimu kiasi kupelekea Makampuni ya Gesi na Mafuta kuamka mbio kutoka usingizini na kuanza kufufua zile fursa walizokuwa wamezitupa kando kwa miaka karibu 6 mpaka 7!

Ulaya walipokuwa wanategemea nishati mbadala sasa wameona hawawezi tena kwenda bila gesi! Baridi inayoongezeka Ulaya inafanya Gesi kuhitajika zaidi kuliko bidhaa zingine Kwa ajiri ya kupata nishati!

Ndo mana hivi Karibuni Makampuni Makubwa yameanza kujileta Tanzania! Wiki mbili zilizopita Makampuni ya Exon Mobil yalifanya kikao na Waziri Makamba.

Juzi hapa Mtendaji Mkuu wa Kampuni kubwa ya Gesi na Mafuta ya Shell ya Uholanzi kafanya kikao na Mama Samia

Vikao hivi bila shaka ni vya makampuni haya kujaribu kupata nafasi ili yapewe nafasi ya kufanya biashara hii Tanzania. Kusema kweli huu ni upepo mzuri kwa Mama Samia maana haya yanatokea chini ya uongozi wake!

Mama Samia akikaa vizuri kwenye Mazungumzo na watu hawa na tukaingia mikataba mizuri nadiliki kusema Mradi huu wa LNG ndo utakuwa mradi wa kipekee na faida zaidi kwa Tanzania na Watanzania kuliko mradi wowote uliowai na utakaowai kuja kufanywa Tanzania.

Dunia inahitaji Kweli Gesi na wako kwenye panic state ya kupata fursa ya kuchimba na kuuza Gesi. Tanzania ikicheza vizuri hapa , hata Tozo za simu tutaachana nazo.

Wito wangu kwa Mama Samia! Hii ni kete adhimu, una bahati sana, itumie vizuri hii nafasi na hutasahaulika kwa Watanzania vizazi na vizazi!View attachment 1967292
 
Mikataba ndo kila kitu

Tuandae mikataba yetu na namna tunavyotaka biashara hii iendeshwe huku tukishiriki kwenye sehemu zote nyeti!

Hapo ndo tutahakikisha nchi yetu inanufaika Kweli!

Kwenye hili tunaweza kuwa nchi ya mfano Africa na hata duniani kwa kuingia mikataba Bora inayonufaisha watanzania na Taifa kwa ujumla
"Bila "Bandali" ya Bwagamoyo" hii biashara haitoweze kufanyika"
 
"Bila "Bandali" ya Bwagamoyo" hii biashara haitoweze kufanyika"
Mradi unafanyika Lindi na Mtwara! Wewe unaongelea Bandari ya Bagamoyo, Mbona unajitoa ufahamu ndugu?

Naunga mkono Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ila unachosema hapo hakihusiani kabisa na Bandari ya Bagamoyo.
 
Sure maana haya maigizo yamekuwepo tangu enzi ya JK
Sio maigizo wewe acha ushamba na fuatilia Habari kwenye vyombo vya kimataifa! Dunia inahitaji sana gesi unaambiwa Ndo mana thamani na bei ya Nishati hii inazidi kupanda kwa kasi ya kutisha! Sio maigizo!
 
..mradi utakapoanza uzalishaji tutaweza kujua kwa uhakika kama tumepata au tumenoa.
Faida ya mradi inaaza kuonekana taingia mradi unapoanza kutekelezwa!

Wazungu wakianza kumwagika Bongo kwa ujenzi wa huu mradi Real Estate Market iliyokuwa imeshuka kwa Dar, Lindi na Mtwara itaanza kwenda vizuri!

Biashara za kisasa zinazoajiri ajira za uhakika utaanza kuziona tena!

Bank kuu yetu utaanza kuiona ikitunisha zaidi reserve yake ya fedha za kigeni maana dolali zitaingia zaidi nchini.

Kodi ya vifaa vya ujenzi wa mradi huu utatunisha zaidi makusanyo ya TRA.

So hili sio jambo dogo ndugu! Tukomae tu kuingia mikataba mizuri maana ukikamilika mkataba faida ndo zitakuwa nyingi zaidi!
 
Waliingia usiku wa manane na silaha zao kale na za kisiasa. JWTZ wakaufyata hivyo BEBERUS WAKATUPORA!!! 😂😂😂😩

Kwa akili yako Kama wametupora iweje sasa waje na kutaka kuanza kufanya mazungumzo ya kuwekeza kwenye hii mali?

Mali ingekuwa yao si wangefanya tu wapendavyo?
 
Viva mabeberu.
Mabeberu ndo wenye hela! Samia akikaa Nao vizuri tutapiga hela zao na tutafaidika sana! Mabeberu wanahitaji Nishati sasa so ni Samia kuweka vizuri timu yake ya majadiliano ili tupige hela za uhakika sasa!
 
Mimi ndiye niliyesema wametupora? Mbona nimekuwekea na ushahidi wa aliyesema hivyo!? Wewe ni NGUMBARU?

Kwa akili yako Kama wametupora iweje sasa waje na kutaka kuanza kufanya mazungumzo ya kuwekeza kwenye hii mali?

Mali ingekuwa yao si wangefanya tu wapendavyo?
 
Mungu hana upendeleo
Amani iwe nanyi wadau
Huko soko la dunia hapatoshi! Bei ya Mafuta na Gesi inazidi kupanda kwa Kiwango cha kutisha.

Haya yanatokea huku Ulaya na Marekani kukiwa na uhaba wa bidhaa hii adhimu kiasi kupelekea Makampuni ya Gesi na Mafuta kuamka mbio kutoka usingizini na kuanza kufufua zile fursa walizokuwa wamezitupa kando kwa miaka karibu 6 mpaka 7!

Ulaya walipokuwa wanategemea nishati mbadala sasa wameona hawawezi tena kwenda bila gesi! Baridi inayoongezeka Ulaya inafanya Gesi kuhitajika zaidi kuliko bidhaa zingine Kwa ajiri ya kupata nishati!

Ndo mana hivi Karibuni Makampuni Makubwa yameanza kujileta Tanzania! Wiki mbili zilizopita Makampuni ya Exon Mobil yalifanya kikao na Waziri Makamba.

Juzi hapa Mtendaji Mkuu wa Kampuni kubwa ya Gesi na Mafuta ya Shell ya Uholanzi kafanya kikao na Mama Samia

Vikao hivi bila shaka ni vya makampuni haya kujaribu kupata nafasi ili yapewe nafasi ya kufanya biashara hii Tanzania. Kusema kweli huu ni upepo mzuri kwa Mama Samia maana haya yanatokea chini ya uongozi wake!

Mama Samia akikaa vizuri kwenye Mazungumzo na watu hawa na tukaingia mikataba mizuri nadiliki kusema Mradi huu wa LNG ndo utakuwa mradi wa kipekee na faida zaidi kwa Tanzania na Watanzania kuliko mradi wowote uliowai na utakaowai kuja kufanywa Tanzania.

Dunia inahitaji Kweli Gesi na wako kwenye panic state ya kupata fursa ya kuchimba na kuuza Gesi. Tanzania ikicheza vizuri hapa , hata Tozo za simu tutaachana nazo.

Wito wangu kwa Mama Samia! Hii ni kete adhimu, una bahati sana, itumie vizuri hii nafasi na hutasahaulika kwa Watanzania vizazi na vizazi!View attachment 1967292
 
Amani iwe nanyi wadau,

Huko soko la dunia hapatoshi! Bei ya Mafuta na Gesi inazidi kupanda kwa Kiwango cha kutisha.

Haya yanatokea huku Ulaya na Marekani kukiwa na uhaba wa bidhaa hii adhimu kiasi kupelekea Makampuni ya Gesi na Mafuta kuamka mbio kutoka usingizini na kuanza kufufua zile fursa walizokuwa wamezitupa kando kwa miaka karibu 6 mpaka 7!

Ulaya walipokuwa wanategemea nishati mbadala sasa wameona hawawezi tena kwenda bila gesi! Baridi inayoongezeka Ulaya inafanya Gesi kuhitajika zaidi kuliko bidhaa zingine Kwa ajiri ya kupata nishati!

Ndo mana hivi Karibuni Makampuni Makubwa yameanza kujileta Tanzania! Wiki mbili zilizopita Makampuni ya Exon Mobil yalifanya kikao na Waziri Makamba.

Juzi hapa Mtendaji Mkuu wa Kampuni kubwa ya Gesi na Mafuta ya Shell ya Uholanzi kafanya kikao na Rais Samia.

Vikao hivi bila shaka ni vya makampuni haya kujaribu kupata nafasi ili yapewe nafasi ya kufanya biashara hii Tanzania. Kusema kweli huu ni upepo mzuri kwa Mama Samia maana haya yanatokea chini ya uongozi wake!

Rais Samia akikaa vizuri kwenye Mazungumzo na watu hawa na tukaingia mikataba mizuri nadiliki kusema Mradi huu wa LNG ndo utakuwa mradi wa kipekee na faida zaidi kwa Tanzania na Watanzania kuliko mradi wowote uliowai na utakaowai kuja kufanywa Tanzania.

Dunia inahitaji Kweli Gesi na wako kwenye panic state ya kupata fursa ya kuchimba na kuuza Gesi. Tanzania ikicheza vizuri hapa , hata Tozo za simu tutaachana nazo.

Wito wangu kwa Mama Samia! Hii ni kete adhimu, una bahati sana, itumie vizuri hii nafasi na hutasahaulika kwa Watanzania vizazi na vizazi!​

View attachment 1967292
Usicheze na nyota ya Mama,ndio maana huwa napenda tuwe tunaongozwa na Marais Waislam at least wanajua utu na haki na maisha huwa yanakuwa nafuu Sana.
 
Mimi ndiye niliyesema wametupora? Mbona nimekuwekea na ushahidi wa aliyesema hivyo!? Wewe ni NGUMBARU?
Kwa wewe kuweka iyo comment inamaanisha ndo mtazamo wako!

Sasa kati ya mimi na wewe nani Ngumbaru?
 
Usicheze na nyota ya Mama,ndio maana huwa napenda tuwe tunaongozwa na Marais Waislam at least wanajua utu na haki na maisha huwa yanakuwa nafuu Sana.
Ana nyota njema kweli kikubwa aitumie vizuri vizazi na vizazi tuje Kim kumbuka. Hii ni fursa adhimu kweli kwake
 
Uzeni kila kitu, hadi mti uzeni, mkimaliza tuuzeni sisi raia.

Na mjue hivi vitu vilikuwepo vilitunzwa sasa tamaa zimewatawala uzeni.

Huyo makamba ni kichochoro tu watu wapite kirahisi.
 
Back
Top Bottom