Uchaguzi 2020 Ni kama vile Dkt. Mollel wa Siha amekalia kuti kavu, Agrey Mwanri anarejea Jimboni!

[emoji3][emoji3]hili pigo linaitwa kata funua
 
Bora Mwanri, anakubalika agombee kwa ccm au chadema anapita bila kupingwa.
 
Yasemekana wote waliotoka CDM ni wateule wa mwenyekigoda!!
 
Kuna watu humu Kazi yao kuwatafutia ulaji wengine
Utafikiri Wana pasu wanapewa [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Wanaboa..boss naomba nikuchek jioni tupeane feedback...huez jua tukawa wa kiNa Laizer🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…