Meneja Wa Makampuni JF-Expert Member Joined Jul 7, 2020 Posts 7,899 Reaction score 10,415 Jul 6, 2022 #1
P Paulsylvester JF-Expert Member Joined Oct 15, 2021 Posts 1,464 Reaction score 3,379 Jul 6, 2022 #2 Kwa nchi kama hii ya waoga waoga hata kwenye haki zao,..! Sioni La ajabu hapo! Kwani mtu wa serikali anaye monitor mauzo yote yatokanayo na madini hayo hatuna? Au tuliingia makubaliano ya kumwamini mwekezaji atatupatia ikitokea amepata faida?
Kwa nchi kama hii ya waoga waoga hata kwenye haki zao,..! Sioni La ajabu hapo! Kwani mtu wa serikali anaye monitor mauzo yote yatokanayo na madini hayo hatuna? Au tuliingia makubaliano ya kumwamini mwekezaji atatupatia ikitokea amepata faida?
Kinkunti El Perdedo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 5,200 Reaction score 12,762 Jul 6, 2022 #3 Mgao wa. 10% kwa viongozi nani atajali?
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Jul 7, 2022 #4 Strong room za BoT zilitakiwa ziwe zimejaa Dhahabu.