Ni kazi sana kuikagua kampuni inayochimba madini au mafuta endapo muda wa kugawana faida umefika au bado.

Ni kazi sana kuikagua kampuni inayochimba madini au mafuta endapo muda wa kugawana faida umefika au bado.

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
FB_IMG_1657125615660.jpg
 
Kwa nchi kama hii ya waoga waoga hata kwenye haki zao,..! Sioni La ajabu hapo!

Kwani mtu wa serikali anaye monitor mauzo yote yatokanayo na madini hayo hatuna? Au tuliingia makubaliano ya kumwamini mwekezaji atatupatia ikitokea amepata faida?
 
Strong room za BoT zilitakiwa ziwe zimejaa Dhahabu.
 
Back
Top Bottom