Mashimba Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,125
- 1,397
Hii inafaa kuandikia uzi kabisa ili ufikishe ujumbe zaidiMchumba wangu alipata miscarriage, aliumia sana. Ajabu akaniambia ni bora angenipoteza mimi! I was perplexed! Since then I learned mke siyo ndugu yako. They're too selfish.
kila kitu kina uzito wake chief.Mkuu pole sana. Ila inaonekana we huna huruma na ni mbinafsi sana. Yan unahisi kufiwa na mke kunauma kuliko kufiwa na mzazi just imagine watoto wanajisikiaje kumpoteza mama yao. Ubinafsi ni pale unahisi wewe ndio mwenye maumivu wao hawana maumivu that is not fair. Kuwa na fikra pengine ndio inapelekea haya maumivu kuchukua muda sana kupona.
Hebu kuwa strong kwa ajili ya familia yao kwa sababu hata wao wamepoteza mama.
Wanawake siyo kabisa! 🤣Hii inafaa kuandikia uzi kabisa ili ufikishe ujumbe zaidi
Akili huna wewe.Wewe utakuwa ni malaya,hakuna kitu spendi kama watoto wangu kulelewa na mama mwingine.
Kiongozi pole sana2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Matako wewe2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana ndugu, Mungu alie mfariji akupe faraa yake na akuwezeshe kusonga mbele ili uweze kuwalea watoto wako2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana [emoji22] Mkuu2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Jaribu kuwa na stara japo kidogo, na uheshimu hisia za watu, sio kila jambo unapaswa kuwaza mawazo potofu namna hiyo, mleta mada anahitaji kutiwa moyo na kufarijiwa wewe unakuja kuandika comment ya namna hii?Futa uzi wako huna adabu na hekima ww ww unataka kumpangia mungu UNAJUAJE kama mke wako alikuwa na mpango wa Kuku tanguliza mbele za haki Usiongee USENGE kwa mama au baba mzazi axee nilifiwa na mama mwaka 2002 baba a kachukua usukani kama mama kama baba akawa akitoka kupiga tungi anatubebea na vizawadi na kutuhusia Sana na kila akilewa kama pesa ndogo sijui ni na nini Sana tu WE MP
Ni kweli inaumiza ila ulinganishi wako usiu generalise, maana inawezekana kwako wazazi hawakuwahi kuwa na thamani lakini si kwa wote na zaidi si kawaida kwa jamiu zetu hizi.2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.