Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Mnatumia kifaa gani kufikiri?2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana,idiot!2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Sema basi lkn nilitaka nikwambie hivi;2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Mkuu,Wake zetu hawana uchungu na wanaume zao hilo linajulikana , tena wengine hadi wanafanikisha vifo vya waume zao kwa namna moja au nyingine.
Wanaume wanapenda kwa dhati ,wanawake wanapenda kwa nafasi . Ndo maana majumba yetu yanajaa ndugu wa mke tu.
Kwakuwa maaelezo yake yanakubeba?Mtoa mada anahitaji faraja lakn akisoma hz comment hakuna chochote anachopata.tupunguze kuwa judgemental jamani khaa
Anza kupiga mabaa medi utakuwa sawa tu2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Ntamwambia dingi aoe mwingineMake unaweza kuoa mwingine,Mama utampata wapi?
Maumivu ya kufiwa na mke (wife material) ni makali sana. Na huchukua muda mrefu sana kuisha. I know it.2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Ujue juzi nimekaa mpk chozi hapo almost 20yrs back nkasema I wish my mom could be here!!!Pole sana.
Ingawa kwangu nahisi wazazi inauma zaidi maana tuna baba mmoja tu na mama mmoja… Paka leo huwa naweweseka nikikumbuka moment na dingi yangu
Aseehh...I can feel you brotherMimi yote yaliishanitokea. Nilifiwa na baba; nikafiwa na mama; nikafiwa na mtoto; na mwisho nikafiwa na mke. Hapo katikati nilifiwa na kaka watano na dada watatu. Kila kimoja wa vifo hivyo kina uzito wake. Huwezi kulinganisha kwamba afadhali hiki kuliko kile.
Kashawaambia kachanganyikiwa kwahyo hajielewiPole kwa majonzi Kiongozi.
Mke/Mume mkitofautiana mnaweza kuachana na ukapata mwingine.
Viipi unaweza kupata mbadala wa Mama/Baba Mzazi akifariki?
Kuna wenzio tunatembea na maumivu ya kuwapoteza wote kwa pamoja au mmoja wao na hadi sasa tumekosa mbadala wao [emoji24]
Pole Mwenyezi Mungu akutie nguvu.2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana Ndugu yangu, Mungu, pekee akusaidie katika hilo, Pole mno2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana mjane
Inauma sana
Mgane sio mjaneEee Ndio uweke na wazazi pole kwa kufiwa
Pole sana kwa kufiwa na mke ila umekosea sana kuwalinganisha wazazi na mke. Kumbuka mke waweza kumreplace lakini mzazi ni mmoja tu (Baba/Mama) ukimpoteza hutakuwa na mbadala.2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.