Ni kigezo kipi kimetumika kurudisha kodi ya kichwa wakati tayari ilihamishiwa kwenye bidhaa?

Kwa hiyo huko kwa wauza bidhaa hakuna TIN sio?

Una kichwa kikubwa ila kimejaa uji wa mhogo 😆😆😆😆
 
Nimesoma heading pekee nikaja kucomment, kama mtoa mada kaeleza mbadala mseme ili nirudi kusoma uzi wote, kama kaishia kulalama, fanya kupotezea tu.
 

Hao wabeinge walishindwa kuhoji haya mambo au ndo ile ya kupigia makofi na kusema ndiyooo ipiteeee?
 
Na mkoloni alitoza kodi ya kichwa kama tools ya kumfanya mwafrika afanye Kazi yaani kumjengea utamuduni wa kupenda Kazi, mkoloni hakutegemea kodi kuendesha nchi, bali raslimali zilizopo.
CCM wamekosa ubunifu, soon tutasherekea jubilei ya miaka 100 ya UHURU tungali na matatizo yaleyale tangu UHURU
 
CCM inatakiwa itoke madarakani hiyo ndiyo suluhu. Hata marekani kuna vyama viwili vinapokezana kuna Republic na Democratic. Kwa mbongo yeye anaona hakuna chama kingine zaidi ya CCM.
Tena wawekee na kodi ya laini yaani kila mtanzania awe analipa buku kila mwezi mwenye laini.
Kidumu chama cha mapinduzi
 
Ndiyo matokeo ya kuwa na wabunge wengi wa chama kimoja. Wabunge wenyewe wameingia kwa magumashi wanaweza kupinga kweli?
Waweke na kodi ya laini yaani kila mtanzania alipe buku kwa mwezi
Hao wabeinge walishindwa kuhoji haya mambo au ndo ile ya kupigia makofi na kusema ndiyooo ipiteeee?
 
Hii kodi Mwl Nyerere aliifuta, akaja Mwinyi akairidisha baadae tena akaifuta. Naona Samia kairudisha.

Ni kodi ya kishenzi, mtu asiezalisha chochote hatozwi kodi, anasaidiwa jamani!
Kwanini asizalishe chochote, anaishije….. nafikiri ni vema kuhamasisha watu wazalishe na si kuendekeza uzembe.
 
Unalipishwa kodi na mitozo ya kila aina, halafu hela wanaenda kununulia magari ya kifahari ma V8 VXR, kulipana posho nene, na kuishi kwenye majumba yao ya kifahari!

Ifikie wakati wananchi tuukate huu ukoloni wa ccm.
 
Na siku hizi njia ya ukusanyaji ni rahisi tu, simu yako inatosha kabisa…. hutaki achana na simu.
 
Umeandika vizuri kuhusu kodi ya kichwa. Je unadhani kodi inayolipwa ukinunua soda, ni kodi pekee unayopaswa kulipwa?

Je, una namna gani ya ku-tap informal economy?

Tulinganishe na kodi ya kichwa, kwa hiyo unadhani mwenye miaka 18 wataanza kukimbia kama ilivyokuwa kwa wazee kipindi cha mkoloni kabla kodi haijaendelea?

One fact, Kodi ya kichwa ilikuwa inafahamika kuwa ni kiasi kadhaa, hii imesema tu usajili, Je unadhani itakuja kustate kuwa kila mwenye TIN alipe kiasi kadhaa?
 
Watz tulio over 18 hatufiki hata milion 30..hata tukitoa buku buku kila mtu bado ni hela ndogo sana watakayokusanya kuliko athari zake kisiasa..wabane matumizi tu. trilion 40 ni mzigo mrefu sana.
 
Mwisho wa siku trillion 10 kila mwaka itakayokusanywa itakwenda kulipa madeni na riba juu, yaani badala ya kupeleka pamba, chai na katani ulaya tunapeleka pesa kama watumwa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…