Ni Kiongozi gani nchini aliingiza Malori 500 Mwezi Machi?

Inamaana SMG ni Chaka la wabadhilifu?
Ila wabongo ndio maana hakuna MTU makini anayewachukulia serious. Wengi midomo mirefu imechongoka na kuwasha kama kunguru aliyepakwa pilipili.

Hivi kama kweli unahitaji kuzungumza kama MTU mzima mwenye akili timamu unashindwa nini kusema GSM aliingiza maroli 500 na weka ushahidi kama.in halali au haramu.
 

Makunyanzi Yan Nini?
 
Pumbafu ila daah basi tu jana nilikuwa ushirombo karibu na bango la kanisa la Nyumba ya mkate yamepita kama 45 hivi yamefuatana nikabaki nasonya tu huku naelekea kanisani kumwomba Mungu atufurahishe kama alivyo tufurahisha 9. 21 20.3
 
Huyo atakuwa ni mzee wa bagamoyo nasikia ni mmiliki pia wa giesiem
 
Huwa napenda mno Watu 'Intelligent' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mna Akili za haraka za Kunielewa GENTAMYCINE.

Mkuu hao ( hawa ) akina MSG siyo tu Chaka la aliyeyaingiza hayo Malori 500 bali pia ni Chaka Kuu za yule Mr. Smiling Mswahili.
Endelea tu kucheza na mshika rimot na mpini.

Shauri yako!
 
Na ukienda kwenye page ya yule anaye jiita bugatti ...alijirecord nayo video....aisee kimoyo moyo nikajisemea kumbe malori yanalipa hivi
 
Sasa kwanini utukane? Una masilahi yoyote na GSM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…