Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Ile fanta ya take away hasa ikiwa ya barid
 

Attachments

  • 02430499-fa93-401b-92a5-9383b709c7ea.jpg
    02430499-fa93-401b-92a5-9383b709c7ea.jpg
    74 KB · Views: 16
Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri 😁

Vijana wa ovyo watakuja 👇
"Tafuta pesa"
 
Ile game ya Liver na chelsea ingekuwa imeahirishwa. muda huu ningekuwa nazungumza ki Hebrew! 98 mil. Umbwa wale. Wangekata kutokanana na odds kupungua lakini nisingekosa kadhaa wa kadha.
 
Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri 😁

Vijana wa ovyo watakuja 👇
"Tafuta pesa"
Tumefanana mawazo aisee,natamani hivyo pia.
 
Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri 😁

Vijana wa ovyo watakuja 👇
"Tafuta pesa"
😂😂🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom