Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Hii ni ndoto ya walio wengi....tuongeze mapambano....Kushika millioni kumi kwa mara ya kwanza
Ni jambo kubwa sana....Mwenyez Mungu akupe hitaji la moyo wako.... Then blessing others, blessing your nationAttracting abundance
Tafuta HelaKwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri π
Vijana wa ovyo watakuja π
"Tafuta pesa"
Nasikiaga mikopo mizur utaipata saccoss sio kwenye credit microfinance.....Ila pia kukopa millioni moja ninunue kiwanja natamani
Au laptop kali
Niachane na mawazo ya kijinga nitafute hela ππ
BettingIle game ya Liver na chelsea ingekuwa imeahirishwa. muda huu ningekuwa nazungumza ki Hebrew! 98 mil. Umbwa wale. Wangekata kutokanana na odds kupungua lakini nisingekosa kadhaa wa kadha.
Mawazo Gani hayoπNiachane na mawazo ya kijinga nitafute hela ππ
Tumefanana mawazo aisee,natamani hivyo pia.Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri π
Vijana wa ovyo watakuja π
"Tafuta pesa"
Wewe ni Mimi kabisa.Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri [emoji16]
Vijana wa ovyo watakuja [emoji116]
"Tafuta pesa"
πππ€£π€£π€£Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri π
Vijana wa ovyo watakuja π
"Tafuta pesa"