Usikate tamaa ya maisha yamkini upo karibu na nuru kuliko unavyodhani. Mtumainie MUNGU nae hatakuacha kamwe maana amesema hatatuacha wala kutupungukia hivyo kua na imani tu utavuka ndugu yangu. MUNGU anasema yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili na hakuna jambo asiloliweza . Hang in there jipe moyo na utavuka hiyo changamoto uliyo nayo. Bado MUNGU anakupenda na ana mambo makubwa mazuri ya kukufanyia.Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu?
KUFARIKI DUNIA
Ubarikiwe sanaEnenda sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.. Zitii amri zake, soma Neno la MUNGU na kuliishi. Zaidi ya yote kua mtu unaependa kumuomba MUNGU in short uwe mtu wa maombi maana YESU anasema kesheni mkiomba msije mkaingia majaribuni. Roho Mtakatifu ajae ndani yako maana yeye atakuongoza na kukusaidia kulitimiza kusudi la MUNGU maishani mwako na hatimae uurithi uzima wa milele.
Muhimu sana mkuu, jana nimetoka kuwaza shida zangu naingia JF uzi wa kwanza nakutana nao huu. Mungu ana namna zake za kumpa mtu.Una shida nayo ya muhimu sana?
Utapata mkuu...Kila kitu kilianza kama wazo....FREM pale kariakoo AGGREY (hilo tu)
Asante sana...Enenda sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.. Zitii amri zake, soma Neno la MUNGU na kuliishi. Zaidi ya yote kua mtu unaependa kumuomba MUNGU in short uwe mtu wa maombi maana YESU anasema kesheni mkiomba msije mkaingia majaribuni. Roho Mtakatifu ajae ndani yako maana yeye atakuongoza na kukusaidia kulitimiza kusudi la MUNGU maishani mwako na hatimae uurithi uzima wa milele.
Ushaur mzur sanaaUsikate tamaa ya maisha yamkini upo karibu na nuru kuliko unavyodhani. Mtumainie MUNGU nae hatakuacha kamwe maana amesema hatatuacha wala kutupungukia hivyo kua na imani tu utavuka ndugu yangu. MUNGU anasema yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili na hakuna jambo asiloliweza . Hang in there jipe moyo na utavuka hiyo changamoto uliyo nayo. Bado MUNGU anakupenda na ana mambo makubwa mazuri ya kukufanyia.
Aisee...hakuna binadamu asiye na mawazo....Muhimu sana mkuu, jana nimetoka kuwaza shida zangu naingia JF uzi wa kwanza nakutana nao huu. Mungu ana namna zake za kumpa mtu.
Mungu akuongoze ufanye suprise.Una shida nayo ya muhimu sana?
Sawa mkuu, nashukuru kwa kunipa moyo angalau I feel your sympathyUsikate Tamaa Mungu tupo ktkt ya Giza Nene kuna muujiza
Ipi Million 300 au Billion 1?Nishinde jackpot ya sportpesa.
Ameen, barikiwa sana kiongozi but hali ikiendelea like this, you will hear on media somebody has committed suicide somewhere on Earth and he has bought his ticket straight to Heaven,Usikate tamaa ya maisha yamkini upo karibu na nuru kuliko unavyodhani. Mtumainie MUNGU nae hatakuacha kamwe maana amesema hatatuacha wala kutupungukia hivyo kua na imani tu utavuka ndugu yangu. MUNGU anasema yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili na hakuna jambo asiloliweza . Hang in there jipe moyo na utavuka hiyo changamoto uliyo nayo. Bado MUNGU anakupenda na ana mambo makubwa mazuri ya kukufanyia.
BettingNishinde jackpot ya sportpesa.
HeavenAmeen, barikiwa sana kiongozi but hali ikiendelea like this, you will hear on media somebody has committed suicide somewhere on Earth and he has bought his ticket straight to Heaven,
Betting is just UTOPIAN IDEAS ππππ€£π€£Ipi Million 300 au Billion 1?
ile kubwaIpi Million 300 au Billion 1?
yaani watu zaidi ya watatu wamekuwa wakinionya kufanya safari za pikipiki usiku (kuanzia saa 1 ) ila mimi nikaona kawaida juzi nimepata ajari daaaah hali mbaya hapa hadi najuta mkuu.Ukiona unaonywa na watu zaidi ya mmoja juu ya kitu fulani, rudi nyuma ujiulize tena kabla ya kuendelea.
Umepata matibabu vizuri ?yaani watu zaidi ya watatu wamekuwa wakinionya kufanya safari za pikipiki usiku (kuanzia saa 1 ) ila mimi nikaona kawaida juzi nimepata ajari daaaah hali mbaya hapa hadi najuta mkuu.
nimepata mkuu, na niliye mgonga hayuko poa sana maana alikuwa kalewaUmepata matibabu vizuri ?