Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu?

KUFARIKI DUNIA
Usikate tamaa ya maisha yamkini upo karibu na nuru kuliko unavyodhani. Mtumainie MUNGU nae hatakuacha kamwe maana amesema hatatuacha wala kutupungukia hivyo kua na imani tu utavuka ndugu yangu. MUNGU anasema yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili na hakuna jambo asiloliweza . Hang in there jipe moyo na utavuka hiyo changamoto uliyo nayo. Bado MUNGU anakupenda na ana mambo makubwa mazuri ya kukufanyia.
 
Enenda sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.. Zitii amri zake, soma Neno la MUNGU na kuliishi. Zaidi ya yote kua mtu unaependa kumuomba MUNGU in short uwe mtu wa maombi maana YESU anasema kesheni mkiomba msije mkaingia majaribuni. Roho Mtakatifu ajae ndani yako maana yeye atakuongoza na kukusaidia kulitimiza kusudi la MUNGU maishani mwako na hatimae uurithi uzima wa milele.
Ubarikiwe sana
 
Enenda sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.. Zitii amri zake, soma Neno la MUNGU na kuliishi. Zaidi ya yote kua mtu unaependa kumuomba MUNGU in short uwe mtu wa maombi maana YESU anasema kesheni mkiomba msije mkaingia majaribuni. Roho Mtakatifu ajae ndani yako maana yeye atakuongoza na kukusaidia kulitimiza kusudi la MUNGU maishani mwako na hatimae uurithi uzima wa milele.
Asante sana...
 
Usikate tamaa ya maisha yamkini upo karibu na nuru kuliko unavyodhani. Mtumainie MUNGU nae hatakuacha kamwe maana amesema hatatuacha wala kutupungukia hivyo kua na imani tu utavuka ndugu yangu. MUNGU anasema yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili na hakuna jambo asiloliweza . Hang in there jipe moyo na utavuka hiyo changamoto uliyo nayo. Bado MUNGU anakupenda na ana mambo makubwa mazuri ya kukufanyia.
Ushaur mzur sanaa
 
Usikate tamaa ya maisha yamkini upo karibu na nuru kuliko unavyodhani. Mtumainie MUNGU nae hatakuacha kamwe maana amesema hatatuacha wala kutupungukia hivyo kua na imani tu utavuka ndugu yangu. MUNGU anasema yeye ni MUNGU wa wote wenye mwili na hakuna jambo asiloliweza . Hang in there jipe moyo na utavuka hiyo changamoto uliyo nayo. Bado MUNGU anakupenda na ana mambo makubwa mazuri ya kukufanyia.
Ameen, barikiwa sana kiongozi but hali ikiendelea like this, you will hear on media somebody has committed suicide somewhere on Earth and he has bought his ticket straight to Heaven,
 
Ukiona unaonywa na watu zaidi ya mmoja juu ya kitu fulani, rudi nyuma ujiulize tena kabla ya kuendelea.
yaani watu zaidi ya watatu wamekuwa wakinionya kufanya safari za pikipiki usiku (kuanzia saa 1 ) ila mimi nikaona kawaida juzi nimepata ajari daaaah hali mbaya hapa hadi najuta mkuu.
 
yaani watu zaidi ya watatu wamekuwa wakinionya kufanya safari za pikipiki usiku (kuanzia saa 1 ) ila mimi nikaona kawaida juzi nimepata ajari daaaah hali mbaya hapa hadi najuta mkuu.
Umepata matibabu vizuri ?
 
Back
Top Bottom