Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Natamani biashara yangu ya majeneza ikue kiasi kwamba niweze kuexport mzigo mpaka nje ya nchi kama Nigeria, South Africa, Ikiwezekana hata mataifa ya Ulaya
Tatizo ni connection tu
Ningepata hata connection ya mtu mkubwa mfano inapotokea maafa makubwa yale ambayo serikali huwa inaghalimia mazishi unakuta kunahitajika hata majeneza kuazia 50 kwa mkupuo au zaidi yaani hapo mtu una uhakika wa kupata hela ya maana kwa mkupuo zikipatikana tenda kama hizo mara kwa mara halafu unafanyiwa connection peke yako unapiga hela kinoma ila ndo ivo tena sina hata ndugu mmoja mwenye cheo serikalini ila huwa natamani sana kupata michongo kama hiyo
 
Natamani biashara yangu ya majeneza ikue kiasi kwamba niweze kuexport mzigo mpaka nje ya nchi kama Nigeria, South Africa, Ikiwezekana hata mataifa ya Ulaya
Tatizo ni connection tu
Ningepata hata connection ya mtu mkubwa mfano inapotokea maafa makubwa yale ambayo serikali huwa inaghalimia mazishi unakuta kunahitajika hata majeneza kuazia 50 kwa mkupuo au zaidi yaani hapo mtu una uhakika wa kupata hela ya maana kwa mkupuo zikipatikana tenda kama hizo mara kwa mara halafu unafanyiwa connection peke yako unapiga hela kinoma ila ndo ivo tena sina hata ndugu mmoja mwenye cheo serikalini ila huwa natamani sana kupata michongo kama hiyo
Mbwa dume
 
Mimi kwa ninachotamani kwa sasa ni nikutane na mtu ambaye simjui na hanijui hayupo mazingira ninayoishi. Nina upuuzi wangu mmoja hivi nataka nimhadithie nimechoka kukaa na huo upuuzi mwenyewe.
Mpaka umuone live au hata video [emoji1] maana mimi niko Mexico nakufaa kwani hunijui wala sikujui
 
Natamani kupata 120,000 Tzs nikamilishe malipo ya Domain, Host nk ya Website/Blog yangu changamoto imekuwa kubwa sana pesa napata chache majukumu ya home makubwa nina Goals kadhaa huu mwaka kubwa ila nikikamilisha hii kwa wakati itaweza fungua zingine zaidi kwasbabu nimeamua kwa dhati kuwekeza nguvu kwenye TECHNOLOGY

Mpaka Sasa nimeshandaa makala zaidi ya 100 zenye ujazo wakutosha na kujifunza mbinu za SEO changamoto kumiliki Website, so Mungu anipe mtu atayeniwezesha hili hata kwa mkopo nitamlipa kidogo kidogo kila Mwezi maana changamoto kwangu kumiliki pesa ya pamoja majukumu

Hizi makala za Blog 👇👇
View attachment 2491270

Katika Goal nne za mwaka huu Blogging mojawapo na ndio natakiwa niifanye kwa haraka zaidi (Fast not Shortcut)
View attachment 2491261

Natamani kukamilisha hili kwa wakati sana
Wish
 
Back
Top Bottom