Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

Duh! pole sana hivi unajua hata hii elimu tunayoisoma walioleta hawakuwa na hii mambo unayoona ya maana? Watu walioleta hii elimu hawakusoma pahala popote mbali walikua na akili tu hivyo kumbuka ndugu kuna tofauti kati ya kusoma na akili, maana mtu anaweza kuwa kasoma sana tu lakini akakosa akili japo kuna ufungamani kidogo kati ya akili na elimu, akili mtu huzaliwa nayo na hauwezi kuihuisha kwa mwingine isipokuwa elimu ndio hufanywa hivyo na si akili
Nyie ndio mnatuharibia elimu. 😀😀😀Duniani kote grade na GPA ndio vipimo vya uelewa wa mtu.
 
Nyie ndio mnatuharibia elimu. 😀😀😀Duniani kote grade na GPA ndio vipimo vya uelewa wa mtu.
Kwanza hata mie najilaumu sana kwanini niliacha kazi na kuamua kurudi shule? Hakika katika mambo nilifanya ya hivyo ni hili la kuamua kurudi darasani et kutafuta makaratasi tu na ajabu baada ya kurudi nakuta nilowaacha wako vizuri kimaisha sana inaniuma sana sijui hata makaratasi yatakuwa hela lini ni upuzi tu
 
Kwanza hata mie najilaumu sana kwanini niliacha kazi na kuamua kurudi shule? Hakika katika mambo nilifanya ya hivyo ni hili la kuamua kurudi darasani et kutafuta makaratasi tu na ajabu baada ya kurudi nakuta nilowaacha wako vizuri kimaisha sana inaniuma sana sijui hata makaratasi yatakuwa hela lini ni upuzi tu
Ni bora ungejilaumu kwa elimu yako kushindwa kutengeneza ajira yakwako mwenyewe boss. Ungejilaumu kwanini uliajiriwa. Kurudi shule sio tatizo boss.
 
Mm siamini sana kwenye ukubwa na udogo wa GPA, ila katika skills, competence, networking n.k sio wote wenye GPA kubwa wana uwezo mkubwa wa hivyo vitu ambavyo soko la ajira linataka mfano unakuta mtu kweli yuko smart kichwani, ana GPA kubwa lakini presentation skills zake za kile anachokijua ni za hovyo sana, kiasi inakuwa ngumu kumshawishi mtu kama kweli ile GPA ni yake.

Lakini unakutana na mwenye 2.7 yuko smart sana kuanzia organization skills, presentation, networking sasa kama ww muajiri una mchukua yupi
 
Mm siamini sana kwenye ukubwa na udogo wa GPA, ila katika skills, competence, networking n.k sio wote wenye GPA kubwa wana uwezo mkubwa wa hivyo vitu ambavyo soko la ajira linataka mfano unakuta mtu kweli yuko smart kichwani, ana GPA kubwa lakini presentation skills zake za kile anachokijua ni za hovyo sana, kiasi inakuwa ngumu kumshawishi mtu kama kweli ile GPA ni yake.

Lakini unakutana na mwenye 2.7 yuko smart sana kuanzia organization skills, presentation, networking sasa kama ww muajiri una mchukua yupi
Sasa ni kipi kinamfanya huyo mwenye 2.7 kukosa hiyo GPA? 😀😀😀Tatizo Tanzania mnafanya kazi non professional. Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini kampuni za auditing zinachukua watu wenye GPA kubwa? Ukimchukua huyo wa 2.7 ataweza kufanya hesabu????
 
Ajira ni mpango wa Mungu kijana wala usijisifu. Ila mwenye A na GPA zake ndio mwenye uwezo kukuzidi. Wote wanaokuongoza katika taifa hili fuatilia ufaulu wao, hakuna mbumbu wote wamekula vitabu na wana GPA kubwa. Ni mmoja mmoja wasio na good education track record.
Kwanini unamzuia asijisifu kuongoza matokeo ya interview na kupata kazi, kwani ni kosa kusema uhalisia.
Mwenye A ana uwezo kumzidi si ndio aende kwenye interview ashinde sasa ugomvi uko wapi. Au akikosa na hapo useme ni mpango wa Mungu.

Mbumbumbu kibao wanaongoza nchi, Babu Tale ana elimu gani yule? Musukuma ana elimu gani? Kikwete kawa Rais ila hata GPA ya 3.0 inasemekana hakufikisha. Viongozi wa ufaulu wa kawaida tunao wengi tu. Huyu Samia ana elimu gani, mtu kahitimu kidato cha nne hajachaguliwa kuendelea mpaka alipokuja kuungaunga baadae. Mwinyi alikuwa na maajabu gani kitaaluma, si mwalimu wa shule ya msingi aliyejiendeleza yule.
 
Haya ya GPA nawona bado inakusumbua sana.. hata kama imekuwaje maishani.. ila ndio maana yake.. ni kula vitabu na kuvitafuna.. haya yasipate mtu maishani.. ila ndio hivyo kila muntu na uwezo wake huko juu.. bila kusahau.. bidii muhimu.. ili yasije majuto..

Pole..
 
Ajira ni mpango wa Mungu kijana wala usijisifu. Ila mwenye A na GPA zake ndio mwenye uwezo kukuzidi. Wote wanaokuongoza katika taifa hili fuatilia ufaulu wao, hakuna mbumbu wote wamekula vitabu na wana GPA kubwa. Ni mmoja mmoja wasio na good education track record.
Una uhakika?
 
Kwa ninavyofahamu mimi ni kuwa watu wengi wenye GPA za 2.0 - 3.4 hawa watu huwa wana akili sana ila kinachowafelisha ni kutoku copy na ku paste alichofundisha lecturer. Hawa huwa hawakariri na waadhiri wwngi wanataka mtu akariri mawazo yao

Binafsi nikiwa kwenye nafasi ya kuajiri siwezi kuajiri mtu mwenye GPA kuanzia 3.5 - 5 sababu nafahamu kabisa hao ni watu wa kukariri mambo, mifano ipo.

Nimewahi kuwa kwenye panel ya interview mahali alikuja mtu ana GPA 4.8 ya Social work akawa hajui uhusiano uliopo kati ya sheria na mambo ya social work. Alinisikitisha sana, akazidiwa na mtu mwenye diploma ya social work mwenye GPA ya 2.4 iliyomzuia kwenda degree imagine.

Na hapo watu walikuwa wameweka matumaini kwa yule mwenye GPA kali ambayo angeweza kuwa tutor wa huyu wa Diploma kama angeenda kuwa mkufunzi. Ilisikitisha sana maana hadi kazi alikosa akapata yule wa diploma ya GPA ya 2.4

Pia nmesoma na watu wana GPA kubwa ila hakuna kitu.

Huku Tz ukitengamuda ukawa unajisomea vitabu unaweza kuwa na maarifa makubwa kuliko hata watu wenye masters zao na ukawakalisha kwenye kuelezea mambo.
 
Kwanini unamzuia asijisifu kuongoza matokeo ya interview na kupata kazi, kwani ni kosa kusema uhalisia.
Mwenye A ana uwezo kumzidi si ndio aende kwenye interview ashinde sasa ugomvi uko wapi. Au akikosa na hapo useme ni mpango wa Mungu.

Mbumbumbu kibao wanaongoza nchi, Babu Tale ana elimu gani yule? Musukuma ana elimu gani? Kikwete kawa Rais ila hata GPA ya 3.0 inasemekana hakufikisha. Viongozi wa ufaulu wa kawaida tunao wengi tu. Huyu Samia ana elimu gani, mtu kahitimu kidato cha nne hajachaguliwa kuendelea mpaka alipokuja kuungaunga baadae. Mwinyi alikuwa na maajabu gani kitaaluma, si mwalimu wa shule ya msingi aliyejiendeleza yule.
Wewe Kikwete unamjua vizuri?? Na huyo mwinyi unamjua vizuri. Kikwete kasoma UDSM. UDSM huwa hawaendi waliofeli boss.
 
Kwa ninavyofahamu mimi ni kuwa watu wengi wenye GPA za 2.0 - 3.4 hawa watu huwa wana akili sana ila kinachowafelisha ni kutoku copy na ku paste alichofundisha lecturer. Hawa huwa hawakariri na waadhiri wwngi wanataka mtu akariri mawazo yao

Binafsi nikiwa kwenye nafasi ya kuajiri siwezi kuajiri mtu mwenye GPA kuanzia 3.5 - 5 sababu nafahamu kabisa hao ni watu wa kukariri mambo, mifano ipo.

Nimewahi kuwa kwenye panel ya interview mahali alikuja mtu ana GPA 4.8 ya Social work akawa hajui uhusiano uliopo kati ya sheria na mambo ya social work. Alinisikitisha sana, akazidiwa na mtu mwenye diploma ya social work mwenye GPA ya 2.4 iliyomzuia kwenda degree imagine.

Na hapo watu walikuwa wameweka matumaini kwa yule mwenye GPA kali ambayo angeweza kuwa tutor wa huyu wa Diploma kama angeenda kuwa mkufunzi. Ilisikitisha sana maana hadi kazi alikosa akapata yule wa diploma ya GPA ya 2.4

Pia nmesoma na watu wana GPA kubwa ila hakuna kitu.

Huku Tz ukitengamuda ukawa unajisomea vitabu unaweza kuwa na maarifa makubwa kuliko hata watu wenye masters zao na ukawakalisha kwenye kuelezea mambo.
Wa chuo gani huyo boss.??
 
Mkumbushe mhwshimiwa mbunge anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu au tuseme ilimu 😂😂😂
Ni vyema tuorodheshe wabunge wote na elimu zao. Na mawaziri wote na elimu zao. Sio unachukulia mfano wa mbunge mmoja mmoja.
 
Kwanini unamzuia asijisifu kuongoza matokeo ya interview na kupata kazi, kwani ni kosa kusema uhalisia.
Mwenye A ana uwezo kumzidi si ndio aende kwenye interview ashinde sasa ugomvi uko wapi. Au akikosa na hapo useme ni mpango wa Mungu.

Mbumbumbu kibao wanaongoza nchi, Babu Tale ana elimu gani yule? Musukuma ana elimu gani? Kikwete kawa Rais ila hata GPA ya 3.0 inasemekana hakufikisha. Viongozi wa ufaulu wa kawaida tunao wengi tu. Huyu Samia ana elimu gani, mtu kahitimu kidato cha nne hajachaguliwa kuendelea mpaka alipokuja kuungaunga baadae. Mwinyi alikuwa na maajabu gani kitaaluma, si mwalimu wa shule ya msingi aliyejiendeleza yule.
Ongezea hapo magu six alikula za mbavu
Akaenda Diploma ya Ualimu(kemia)
Akaunga Unga Degree ya kemia
Akaunga Unga tena Masters ya kemia
Hatimaye PhD ya mchongo.

Elimu ya chuo kupata GPA kubwa ni mtu kuzingatia masomo na Kukosa muda wa kufanya vitu vingine.
Yaani hawa watu huwa hawana skills nyingine nje ya zile walizofundishwa[emoji38][emoji38]

Ni kukariri tu kwa kwenda mbele ila ukija Interview ya kweli knockout zinawahusu
 
Una uhakika?
Ndio ajira ni mpango wa Mungu boss. Mungu akiamua mtu anapata anapata tu. Haina haja ya kukwepa swala la GPA na grade za juu litabakia kuwa ndio kipimo cha uelewa wa mtu. Otherwise hao HRs wawe nao wamepata GPA ndogo. 😀😀😀😀😀Lazima wafanye figisu
 
Mkumbushe mheshimiwa mbunge anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu au tuseme ilimu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ajue kusoma na kuandika
Halafu hawa ndio watunga sheria[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ongezea hapo magu six alikula za mbavu
Akaenda Diploma ya Ualimu(kemia)
Akaunga Unga Degree ya kemia
Akaunga Unga tena Masters ya kemia
Hatimaye PhD ya mchongo.

Elimu ya chuo kupata GPA kubwa ni mtu kuzingatia masomo na Kukosa muda wa kufanya vitu vingine.
Yaani hawa watu huwa hawana skills nyingine nje ya zile walizofundishwa[emoji38][emoji38]

Ni kukariri tu kwa kwenda mbele ila ukija Interview ya kweli knockout zinawahusu
Tunaomba passmark za kwenda form six miaka ya 90 tulinganishe na sasa. Angekua hana uwezo mkubwa asingechaguliwa UDSM. Pass mark za kuingia UDSM huwa kubwa sana.
 
Outlier.

Watu wanadili na outlier kudroo conclusion


Ikiwapendeza kila mchangiaji aanze kwa kusema kuwa alipata GPA kubwa au ndogo ndio aendelee na mchango
 
Alienda akitoka high school udsm
Ila alitoka na Gentleman degree
Ni kozi ndio ilitaka hivyo, nadhani kuna kozi pale UDSM huwezi pata GPA kubwa kizembe. Waulize watu wa Mechanical, Zoology, Law etc.
 
Back
Top Bottom