Ni kipi kilisababisha Magufuli kupiganiwa na makabila matatu ?

Ni kipi kilisababisha Magufuli kupiganiwa na makabila matatu ?

Kuna sababu kubwa mbili.

1- Magufuli KUTOKUWA na Agenda. Ndio maana alikuwa akifika sehemu anajifanya yeye ni wa eneo Hilo ili kutafuta uhalali wa kupewa kura au kukubalika kwamba Ni wa nyumbani.

(Uchaggani alioa, Uhayani ( Mzilankende myango, Usukumani aliongea kisukuma majukwaani n.k )

2- Watanzania wengi wako hivyo. Kujaribu kujihusisha na mtu yeyote ambaye anaonekana ana mamlaka na umaarufu.
Alimuoa nani uchagani??
 
Back
Top Bottom