Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Ni kisa au mkasa gani uliwahi kufanyiwa na ndugu au mtu wako wa karibu?

Nilishawahi kuajiriwa na muhindi mmoja kama project manager. Ali apply tender iliyohusisha kuweka signage (mabango) nchi nzima kutoka kampuni moja maarufu ya Makaburu (South Africans). Kipindi hicho ilikuwa project yenye thamani ya kama $100,000.

Kabla ya kupata tender kulikuwa na bidding ambapo moja ya sharti ilikuwa ni kuwakilisha installation plan (proposal) iliyohusisha uchambuzi wa matumizi ya budget, utekelazaji wa kazi mpaka kukamilika kwake.

Nilifanya kazi ya kuandaa plan wiki 2 nzima usiku na mchana maana ilikuwa inahitajika haraka. Ilipotimia na kuwakilishwa muhindi akashinda tender.

Ilipoidhinishwa tu kuwa kashinda jamaa akaniambia kuna muhindi mwenzie toka India (expatriate) atasimamia hiyo project (kutumia plan yangu), moja ya makubaliano yetu ya awali ilikuwa nitaisimamia mimi hiyo project yote endapo proposal yangu itapita.

Aliposema mambo ya expatriate tu nikatoa notice yangu ya mwezi mmoja ya kuacha kazi.

Kipindi nataarisha plan ya hiyo project nilifanya research ya kutosha nikijua nitasimamia mimi mwenyewe hivyo niliweza kuhalalisha baadhi ya matumizi ya budget nikijua nitafanikisha vipi baada ya research yangu.

Phase ya kwanza ya project ilianzia mikoa ya Tanga, Arusha na Moshi. Muhindi alipopewa mzigo installation ianze akachemka baada ya kumaliza Tanga tu. Pesa ilikata na kazi hata robo haijaisha.
Kila sehemu ilikuwa na time limit kama ilivyoanishwa kwenye proposal plan, muhindi alichemka phase ya kwanza tu huku ikiwa keshachukuwa advance ya Mkaburu.

Nilifanya presentation mimi mwenyewe kwenye bidding kwa niaba ya muhindi, hivyo sharti aliliopewa na makaburu ni kuwa aliendaa na kufanya presentation ya proposal ndio asimamie project la sivyo atanyang'anywa kazi.

Ilibidi muhindi anitafute tukae chini tena akiahidi offer kubwa kulinganisha na ya awali. Nilimkatalia na wakati huo huo nili apply kivyangu kwa makaburu wanipe project mimi kama mimi.

SIkuwa na kampuni yangu hivyo ile project ikahamishiwa kuwa in house project kumaanisha walianzisha kitengo maalum cha signage ndani ya kampuni yao kuanzia production mpaka installation na mimi nikapewa hicho kitengo kukisimamia. Hivyo badala ya Project Manager nikawa Division Manager.

Kwa ile phase ya kwanza ilimlazimu muhindi kumaliza na ilibidi areport kwangu moja kwa moja kwa niaba ya kaburu, karma is real.

Sehemu ya kazi iliyobaki iliisha kwa wakati na mpaka sasa kupitia hiyo project kitengo cha signage kwenye kampuni ya kaburu kimekuwa one of the leading signage companies kwa Tanzania.

Katika maisha chochote kinachopaswa kuwa chako kitakuwa chako tu haijalishi kitachelewa kwa kiasi gani.
I like this, maelezo yako yanaonyesha wazi unaijua proffession yako
 
Nilishawahi kuajiriwa na muhindi mmoja kama project manager. Ali apply tender iliyohusisha kuweka signage (mabango) nchi nzima kutoka kampuni moja maarufu ya Makaburu (South Africans). Kipindi hicho ilikuwa project yenye thamani ya kama $100,000.

Kabla ya kupata tender kulikuwa na bidding ambapo moja ya sharti ilikuwa ni kuwakilisha installation plan (proposal) iliyohusisha uchambuzi wa matumizi ya budget, utekelazaji wa kazi mpaka kukamilika kwake.

Nilifanya kazi ya kuandaa plan wiki 2 nzima usiku na mchana maana ilikuwa inahitajika haraka. Ilipotimia na kuwakilishwa muhindi akashinda tender.

Ilipoidhinishwa tu kuwa kashinda jamaa akaniambia kuna muhindi mwenzie toka India (expatriate) atasimamia hiyo project (kutumia plan yangu), moja ya makubaliano yetu ya awali ilikuwa nitaisimamia mimi hiyo project yote endapo proposal yangu itapita.

Aliposema mambo ya expatriate tu nikatoa notice yangu ya mwezi mmoja ya kuacha kazi.

Kipindi nataarisha plan ya hiyo project nilifanya research ya kutosha nikijua nitasimamia mimi mwenyewe hivyo niliweza kuhalalisha baadhi ya matumizi ya budget nikijua nitafanikisha vipi baada ya research yangu.

Phase ya kwanza ya project ilianzia mikoa ya Tanga, Arusha na Moshi. Muhindi alipopewa mzigo installation ianze akachemka baada ya kumaliza Tanga tu. Pesa ilikata na kazi hata robo haijaisha.
Kila sehemu ilikuwa na time limit kama ilivyoanishwa kwenye proposal plan, muhindi alichemka phase ya kwanza tu huku ikiwa keshachukuwa advance ya Mkaburu.

Nilifanya presentation mimi mwenyewe kwenye bidding kwa niaba ya muhindi, hivyo sharti aliliopewa na makaburu ni kuwa aliendaa na kufanya presentation ya proposal ndio asimamie project la sivyo atanyang'anywa kazi.

Ilibidi muhindi anitafute tukae chini tena akiahidi offer kubwa kulinganisha na ya awali. Nilimkatalia na wakati huo huo nili apply kivyangu kwa makaburu wanipe project mimi kama mimi.

SIkuwa na kampuni yangu hivyo ile project ikahamishiwa kuwa in house project kumaanisha walianzisha kitengo maalum cha signage ndani ya kampuni yao kuanzia production mpaka installation na mimi nikapewa hicho kitengo kukisimamia. Hivyo badala ya Project Manager nikawa Division Manager.

Kwa ile phase ya kwanza ilimlazimu muhindi kumaliza na ilibidi areport kwangu moja kwa moja kwa niaba ya kaburu, karma is real.

Sehemu ya kazi iliyobaki iliisha kwa wakati na mpaka sasa kupitia hiyo project kitengo cha signage kwenye kampuni ya kaburu kimekuwa one of the leading signage companies kwa Tanzania.

Katika maisha chochote kinachopaswa kuwa chako kitakuwa chako tu haijalishi kitachelewa kwa kiasi gani.
Kangaroo
 
Nilishawahi kuajiriwa na muhindi mmoja kama project manager. Ali apply tender iliyohusisha kuweka signage (mabango) nchi nzima kutoka kampuni moja maarufu ya Makaburu (South Africans). Kipindi hicho ilikuwa project yenye thamani ya kama $100,000.

Kabla ya kupata tender kulikuwa na bidding ambapo moja ya sharti ilikuwa ni kuwakilisha installation plan (proposal) iliyohusisha uchambuzi wa matumizi ya budget, utekelazaji wa kazi mpaka kukamilika kwake.

Nilifanya kazi ya kuandaa plan wiki 2 nzima usiku na mchana maana ilikuwa inahitajika haraka. Ilipotimia na kuwakilishwa muhindi akashinda tender.

Ilipoidhinishwa tu kuwa kashinda jamaa akaniambia kuna muhindi mwenzie toka India (expatriate) atasimamia hiyo project (kutumia plan yangu), moja ya makubaliano yetu ya awali ilikuwa nitaisimamia mimi hiyo project yote endapo proposal yangu itapita.

Aliposema mambo ya expatriate tu nikatoa notice yangu ya mwezi mmoja ya kuacha kazi.

Kipindi nataarisha plan ya hiyo project nilifanya research ya kutosha nikijua nitasimamia mimi mwenyewe hivyo niliweza kuhalalisha baadhi ya matumizi ya budget nikijua nitafanikisha vipi baada ya research yangu.

Phase ya kwanza ya project ilianzia mikoa ya Tanga, Arusha na Moshi. Muhindi alipopewa mzigo installation ianze akachemka baada ya kumaliza Tanga tu. Pesa ilikata na kazi hata robo haijaisha.
Kila sehemu ilikuwa na time limit kama ilivyoanishwa kwenye proposal plan, muhindi alichemka phase ya kwanza tu huku ikiwa keshachukuwa advance ya Mkaburu.

Nilifanya presentation mimi mwenyewe kwenye bidding kwa niaba ya muhindi, hivyo sharti aliliopewa na makaburu ni kuwa aliendaa na kufanya presentation ya proposal ndio asimamie project la sivyo atanyang'anywa kazi.

Ilibidi muhindi anitafute tukae chini tena akiahidi offer kubwa kulinganisha na ya awali. Nilimkatalia na wakati huo huo nili apply kivyangu kwa makaburu wanipe project mimi kama mimi.

SIkuwa na kampuni yangu hivyo ile project ikahamishiwa kuwa in house project kumaanisha walianzisha kitengo maalum cha signage ndani ya kampuni yao kuanzia production mpaka installation na mimi nikapewa hicho kitengo kukisimamia. Hivyo badala ya Project Manager nikawa Division Manager.

Kwa ile phase ya kwanza ilimlazimu muhindi kumaliza na ilibidi areport kwangu moja kwa moja kwa niaba ya kaburu, karma is real.

Sehemu ya kazi iliyobaki iliisha kwa wakati na mpaka sasa kupitia hiyo project kitengo cha signage kwenye kampuni ya kaburu kimekuwa one of the leading signage companies kwa Tanzania.

Katika maisha chochote kinachopaswa kuwa chako kitakuwa chako tu haijalishi kitachelewa kwa kiasi gani.
Umeenda mshazari kidogo na kichwa cha uzi Komredi..., ila ahsante kwa ushuhuda wako. Hakika binafsi nimevutiwa na fani yako... thumbs up!!!
 
Hakuna kubwa lililoandikwa ambalo haliunganiki kimuktadha na comment nzima kukufanya usielewe ndugu. Ikiwa hujaelewa ni dhahiri hata bila ya hayo maneno usingeelewa pia, kumaanisha si hadhira husika wa hiyo comment.

Kuna wakati ni sawa kuacha mengine yatupite ili maisha yaendelee pia.

Uwe na jioni yenye furaha na faraja tele.
Ebana Komredi Toxic hukaukiwi Busara mzee wangu... hakika umemjibu bwana Inama kwa busara na hekima iliyotukuka! Thumbs up tena kwako Komredi! 👍🏾😅
 
Wakati wa msoto tulikuwa tuhahusle pamoja vile walivyofanukiwa ,Kila mmja alinitenga,ila Mungu yupo ananitetea always.
Washamba hao! Achana nao 😊

Stop Complaining kijana..., mungu humpa amtakae kwa makusudi yake. Kuwa na subra na achana nao!
 
kuna kazi ilitokea jeshini yaani mafunzo ya jeshi (jw) kipindi hicho mkuu wa kambi ana pewa nafasi za watu watatu kuwaingiza jeshini bure basi nafasi ikawa imedondokea kwangu,rafikiake na mkuu wa kambi ni ndugu yetu sa akawa amepeleka jina langu kule kwa mkuu kule lugaro, mzee sikuya mwisho ana ambiwa mwanao anatakiwa alipoti ila andaa jiwe3 za soda akagoma.usiku na kuja kusikia ana mueleza bi mdogo ,yaani aende jeshi siatatusumbua huyu iliniuma kinoma,nikapata rafiki baharia wa meli kikabila ni muhaya,ye anaishi uk anagereji akamwambia dingi nienda ymca pale posta nisome mechanico injiniaring chakusikitisha niliishia kupigwa nondo nashule sikumaliza, jamaa anataka atumeviza dingi akamwambia nimehuni shule basi ikaishia hivyo.nachoshukuru mungu hajaniacha bahati bado ipo kwangu. Na dingi baadae alifirisika amebaki hana jeuri.n.b wazazi wengine ni wabinafsi hata kwa watoto wao wakuwazaa,nawaza sasaiv ningekuwa zangu jw au uk. ila hapa hapa maisha yanajipa dingi jeuri hana loho mbaya ilimponza.
Pole sana ndugu yangu... si wewe tu. Wazazi wengi ni kweli wabinafsi na wana uwezo wa kuwasaidia watoto wao. Niishie tu hapo
 
kuna kazi ilitokea jeshini yaani mafunzo ya jeshi (jw) kipindi hicho mkuu wa kambi ana pewa nafasi za watu watatu kuwaingiza jeshini bure basi nafasi ikawa imedondokea kwangu,rafikiake na mkuu wa kambi ni ndugu yetu sa akawa amepeleka jina langu kule kwa mkuu kule lugaro, mzee sikuya mwisho ana ambiwa mwanao anatakiwa alipoti ila andaa jiwe3 za soda akagoma.usiku na kuja kusikia ana mueleza bi mdogo ,yaani aende jeshi siatatusumbua huyu iliniuma kinoma,nikapata rafiki baharia wa meli kikabila ni muhaya,ye anaishi uk anagereji akamwambia dingi nienda ymca pale posta nisome mechanico injiniaring chakusikitisha niliishia kupigwa nondo nashule sikumaliza, jamaa anataka atumeviza dingi akamwambia nimehuni shule basi ikaishia hivyo.nachoshukuru mungu hajaniacha bahati bado ipo kwangu. Na dingi baadae alifirisika amebaki hana jeuri.n.b wazazi wengine ni wabinafsi hata kwa watoto wao wakuwazaa,nawaza sasaiv ningekuwa zangu jw au uk. ila hapa hapa maisha yanajipa dingi jeuri hana loho mbaya ilimponza.
Wake wadogo Wana roho mbaya sana naapa kama Sio baba angu kua na msimamo nisingesoma mama alijaribu Hila zote alifeli,ukikuta baba nae hajielewi K imemkolea mama wa kambo nuksi sana..
 
siku moja nikapokea mpunga wa maana yani pesa ndefu wakati nazipanga vizuri nikiwa chumbani kumbe chalii wangu ananiona si akaenda kumtonya kibaka aisee usiku mzima nimelala na kibaka akinipiga sachi ya maana kumbe nilivomaliza kupanga nikawe ndani ya sipika sebuleni nikaja kugundua ishu nzima asubuhi dah dunia ina mengi
Aseehh mchawi mtu Paka anatumwa tuuu
 
Tukio kubwa nalokumbuka ndugu kugoma kunilipia ada baada ya baba kufariki pamoja na kuwa waliuza nyumba yetu hatukuambulia hata mia
Nakumbuka nilimpigia simu babamdogo kumuomba ada akasema hatoi pesa had aende kijijini ndo waamue ikawa mara ya mwisho kuongea nae nikanusurika kuacha shule nikiwa kidato Cha pili, ikabidi nisomeshwe na wasamaria wema kama yatima na wakat sikuzaliwa kwenye familia ya kichovu ila Mungu ni mwema
Walinifundisha maisha nilikuwa strong nikiwa mdogo sana..[emoji120]
Heee... subhana llaahh...pole sana
 
kuna kazi ilitokea jeshini yaani mafunzo ya jeshi (jw) kipindi hicho mkuu wa kambi ana pewa nafasi za watu watatu kuwaingiza jeshini bure basi nafasi ikawa imedondokea kwangu,rafikiake na mkuu wa kambi ni ndugu yetu sa akawa amepeleka jina langu kule kwa mkuu kule lugaro, mzee sikuya mwisho ana ambiwa mwanao anatakiwa alipoti ila andaa jiwe3 za soda akagoma.usiku na kuja kusikia ana mueleza bi mdogo ,yaani aende jeshi siatatusumbua huyu iliniuma kinoma,nikapata rafiki baharia wa meli kikabila ni muhaya,ye anaishi uk anagereji akamwambia dingi nienda ymca pale posta nisome mechanico injiniaring chakusikitisha niliishia kupigwa nondo nashule sikumaliza, jamaa anataka atumeviza dingi akamwambia nimehuni shule basi ikaishia hivyo.nachoshukuru mungu hajaniacha bahati bado ipo kwangu. Na dingi baadae alifirisika amebaki hana jeuri.n.b wazazi wengine ni wabinafsi hata kwa watoto wao wakuwazaa,nawaza sasaiv ningekuwa zangu jw au uk. ila hapa hapa maisha yanajipa dingi jeuri hana loho mbaya ilimponza.
Watu tukiwaambia kuna wazee aidha wanabagua au hawawapendi watoto wao, hawaelewi.

Huwa nikikaa nikifuatilia mambo yanayotokea nahisi mzee wangu hakutaka niwe na nafasi fulani, Mungu alivyo fundi sasa kati ya watoto wake wote mimi ndio nina kiajira japo uchwara.
 
Sijapata nafasi ya kua karibu na ndugu kiasi Cha kusema wafanye lini-impact directly!
 
5 yrs ya kuishi nae kama mtoto
Akanipiga hela yangu niliyowekeza kwenye biashara niliyom connect nayo
Hela niliyojinyima nika save lakini nikaambulia patupu.
Anavyoteseka na maisha namwombea asimame labda atanilipa hata nusu.

Hili lingine ni la best friend niliyemuamini mno nikajua nimepata ndugu[emoji1487]
Bado kidonda ni kibichi kabisa sijui nita act vipi nikionana nae.

NB
Ulikuja mwenyewe duniani na utaondoka mwenyewe..ukiweza kuishi kivyakovyako ni heri. Chuja sana unayoshea na the so called friends....Fake friends wako wengi mno!!
 
Back
Top Bottom