Very close very close(Karibu sana karibu sana) Ww jihakikishie tu usalama wa ladha yako ukiwa naHuo ubweche inaelekea ni konki sana[emoji28][emoji28][emoji3344][emoji28]nikaribishe huko kwa rungwe ndugu yangu
[emoji23][emoji23]Nahisi itakapo tokea hiyo naweza punguza speed. Shida nashindwa kulala kama sina mkeka yan ile hali ya kukaa kihasara hasara sipendi mwisho nitaanza kuwaza mambo mabaya. Si unajua ule msemo ana idle mind is the workshop of devil.Ngoja siku udondoke mwili mzima ndipo utatia akili[emoji28][emoji28]
Be happy and make someone Happy if you can its the best thing ever you can do on Earth[emoji4]Thanks pal[emoji4]
Nakuelewa sana mkuu..
Pole sana na hongera kwa kuwa na moyo wa utoaji na kujali watu wengine..Mungu azidi kukutia nguvu,moyo,na uwezo wa kifedha uendelee kuwasaidia watu kwa kadri ya matamanio ya moyo wako.π
Kuna kitu umenipandikiza kwa mara nyingine na kunikumbusha niliichozungumza na Mungu.ππππππ
Worry out..Sasa ndo uache zile tabia zako maana huyo atakutandika injili mpka uchoke aiseh
Ameen!From ur lips to God's ears...am aiming for thy starsBe happy and make someone Happy if you can its the best thing ever you can do on Earth[emoji4]
. desree its a pleasure to meet you [emoji6][emoji1317]Ameen!From ur lips to God's ears...am aiming for thy stars
Worry not desreeThy pleasure is all mine zagarinojo[emoji4]
Napenda sana pili pili..nakuja na ndizi mbivu kabisaVery close very close(Karibu sana karibu sana) Ww jihakikishie tu usalama wa ladha yako ukiwa naView attachment 1568880
Sawa mkuu nitakuja unifundishe mikeka..sijawahi na sijuagi kucheza loh!![emoji23][emoji23]Nahisi itakapo tokea hiyo naweza punguza speed. Shida nashindwa kulala kama sina mkeka yan ile hali ya kukaa kihasara hasara sipendi mwisho nitaanza kuwaza mambo mabaya. Si unajua ule msemo ana idle mind is the workshop of devil.
At least nikilala nafikiria mikeka nakua na afadhali kidogo.
π π π π π π π πSipendi kufundishwa napenda kusoma mwenyewe vile vitu nina interest navyo. Tatizo linaanza lazima nifanyie mitihani kile kilichoelekezwa hivyo lazima nisome.
Sipendi kutongoza. Natamani ile mnakubaliana tu kwa mkataba sio mambo ya 'wewe ndo kila kitu kwangu'. Walionilea utotoni waliniharibu kuondoa elements za uongo kabisa. Nalazimika tu nikizidiwa ila nikipata tulizo niliyemtongoza jana akaelekea naweza nisimtafute kwa miezi kadhaa (nitamrejea kumtongoza tena)
Sipendi kukosoa. Mimi ni mkosoaji mkubwa mno, nikipata huduma mbovu sehemu natafuta msimamizi. Nikimuona natoa mapendekezo utadhani nilichangia mtaji. Hii hali siipendi kwa vile inachukiza watu ila inanikereketa sana nisipotekeleza. Wanaonijua wakifanya kitu wananiletea nikosoe.
Waow Asante kwa kunipenda[emoji7][emoji7]I love u 4 this,naomba uwe wifi yangu....we 'll get along[emoji28]
Utukufu mkubwa mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hallelujah...huu ni utukufu
Mungu akujaalie huo uwezo soon nakuja kuomba msaada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nnapoweza nafanya hivyo ila sina uwezo wa kuwasaidia watu wote nyakati zote. Hiyo kukosa huo uwezo ndio nnayoichukia.