Ni kitu gani huwafanya wanawake wengi walio katika ndoa kuendeleza mahusiano na ma-ex wao?

Ni kitu gani huwafanya wanawake wengi walio katika ndoa kuendeleza mahusiano na ma-ex wao?

Ah wapi.

Piga saizi yako sisi wanawake ukituendekeza utakojoa damu *****.

Kei sio ya kushindana nayo utaifanya nyekundu na kesho itadunda kama kawaida na kupigika kama kawaida.
I thought you're a man... kumbe mmiliki halali wa shimo utelezi
 
Inategemea hata Wanaume ambao hawafuti namba za ma-ex zao wapo wengi tu.
Siwezi kufuta namba ya ex eti sababu tumeachana. Sihitaji chochote kwake na hata kama kaniumiza ila haimaanishi ndio I won't be talking to her forever.

Imagine you're in your 20's to mid 30's na unaapa kutokuongea na mtu for the rest of your life kisa tu ni ex wako 🤔


Nimefuta namba za wanawake wanaosumbua kichwa nyingi sana. Ila sio za ex
 
Ah wapi.

Piga saizi yako sisi wanawake ukituendekeza utakojoa damu *****.

Kei sio ya kushindana nayo utaifanya nyekundu na kesho itadunda kama kawaida na kupigika kama kawaida.

Kushindana na kei hakutatusaidia lolote...

Mkuu twende zetu nyegezi tukale maisha.
 
Kuna wakati nawaonea huruma watu wanaoa na wenye mipango ya kuoa kama wanawake wenyewe kumbe wako hivi wakishaolewa na kupata mtoto au watoto wengi huanza harakati za kurudisha mahusiano yao na ex wake wa zamani.

Kipindi cha nyuma nilikuwa nina amini wanawake wengi wakishaolewa huwa hubadilisha namba za simu kuepuka usumbufu na kukata mawasiliano kabisa na wanaume aliowahi kudate nao ila kumbe hili jambo huwa ni la muda tuu baada ya muda kupita huanza kuwatafuta ma ex wao na tena cha kushangaza kumbe wanawake huwa hawafutagi namba kabisa za ex wao nasema hivyo jamani kwa sababu nina mifano mingi.

Je shida huwa nini

kutokueleewa maana ya ndoa
 
Kushindana na kei hakutatusaidia lolote...

Mkuu twende zetu nyegezi tukale maisha.
Wewe nilikuambia nikutongoze ukaogopa.

Sasa huko tutaendaje?

Afu hiyo mkuu veepee hujui kubebika?

😁😁😁🤣🤣🤣🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️
 
Mshaambiwa mtuoe tulio bikra hamsikii, haya sasa endeleeni kuteseka.
 
Wewe nilikuambia nikutongoze ukaogopa.

Sasa huko tutaendaje?

Afu hiyo mkuu veepee hujui kubebika?

Tutaenda tu kama kawaida na AirTanzania...

Sasa Karucee kwenda nyegezi na kutongozana kunahusiana vipi hapa??

Kubebika kama hakutafanikisha safari hakutanisaidia lolote.
 
Back
Top Bottom