pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Hujaachana na mtu uliyempenda bado thing's occurs automaticallyMimi nikikuacha hata kama sijaolewa kamwe siwezi kukuchanulia mapaja. Kwanza hata mazoea sitaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaachana na mtu uliyempenda bado thing's occurs automaticallyMimi nikikuacha hata kama sijaolewa kamwe siwezi kukuchanulia mapaja. Kwanza hata mazoea sitaki.
I thought you're a man... kumbe mmiliki halali wa shimo uteleziAh wapi.
Piga saizi yako sisi wanawake ukituendekeza utakojoa damu *****.
Kei sio ya kushindana nayo utaifanya nyekundu na kesho itadunda kama kawaida na kupigika kama kawaida.
Siwezi kufuta namba ya ex eti sababu tumeachana. Sihitaji chochote kwake na hata kama kaniumiza ila haimaanishi ndio I won't be talking to her forever.Inategemea hata Wanaume ambao hawafuti namba za ma-ex zao wapo wengi tu.
Kama shimo na wewe unalo.I thought you're a man... kumbe mmiliki halali wa shimo utelezi
Nilivyosoma kukuchanulia mapaja moyo umefanya waaah!Mimi nikikuacha hata kama sijaolewa kamwe siwezi kukuchanulia mapaja. Kwanza hata mazoea sitaki.
Kama shimo na wewe unalo.
nge we.
[/QUOTES
not of that type mkuu... it's a fact don't take it too personal
Ah wapi.
Piga saizi yako sisi wanawake ukituendekeza utakojoa damu *****.
Kei sio ya kushindana nayo utaifanya nyekundu na kesho itadunda kama kawaida na kupigika kama kawaida.
Mimi nikikuacha hata kama sijaolewa kamwe siwezi kukuchanulia mapaja. Kwanza hata mazoea sitaki.
kutokueleewa maana ya ndoaKuna wakati nawaonea huruma watu wanaoa na wenye mipango ya kuoa kama wanawake wenyewe kumbe wako hivi wakishaolewa na kupata mtoto au watoto wengi huanza harakati za kurudisha mahusiano yao na ex wake wa zamani.
Kipindi cha nyuma nilikuwa nina amini wanawake wengi wakishaolewa huwa hubadilisha namba za simu kuepuka usumbufu na kukata mawasiliano kabisa na wanaume aliowahi kudate nao ila kumbe hili jambo huwa ni la muda tuu baada ya muda kupita huanza kuwatafuta ma ex wao na tena cha kushangaza kumbe wanawake huwa hawafutagi namba kabisa za ex wao nasema hivyo jamani kwa sababu nina mifano mingi.
Je shida huwa nini
Yaani tukiachana habari imeisha hata simu kupigiana sitaki.Mkuu ya kweli haya????
Hongera
Sifanyi huo upuuzi. Nasonga mbele kama injiliUkiachwa utachanua mapaja tena vizuri sana
Nimeachana na mtu niliyempenda sana na kwa sababu nilikuwa nampenda niliumia sana na kumchukia moyoni mwangu. Sitaki hata kumsikia licha ya kumchanulia. Kwanza siku hizi limekuwa libaya sijui hata niliona nini kwake.Hujaachana na mtu uliyempenda bado thing's occurs automatically
Kweli kipenzi. Yani bora nikampe mtu aliyenitongoza siku hiyo hiyo kuliko kumpa ex uchi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea usiniambie?
Wewe nilikuambia nikutongoze ukaogopa.Kushindana na kei hakutatusaidia lolote...
Mkuu twende zetu nyegezi tukale maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama shimo na wewe unalo.
nge we.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safi kabisaa yaan kipenziii.Kweli kipenzi. Yani bora nikampe mtu aliyenitongoza siku hiyo hiyo kuliko kumpa ex uchi.
Wewe nilikuambia nikutongoze ukaogopa.
Sasa huko tutaendaje?
Afu hiyo mkuu veepee hujui kubebika?
Yaani tukiachana habari imeisha hata simu kupigiana sitaki.