Ni kitu gani huwafanya wanawake wengi walio katika ndoa kuendeleza mahusiano na ma-ex wao?

Ni kitu gani huwafanya wanawake wengi walio katika ndoa kuendeleza mahusiano na ma-ex wao?

Tutaenda tu kama kawaida na AirTanzania...

Sasa Karucee kwenda nyegezi na kutongozana kunahusiana vipi hapa??

Kubebika kama hakutafanikisha safari hakutanisaidia lolote.
kwa hiyo tunaenda kiboya?

wewe acha uoga wewee. Ule uzi wa Rikiboy tuta update lini?
 
kwa hiyo tunaenda kiboya?

wewe acha uoga wewee. Ule uzi wa Rikiboy tuta update lini?

Relax mkuu, huko kwa Rikiboy ndio naelekea...

Direction ni better kuliko Speed,,, twende taratibu tutaelewana tu

Nifanye booking ndege ya tarehe ngapi?
 
Nimeachana na mtu niliyempenda sana na kwa sababu nilikuwa nampenda niliumia sana na kumchukia moyoni mwangu. Sitaki hata kumsikia licha ya kumchanulia. Kwanza siku hizi limekuwa libaya sijui hata niliona nini kwake.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sijui huwa inakuaje... mapenzi yakiisha ni kawaida kuanza kumuona ex wa ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni agano. Agano uliloingia na ex wako kama hamtalivunja ipo siku tu mtarudiana.
 
Kuna wakati nawaonea huruma watu wanaoa na wenye mipango ya kuoa kama wanawake wenyewe kumbe wako hivi wakishaolewa na kupata mtoto au watoto wengi huanza harakati za kurudisha mahusiano yao na ex wake wa zamani.

Kipindi cha nyuma nilikuwa nina amini wanawake wengi wakishaolewa huwa hubadilisha namba za simu kuepuka usumbufu na kukata mawasiliano kabisa na wanaume aliowahi kudate nao ila kumbe hili jambo huwa ni la muda tuu baada ya muda kupita huanza kuwatafuta ma ex wao na tena cha kushangaza kumbe wanawake huwa hawafutagi namba kabisa za ex wao nasema hivyo jamani kwa sababu nina mifano mingi.

Je shida huwa nini

kwa nini tunaoa au kuolewa na je ni kwa namna impendezayo Mungu? Kwenye jibu hapana hilo lazima litokee.

Pilau ya nyumbani huzoeleka na pilau ya harusini haizoeleki. Na hii mazoea ni katika himaya ya shetani kifikra na kimatendo.

Historia ya uasherati hutibiwa kabla ya kuingia kwenye ndoa, toba ya amri ya sita.

Upendo dhidi ya sababu kuhusu uwepo wa ndoa na katika kupitia milima na mabonde ya furaha na huzuni katika ndoa.

Wapo wanaoendelea na maex wao muda wote kabla na ndani ya ndoa muda wote,

Wapo wanaongoja au kuanguka nyakati ngumu kimaisha aidha kiuchumi,na mengine

Wapo ambao ni kukosa kutimiza malengo yao ya kuingia kwenye hip ndoa

Mafanikio au Maisha ya Maex ukilinganisha na yeye na mwanandoa wake kama ex anavutia zaidi

Ex anaishi katika ujirani mkoa,mtaa,wilaya etc

Hulka ya mwanandoa mfano umalaya au mama cha wote.

Asiyekuwepo nafsini huwezi kumpa ya nafsi. Ex ananipatia sana je mume umemwambia.

Furaha ya nafsi ni maandalizi ya nafsi yenyewe na ushiriki wake. Kuridhika kunaanza na wewe na mwenye vigezo na tafsiri ni wewe ukimya haunihusu. Kuridhika ni relative term.

Dunia inasemaje na wewe akili yako inaonaje dunia.

Mungu ana nafasi gani katika maisha yake au yenu?

Dhambi ya mwanandoa kamwe haibebwi na mwenza.

Kama ilivyo kaburi basi hata dhambi kila mtu hubeba zake.

Uvumilivu, subra, umoja, ndoa ni taasisi mali ya watoto ni msingi wa elimu ya ndoa.

Maarifa ya chochote ni ushindi.

Amani VS Ushindi

Ushindi VS Amani.

Kataa vita ushindwe na uwe na amani au ingia vitani ushindwe na ukose amani, kataa vita ushindwe na ukose amani, kubali vita ushinde na ukose amani au pigana vita ushinde na uwe na amani.

kupanga ni kuchagua na kuchagua nako kuna vigezo na kuna muongozo.

Chagua muongozo wa Mungu au Muongozo wa Dunia.

A teacher with bad experience but with helpful teachings.

Altruism isn't costly but a blessing.
 
Siwezi kufuta namba ya ex eti sababu tumeachana. Sihitaji chochote kwake na hata kama kaniumiza ila haimaanishi ndio I won't be talking to her forever.

Imagine you're in your 20's to mid 30's na unaapa kutokuongea na mtu for the rest of your life kisa tu ni ex wako [emoji848]


Nimefuta namba za wanawake wanaosumbua kichwa nyingi sana. Ila sio za ex
Sas mtaongea nin Cha Zaid badala ya mapenzi
 
As long as na mimi nawakumbuka ma x wangu its okay.
Ila nisimkamate
 
Ah wapi.

Piga saizi yako sisi wanawake ukituendekeza utakojoa damu *****.

Kei sio ya kushindana nayo utaifanya nyekundu na kesho itadunda kama kawaida na kupigika kama kawaida.
Mueleze hajui huyo, kadri K inavyot*mbwa ndio inavyohitaji zaidi, wanaume huwa tunajidanganya na tunadanganywa kwamba tunamkomesha mwanamke wakati sio kweli.
Sanasana kama mwanamke hakuwa tayari hapo sawa, lakini akiamua kukupa, hakika utakojoa damu na ukifanya mchezo hata kuamka hutaweza.
 
Kabla hujaoa hakikisha una hazina ya ma-EX wa kutosha, hakuna aijuaye kesho…. utanishukuru ukielewa.
 
Sio lazima kuongea nae kila siku ila kua ex sio sababu ya kufuta mawasiliano kabisa.
Sometime inabid tu usitishe mawasiliano imagine mtu at ukimtafuta harespond chochot mwisho wa cku unajishtukia mwenyew unaacha shobo
 
Sometime inabid tu usitishe mawasiliano imagine mtu at ukimtafuta harespond chochot mwisho wa cku unajishtukia mwenyew unaacha shobo
Hapo una kila sababu ya kusitisha mawasiliano.
 
Back
Top Bottom