Ni kitu gani kinakukata Sitimu unapotaka kumtongoza mwanamke

Kungekuwa na chance ya kutuma risas humu jf ningeanza na ww [emoji1787] mwanaume ukishaamua kwenda nenda mambo ya ohhh sijui nn bmw we tongoza tu kwan kukataliwa shi ngap tena kwa taarifa yako ungekuwa unagongea humo humo kwny bm
 
Ili liwe fundisho kwa wanawake wenye kutoboa pua na kujaza vipin na masikio kutobo vitobo vingi na kujichora tatoo na kuvah vah vikuku vinawapotezea sifa ya kuolewa au kutamaniwa na wanaume mtaliwa na kuachwa tu na kuwa masingle mama 4rever


Leo nilikuepo hapa kibo akaja mwanamke mmoja akanza shobo ooh Mr goroko vipii nikaona huyu kajichora matatu tayar kawa disqualified Moja kwa moja
 
marekan ww2 ilimuhus sana alikua patner wa britain na britain alikua mpiganaj mkubwa na germany na germany italy na japan walikua patner pia ndioman mjapan akashambulia tafta documentary inaitwa pearl harbour utaelewa
 
Unatafuta ugomvi na Wachaga ww

Sema kuna ile unakuta demu mkali ila anakuambia anatoka Tandahimba uko sijui Mtwara. Dah! Inauma sana
Product za kaskazin jaman ni bomba sana na wasafi na wanajitambua. Ila hako katabia ka kudedishana dah! Na vya kufa vimo!
 
yaani wewe unatiswa na ka bmw? na akiwa na private jet?si utapata heart attack mkuu
 
Msichana anayeomba hela ndefu kabla ya kuliwa, aliyetoboa poa, aliyepaka wanja nyekundu kama ndege wa porini, Mwanamke anayepost lundo la status daily,....,na msichana anayepretend kuwa na maisha ya juu kumbe......,STIMU ZINAISHAGA KABISA....
 
Ukiona demu anandika"xaxa" wala wewe isikusumbue vaa condom mbili mpigo then piga mashine hadi anasahau na jina lake la ubatizo alah
[emoji23][emoji23][emoji23]demu anayechat ivyo n turn off aisee. Halaf unakuta anakujibu kwa neno moja wakat umeuliz swali la kidadisi linalohtaji maelezo kdgo
 
Hahahaha njoo Kawe unitunuku basi
Sio wanawake tu, ata wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongezi.
 
Haaahaaahaahaa
Kungekuwa na chance ya kutuma risas humu jf ningeanza na ww [emoji1787] mwanaume ukishaamua kwenda nenda mambo ya ohhh sijui nn bmw we tongoza tu kwan kukataliwa shi ngap tena kwa taarifa yako ungekuwa unagongea humo humo kwny bm
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kaka we unatongoza mwanamke wa kugonga tuu unaanza consider mambo ya kicha ndefu na uchafu as long as kwa wakati huo Yuko msafi we fanya yako kula tembea UNLESS unataka ufanye nae maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…