Chai Maziwa
Member
- Jan 24, 2022
- 82
- 456
- Thread starter
- #101
Ivi ni kwel wanawake wenye dread wanapiga sana vizinga? Nliwah kuwa na demu anadread... aisee zile nywele zinahtaj matunzo kwaiyo vizinga vya kila week 2 nlikuw navitarajia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapougua kikohoz inabid ukiwah kwa dawa ili usifikie hatua ya kukohoa kwa kubanjaSasa wewe hii si kuumwa kikohozi jamani!!! Bado utakatwa stimu na chafya Sasa au hata kupumua loh
Mnatakiwa kuwah kumeza dawa za kikohoz ili msifikie hatua ya kukohoa kwa kubanja😂😂😂😂😂kwa hiyo tusiumwe?
Ila umeongea vizuri Sana..tatizo focus inakuwaga pochi na sio penziUnaogopa kuwa nikila mzigo sitatoa hela, kwasababu focus yako haiko kwangu, ila focus yako iko kwenye pochi yangu.
Mm sio bahili wala mchoyo, kama nina hela, mwanamke wangu akiwa na shida, hata laki au million nampa, as long as najua huyo mdada ana hisia na mimi, na hayuko na mm kwasababu anategemea nitampa hela Joannah
Mmmh kazi tunayo😂😂😂😂Mnatakiwa kuwah kumeza dawa za kikohoz ili msifikie hatua ya kukohoa kwa kubanja
Kwamba ili nisikose kutongozwa na wewe😂😂😂aisee am too old for this buddyUnapougua kikohoz inabid ukiwah kwa dawa ili usifikie hatua ya kukohoa kwa kubanja
[emoji28][emoji28]kaka hata maji machafu yanazima motooAisee ata kama unatak ule na kusepa...unaangalia unakula wapi.Mm binafsi swez fanya na mwanamke sjamkubali. Naona nmejipunguzia point maana ntakuw nmekubali kuna ukame wakat wanawake n wengi kuliko sisi wanaume!
InsecuritiesHapa kwetu Njombe Mwez wa kumi na mbil mwaka 2021 nilikutana na binti flani ambaye kwa macho yangu namuona mzuri Sana, nlimuelewa sana yule dada. Alikuwa anapita sana kwenye kachochoro ambako ndipo ofisi yangu ilipo.
Basi ikawa kila akipita namuangalia sana naishia kusema kesho ntamsimamisha ila akipita tena napata uoga. Sasa wiki iliyopita nikawa nimejipanga kabisa kwamba leo lazima nimsimamishe hata niongee nae kidogo, Ile nimekaa sina hili wala lile mtoto huyo namuona anakuja, basi mwanaume nikajitosa nkamuita.
Dada wa watu akasimama nikasogea taratibu, sasa hapa ndo tatizo lilipoanzia,Nilipokuwa namkaribia nilishtuka sana, alikuwa ameshika cm mkono mmoja af mwingn kashika pochi, sasa nilipokuwa nampa mkono tusalimiane.. alinipa ule mkono wenye cm kumbe kwenye kidole kimoja alikuwa kaingiza ile ring ya funguo ambazo zilikuwa zimekaa kwa nyuma ya kiganja, mm nikawa naona cm tuu kumbe mtoto mkono huohuo kaning'iniza funguo za ndinga na remote ya BMW.
Kiukwel nlipoziona nilishtuka sana, mistari yote niloipanga kichwani ikayeyuka. Mwanaume nikakosa point kwa sababu nlianza kupata hofu kwamba mtu huyu sikumdhania kama anaweza kuwa na pesa ivoo. Nliona nimeparamia sehem sio level yangu
Nliishia kumwambia samahan sister nmekufananisha na dada mmoja huwa anapita sana hapa. Saivi huwa anapita ananipa hai mana nipo kwenye kabanda flan kana geti tuu so kila anapopita lazma tuonane.
Zile hisia za kumpenda zilishakata asee
Hiyo line y mwisho sio real mkuuInsecurities
Mkuu utakosa nafasi hivi hivii
Get over it still ni mwanamke you can have her.
Kuwa na BMW ndio hatongozeki!?Hiyo line y mwisho sio real mkuu
Mmhh sidhani kama kuna Mwanamke anaweza kumkubali me asiye na kitu. Halafu awe pia sura yake ni tia maji tia majiKuwa na BMW ndio hatongozeki!?
Panga mbinu vizuri tu mbona dodo unalipata sasa yeye kakata tamaa mapema mnooo!
Watu mnamaajabu loooh sasa huko tandahimba hakunaga wanawake warembo??Unatafuta ugomvi na Wachaga ww
Sema kuna ile unakuta demu mkali ila anakuambia anatoka Tandahimba uko sijui Mtwara. Dah! Inauma sana
Hapo unafeli kijana, warembo wengi tu wanaolewa na watu wa kawaida mnp mbona, acha wale wanaoliwa na watu wa hovyo hovyo sasa.Mmhh sidhani kama kuna Mwanamke anaweza kumkubali me asiye na kitu. Halafu awe pia sura yake ni tia maji tia maji
Hii ya pua ndio kabisa inaua vibe.Yaani hata awe pisi kali kivipi nikiisha ona ya makucha marefu kama ya ibilisi nasi stimu zote zinakata.
Ukiachana na hao, wale wanao weka mipini kwenye pua
VizuriAsanteni kwa uwakilishi mzuri kwa niaba ya Men wengine thanks. Mimi kwa ziada najali Sana utu na ukarimu maana jeuri Maringo na dharau hapana, muonekano Wa pesa,gari,cheo siogopi kbsa, wenye maurembo ya ziada Sana hao nawala kinafiki kukidhi genye zangu
Kuombwa hela na mzigo sijapewa