Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Nimeshangaa hadi nimekosa cha kusemakwaiyo wa Mtwara sio watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa hadi nimekosa cha kusemakwaiyo wa Mtwara sio watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] amenifanya niwashe tochi kuangalia vidole vyangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuuh
Sio aje ngalanga?Hahahaha njoo Kawe unitunuku basi
Umenikumbusha kuna rafiki yangu mmoja shule alikuwa ananisema eti mwanamke gani una macho makavuu, mwanamke unatakiwa uwe na jicho la aibu japo kidogounamtongoza mwanamke harembui, hang'ati majani wala kucha hata kujilegeza kidogo tuu, kwa hali hiyo stimu zitatoka wapi
Mkuu wakati wa kutongoza unaona hadi vya chini?Au unakuta demu mkali chini kakeketwa yaani ananikimbiza kbs.
Mbona wanawake tu......me sipendi mwanaume mchafu huyo hapana mambo mengine yanarekebishikaHabari Wanaume Wa JF
Kama unavyojua hulka ya mwanaume ni kutamani na kutongoza popote anapopata nafasi. Lakini kwa wanaume wanaojua sifa za mademu wanaowataka hatongozi tu hasa akiona kuna kitu hakijamvutia kwa mwanamke.
Achana na maumbile tunaongelea yale mambo wanayojiongezea au kuyapunguza
Mfano: Mm katika harakati za kutongoza huwa nakatishwa motisha na wanawake weny kucha bandia( yale makucha marefu). Yaani namuona huyu sio msafi... hatandiki kitanda akiamka (obvious atakuw na kijeba kinatandika kila morning) hafui ata nguo za ndan,kaz ndgo ndgo home hafanyi, hajisafishi kule, nk
Wewe kitu gan hukuondolea stimu za kufukuzia demu?
Habari yako!?Sio wanawake tu, ata wanaume wanaoandika ivyo 'xaxa' badala ya 'sasa'...
"P" badala ya "poa".... "Niaje" badala ya " habari yako". Wanaboa sana
Huwa wananikata stimu kabisa, ata nikawa na Nia kweli ya kumtunukia nakatisha maongezi.
Kwahiyo sie wenye vidole kama virungu vya kupigia ngoma tukae chonjo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuuh
Safi, uko mzima?Habari yako!?
Mie binafsi mdada ambaye anavidole vyamkononi virungu afu vinene, HAPANA aiseee mtoto wakike unapaswa uwe na dolee nyembamba ndefu afu znafuka vimajimaji mda wote sio mdada mkono mkavu kama fundi kenika
Hamna cha bora yote ni ovyooo, kunuka mdomo kuna kata stimu kwa jinsia zote mbiliKunuka mdomo! Yaani ile anajibu tu salamu yako, hiyo harufu ya kinywa si ya nchi hii. Hapo mambo yote yanaharibika. Kiukweli mwanamke kunuka mdomo inatisha sana, bora tunuke sie!
Kweli watu tunatofautina..mimi dada akivaa kipini tu naishiwa nguvu...napenda sana dada wa kipiniYaani hata awe pisi kali kivipi nikiisha ona ya makucha marefu kama ya ibilisi nasi stimu zote zinakata.
Ukiachana na hao, wale wanao weka mipini kwenye pua
Unakimbia utopolo 😂Huwa naangalia kinywa, mdomoni pakoje. Kama naona yanga nakimbia umbali mrefu sana
Una chochote kile kilichoandikwa na wadau ambacho ni kero kwetu/kwao pindi wanapotongoza mwanamke mkuu Yna2 ?Comments [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Kiukweli tunajiharibu mno,ila naina wenye vitambi tumepona safari hii